Baada ya kushika namba moja kwenye Youtube na kusema kuwa wapinzani wake waongeze juhudi maana hawampi changamoto, hatimae Diamond ametolewa namba moja na msanii Nandy kwenye video zinazo Trend mjini Youtube.
Wimbo unaoitwa "Dah!" Wa msanii Nandy akishirikiana na Alikiba ndio unaoshikilia namba moja kwa hivi sasa.
Diamond na wimbo wake wa Mapozi alikaa namba moja kwa siku nane mfululizo kwenye mtandao wa YouTube ila sasaivi amesogezwa mpaka kwenye namba mbili.
Written by Mjanja M1 ✍️
Wimbo unaoitwa "Dah!" Wa msanii Nandy akishirikiana na Alikiba ndio unaoshikilia namba moja kwa hivi sasa.
Diamond na wimbo wake wa Mapozi alikaa namba moja kwa siku nane mfululizo kwenye mtandao wa YouTube ila sasaivi amesogezwa mpaka kwenye namba mbili.
Written by Mjanja M1 ✍️