Mbe" Mentor mananasi mengi mjini hapa yameoza kwa ndani ile nje mambo safi
Mbe" Hapana pima umbali kwa macho,
Ila mwambie Nicas anaweza kulala na bundi akaamka mwenye bahati..
Wewe ni Mkare aisee....
Nimesoma na nimetamani tuitengenezee movie ili jamii ijifunze zaidi.
In serious note, naomba tuonane kesho hapo kwenye kijiwe changu cha kahawa ili tuandae huo mswada, nina mfadhili wa kutuwezesha.
Hii makitu inalipa aisee.
Mentor
Vin Diesel mi nishaondoka huko hilo kundi lakwako na mwenzako Erickb52 na Arushaone na ndo maana Mentor kawaweka kundi la kifo
Asee huyu Arushaone ndo kiboko....Utadhani anawahi deadline
Aisee....
Hebu pitieni hapo Manispaa ya Kinondoni mchukue greda lije linizoe na kunipeleka angaza nikapime mie....
Msijidanganye kwa akili na nguvu za binadamu mnaweza kunishawishi nikaenda kwa hiari kupima.
Mi naamini tu maadam wife yuko salama basi nami niko salama. Kupima NEHI!!
Baada ya kusema hayo, nawashaurini vijana, hasa wewe Mentor na Nicas Mtei, acheni ngono zembe.... If you wanna fu.k then fu.k responsibly.
Ni mimi babu yenu ODM nikiwaleteeni hii injili tokea kaunta ya juu, Fesibuku Pub.
mwekundu mdogo wangu wacha ubishi meku! Heri liharibike ukiwa ushalinunua ambapo possibility yake ni ndogo.Mbe ajali kazini mbe....leo nanasi linaweza kuwa safi kesho likaoza ndani kwa ndani
Wewe ni Mkare aisee....
Nimesoma na nimetamani tuitengenezee movie ili jamii ijifunze zaidi.
In serious note, naomba tuonane kesho hapo kwenye kijiwe changu cha kahawa ili tuandae huo mswada, nina mfadhili wa kutuwezesha.
Hii makitu inalipa aisee.
Mentor
Mentor asante sana kwa kisa hiki ambacho kina ukweli na uhalisia ndani mwake. Hili ni janga na ni wachache wanachukua tahadhari ila kwa kweli hali ni mbaya sana
Mpigie Nicas aise ujue hata hali yake na status yake bana
Wanaume wengi wakishajua msichana ni bikra swala la kupima kabla ya tendo linakuwa halipo....mana anamwamini msichana moja kwa moja sababu ya bikra yake...
mwekundu mdogo wangu wacha ubishi meku! Heri liharibike ukiwa ushalinunua ambapo possibility yake ni ndogo.
Shikamoo Mtambuzi.
Umesharudi kutoka milimani? Basi nitakuja kesho...
Nicas anaendelea vizuri ila kaniambia nikuonye.
Hahaha Mr Rocky = Vin Diesel = kundi moja = silent killers!
Spot on sister! Hata mimi ningekuwa culprit hapo...
Mbe...kuna wanaume hawataki kushindwa....ndo wajifunze ukiona unakataliwa kila kukicha ujue unaepushwa na janga...mbe
Daaaah! Story inasikitisha hii,ila inafundisha wanaume muache kupapatikia hiyo mambo kiholela. Mtakufa siku si zenu
Kaka hua napenda sana story zako..hiv n hadith au true story
Mpwa wangu Mentor Mzee wa Verossa safi sana kitu imekwenda shule hii aisee ila kama kawaida Mpwao haachi uchokzi, eti ni kwanini Hawa Watani zangu Wachaga hawana sauti "th" bADALA yake wana "dh" mfano athirika wanasema adhirika!!!! Swali la mwisho la kiuchokozi, kwanini wachaga hawana majina ya Kieneyeji? Ni ya kikristo tu tena cha kujitungia? nicas, alfred, BRENDA Goliver, Godlisten......
hahahaahaaa just kidding Mpwa to be honest story imekwenda shule na umeileta muda muafaka maana umeshavuruga appointment nyingi sana za watu, haya nyie mliokuwa kamfanye ngono kesho Jumamosi, jifikirieni mara mbili mbili
Asee huyu Arushaone ndo kiboko....Utadhani anawahi deadline
Mbe.... Mie nitakusindikiza hadi kishimundu
Story nzuri na inafundisha.
Mbe.....
Contrary to general belief: Jambo zuri lazima likutoe jasho mbe!
Kufa kupo 'Valentina' Hata sijui kama ningeepuka hiloif I was in Nicas' shoes!!!
Hii ni hadithi ya kweli/true story!
Adha = adhirika
athari = athirika
Majina ya kienyeji tunayo mengi sana sema kwa ajili yenu vyasaka hatuyatumii.
Mfano mimi ninaitwa: Shirumisha Mndumii amennengia Petiel.
Endeleeni kutajana. Halafu mentor wenu alikuwa babu: Dark City
Na mimi ntakuwa muanzisha nyimbo:
"Parapanda italia parapanda..."
"Wuyana wo wukiwa...wyana wo wukiwa..."
"Kamanda...yeyoo, siku mapigo yangu ya moyo mwisho yatapogota.."
"Si mbali, karibu! Tutaimba na sisi huko"
#cd-changer atapiga Mbu.
Umejifunza nini mtoto mzuri!?? (i hope ni usiwe mgumu kutoa..)
Na wewe umo kundi la wagumu tukuibukie?
NB: Hadithi hii ni ya kweli. Majina na mahali vimebadilishwa ili kuficha uhalisia wa wahusika. KWa namna yeyote ile, hadithi hii haiwahusu Nicas Mtei wala brenda18, ni kufanana tu kwa majina!
Dr. Riwa, Preta na MziziMkavu: naomba mtupe takwimu za prevalence ya UKIMWI kwa vijana wenye umri kati ya 25 kurudi chini.
Mtambuzi, Asprin, Kaizer, Bazazi, KakaKiiza, Jiwe Linaloishi, Kipaji Halisi, Vin Diesel, TANMO na mabazazi wote...chungeni. Ikibidi sana hadi 'seal' itolewe kwa kinga.
Ndugu zangu: Mashaxizo, mwekundu, Rural Swagga, Himidini, Mapi, Mshinga ...kuweni waangalifu.
Dadaz: mwallu, Mwalu, Heaven on Earth, Smile, miss chagga, beibe nasty, mimi49, blue g, miss strong, farkhina, Zinduna, lara 1, et al...sio kina brenda tu. Hata kina Chrispin wapo wa namna hii.
gfsonwin, Paloma, Madame B, cacico, @mamndenyi, snowhite, farkhina, Dark City, watu8, et al chungeni watoto wenu!!!
BEWARE...AIDS IS REAL...