Tulizo
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 848
- 663
Kwa haraka na kutumia maelezo yako..huyu mama ana mapepo yanamsumbua... na kijana wake amekosa sifa za kuitwa Baba wa nyumba..hivyo usimtegemee kama ataweza kutatua hizo issues...
Kikubwa ujue wewe ndiye mwenye mji..inabidi umuheshimu mama lakini siyo kwa nidhamu ya woga..Kupeana ukweli, kwa lugha ya heshima ni njia sahihi..
Lakini kabla ya yote lazima umwonyeshe mama kuwa hata wewe unao wazazi..kama wazazi wako wako hai waite waje (kwa gharama yeyote) na itakuwa vizuri ukaongea yote "black and white" mbele ya wazazi wako na huyo mama..bila kuogopa what is next... Najua wazazi wako hawatavumilia lugha mbaya kama huyo mama ataanza..na hivyo itakusidia wewe kukaa kimya na remote control kikao..
All in all, lazima ufanye kitu ASAP... binafsi sikushauri kukimbia nyumba kwa sababu ya mtu mmoja mwenye mapepo yanayomsumbua..Wewe hapo ni kwako na mama ni mgeni..Apewe heshima zake lakini sio kwa woga.. kama vidonge apewe..anywe, apone mapepo!
Kikubwa ujue wewe ndiye mwenye mji..inabidi umuheshimu mama lakini siyo kwa nidhamu ya woga..Kupeana ukweli, kwa lugha ya heshima ni njia sahihi..
Lakini kabla ya yote lazima umwonyeshe mama kuwa hata wewe unao wazazi..kama wazazi wako wako hai waite waje (kwa gharama yeyote) na itakuwa vizuri ukaongea yote "black and white" mbele ya wazazi wako na huyo mama..bila kuogopa what is next... Najua wazazi wako hawatavumilia lugha mbaya kama huyo mama ataanza..na hivyo itakusidia wewe kukaa kimya na remote control kikao..
All in all, lazima ufanye kitu ASAP... binafsi sikushauri kukimbia nyumba kwa sababu ya mtu mmoja mwenye mapepo yanayomsumbua..Wewe hapo ni kwako na mama ni mgeni..Apewe heshima zake lakini sio kwa woga.. kama vidonge apewe..anywe, apone mapepo!