Matron acha matusi!usha mgegeda au hata kugegeda hujui?
Mpenzi kitunguu
Habari Jamiiforum?
Nisaidieni labda mimi ni mgeni wa haya mambo?
Nilikua nikitafuta mahusiano lakini mahusiano yatakayokua na afya sasa nimepata demu lakini mimi namuwaza sana mpaka nalia sjui nifanyeje? Nachoka kabisa.
Pole mkuu, umesharogwa hivyo...Habari Jamiiforum?
Nisaidieni labda mimi ni mgeni wa haya mambo?
Nilikua nikitafuta mahusiano lakini mahusiano yatakayokua na afya sasa nimepata demu lakini mimi namuwaza sana mpaka nalia sjui nifanyeje? Nachoka kabisa.

Usifanye hivyo tena, si afya mwanamke kuyaona machozi yako kila wakatiAnajua tayari
Huyo achana naye kabisa. Mwanaume wa kawaida hawezi kumpenda mwanamke kiasi hicho - labda umependa jini si mtu. Au ana mapepo yale ambayo yanamfanya mtu aliyeachwa kujiua. Mwache FASTA
Hahaaaa yaan ningekua jirani apo ngekupa na nyongeza ya vibao ulie vizuri
















Umriiii wako mkuu kama hutojaliHabari Jamiiforum?
Nisaidieni labda mimi ni mgeni wa haya mambo?
Nilikua nikitafuta mahusiano lakini mahusiano yatakayokua na afya sasa nimepata demu lakini mimi namuwaza sana mpaka nalia sjui nifanyeje? Nachoka kabisa.
Hata majaribio hawjafanya nini mtihan mkuuhivi darasa la nne mmeshafanya mtihani wa mock tayari?