Namuwaza mpaka nalia

Namuwaza mpaka nalia

Mkuu huo ni ujinga

Ukiendelea hivyo mapenzi yatakuua mwanamke acha aitwe mwanamke
 
Huyo achana naye kabisa. Mwanaume wa kawaida hawezi kumpenda mwanamke kiasi hicho - labda umependa jini si mtu. Au ana mapepo yale ambayo yanamfanya mtu aliyeachwa kujiua. Mwache FASTA
 
Hauna shughuli za kufanya?au za kukuweka bize?kama hauna embu tafuta!utajiumiza!
 
Back
Top Bottom