Namuwaza mpaka nalia

Namuwaza mpaka nalia

Mkuu daaah poleeee lakin ipo tatizo pahala kwani wewe kulia lia wapenda kama vp piga tindo hyo mambo fanya inshu nyingine kwan wwe na nduru nduru na wwe so til ds material tym unalia
 
Umri wenu bado so endelea kulia tu Tena liaaaaaaa haswaaa usiluke io steji hahaha aiseee itajiludia ukubwani.....
 
Habari Jamiiforum?
Nisaidieni labda mimi ni mgeni wa haya mambo?
Nilikua nikitafuta mahusiano lakini mahusiano yatakayokua na afya sasa nimepata demu lakini mimi namuwaza sana mpaka nalia sjui nifanyeje? Nachoka kabisa.
pole sana mkuu hata Mimi napitia wakati huu mgumu japo silii ila najikaza tu utazani hamna kitu

alijua navyompenda akajawa kiburi na dharau lkn nikiwa busy na mambo yangu namsahau na akiona naanza kumsahau anarudi kwa unyonge na kuomba msamaha maana aliniburuza sana huyu

ila kwa sasa Niko poa
Pole yetu mkuu
 
Mshazini? Maana kama ukimuwaza tu unalia mkiwa mnazini je si ndio utakua unazimia!
 
Utakuwa una matatizo yako binafsi Mkuu..!

Kuwaza jambo na kulia....ni aina fulani ya Ukichaa..!
 
Baadhi ya wanaume mna visaa. Daah.

Yaani kupenda tu ndio kukufanye utoe chozi kila kukicha pasi huzuni. Pole sana.
 
Hahah
Hiyo tu kumuwaz mpenzi? Je siku ukiumwa jinoo..utakoma.
 
Habari Jamiiforum?
Nisaidieni labda mimi ni mgeni wa haya mambo?
Nilikua nikitafuta mahusiano lakini mahusiano yatakayokua na afya sasa nimepata demu lakini mimi namuwaza sana mpaka nalia sjui nifanyeje? Nachoka kabisa.
Sio bure, nakushauri ukamaone Daktari wa magonjwa ya akili
 
kwan post za a level hazijatoka??
au ndo unanhgojea kwemda cerificate huko utakua utaachan hz tabia
 
Chomelea kidogo macho kweny moto. Chukua Asali jipake kweny kope. Hyo dawa tosha
 
Back
Top Bottom