Namuwaza mpaka nalia

Namuwaza mpaka nalia

Habari Jamiiforum?
Nisaidieni labda mimi ni mgeni wa haya mambo?
Nilikua nikitafuta mahusiano lakini mahusiano yatakayokua na afya sasa nimepata demu lakini mimi namuwaza sana mpaka nalia sjui nifanyeje? Nachoka kabisa.
Nadhan utakuwa na pepo la kulia
 
Angalia tu usije ukanywa sumu maana watu kama nyie hamchelewi
 
Habari Jamiiforum?
Nisaidieni labda mimi ni mgeni wa haya mambo?
Nilikua nikitafuta mahusiano lakini mahusiano yatakayokua na afya sasa nimepata demu lakini mimi namuwaza sana mpaka nalia sjui nifanyeje? Nachoka kabisa.
Mimi namuwaza sana Me too hadi nalia ila machozi yangu yatafutwa na mungu
 
Mara paaaap !!akakupiga za sijui utalia tena maana unalia hujaachwa
 
Pole sana dogo,
ila ni kawaida hakuna mtu ambae hajawai kulizwa na mapenzi japo tunatofautiana kulia....jikaze tu muda utafika utazoea utaweza kujiControl hutalia kizembe hivyo.

Karibu ukubwani.
 
Habari Jamiiforum?
Nisaidieni labda mimi ni mgeni wa haya mambo?
Nilikua nikitafuta mahusiano lakini mahusiano yatakayokua na afya sasa nimepata demu lakini mimi namuwaza sana mpaka nalia sjui nifanyeje? Nachoka kabisa.
Lia tu .wala usijali
Ukiamka lia .ukilala lia .ukiachwa lia pia
 
ukimuwazia kuhusu nn ndio unalia
kuhusu sura yake ilivyo mbaya, anawaza hivi aliingiaje mkenge kumpenda demu kama huyo, kwa hiyo akiwaza anaanza kulia kama mtoto mdogo,
ap_090911089838_wide-58102eebb732a70864dc08c1ff9321af5051b9f4.jpg
 
Habari Jamiiforum?
Nisaidieni labda mimi ni mgeni wa haya mambo?
Nilikua nikitafuta mahusiano lakini mahusiano yatakayokua na afya sasa nimepata demu lakini mimi namuwaza sana mpaka nalia sjui nifanyeje? Nachoka kabisa.
 
Back
Top Bottom