Tanzania ya sasa kuna uhaba wa wadada wanaojielewa kwa ajili ya kuwa wake za watu

BigTall

JF-Expert Member
Mar 9, 2022
421
1,048
Wadau salama, kuna jambo moja naona linazidi kuwa gumzo mitaani, awali nilijua labda ni mtaani kwetu tu lakini naona asilimia kubwa ya wanaume wanalalamika kuhusu hili suala.

Nina rafiki yangu mmoja leo ametoka kunitumia sms analalamika kuhusu wadada, nakumbuka sentensi yake moja kaniambia “Madem wa siku hizi hawana akili, wengi wao ni warembo lakini kichwani ziro”

Huyu jamaa sasa hivi anaelekea miaka 40, hajaoa nah ana demu wa kueleweka, alichelewa kuoa kwa kuwa alikuwa bize na mishe za biashara na masomo, lakini huu ni mwaka wa tano kila demu anayempata ni pasua kichwa.

Nilishamshauri kuwa huwezi kupata dem ambaye yuko perfect kwa kila kitu, hilo analijua lakini hata anaposhirikisha wenzake ambao hawajaoa au wengine ambao wameoa, matukio wanayomuelezea anakata tamaa ya kufunga ndoa.

Moja ya jambo analolalamikia ni kuwa wadada wengi kwanza hawana uwelewa wa kuwa na future, wanachowaza ni ku spend leo na hawajui kesho yao ipoje, wengine wao ni kuomba hela tu, wengine kukosa uaminifu.

Hiyo pointi ya mwisho ndiyo inamchosha zaidi, anasema anashuhudia wanawake wengi wake za watu wakiwa wanagongwa nje ya ndoa, wengi wao wanagongwa na ma ex wao, wengine wanagonjwa na masala wa mtaani tu.

Hilo jambo kiukweli hata mimi naliona na kuna muda naona kama tunakoelekea itafika hatua wanaume wataacha kuoa na watakuwa wakizalisha tu kisha wanalea watoto.

Kwa mwanaume yeyote uchungu mkubwa mkubwa mkubwa kuliko wote ni kugongewa mke au kubambikiwa mtoto, kwa sasa hio ndiyo michongo mingi.

Nisaidieni jamani, ni kweli asilimia kubwa ya wadada wa sasa hasa wale wa umri wa miaka 18 hadi 32 wengi wao ni PASUA KICHWA?
 
Wadau salama, kuna jambo moja naona linazidi kuwa gumzo mitaani, awali nilijua labda ni mtaani kwetu tu lakini naona asilimia kubwa ya wanaume wanalalamika kuhusu hili suala.

Nina rafiki yangu mmoja leo ametoka kunitumia sms analalamika kuhusu wadada, nakumbuka sentensi yake moja kaniambia “Madem wa siku hizi hawana akili, wengi wao ni warembo lakini kichwani ziro”

Huyu jamaa sasa hivi anaelekea miaka 40, hajaoa nah ana demu wa kueleweka, alichelewa kuoa kwa kuwa alikuwa bize na mishe za biashara na masomo, lakini huu ni mwaka wa tano kila demu anayempata ni pasua kichwa.

Nilishamshauri kuwa huwezi kupata dem ambaye yuko perfect kwa kila kitu, hilo analijua lakini hata anaposhirikisha wenzake ambao hawajaoa au wengine ambao wameoa, matukio wanayomuelezea anakata tamaa ya kufunga ndoa.

Moja ya jambo analolalamikia ni kuwa wadada wengi kwanza hawana uwelewa wa kuwa na future, wanachowaza ni ku spend leo na hawajui kesho yao ipoje, wengine wao ni kuomba hela tu, wengine kukosa uaminifu.

Hiyo pointi ya mwisho ndiyo inamchosha zaidi, anasema anashuhudia wanawake wengi wake za watu wakiwa wanagongwa nje ya ndoa, wengi wao wanagongwa na ma ex wao, wengine wanagonjwa na masala wa mtaani tu.

Hilo jambo kiukweli hata mimi naliona na kuna muda naona kama tunakoelekea itafika hatua wanaume wataacha kuoa na watakuwa wakizalisha tu kisha wanalea watoto.

Kwa mwanaume yeyote uchungu mkubwa mkubwa mkubwa kuliko wote ni kugongewa mke au kubambikiwa mtoto, kwa sasa hio ndiyo michongo mingi.

Nisaidieni jamani, ni kweli asilimia kubwa ya wadada wa sasa hasa wale wa umri wa miaka 18 hadi 32 wengi wao ni PASUA KICHWA?
Huo ni uzembe wake ambao umetokana na kutokutumia muda vizuri na kusoma alama za nyakati.

Mke anapatikana kipindi cha kutafuta elimu aidha Msingi, Sekondari au Vyuoni hao wengine mnaokutana baada ya kuajiriwa sio mke ni mshikadau ambae mmekutana kufanya maisha ni kama business partner na sio mke.

Mwambie arudi kijijini kwao akaoe hatopata mke anayemtaka mjini sababu waliopo wote wanawatu au walikuwa na watu wao.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Huo ni uzembe wake ambao umetokana na kutokutumia muda vizuri na kusoma alama za nyakati.

Mke anapatikana kipindi cha kutafuta elimu aidha Msingi, Sekondari au Vyuoni hao wengine mnaokutana baada ya kuajiriwa sio mke ni mshikadau ambae mmekutana kufanya maisha ni kama business partner na sio mke.

Mwambie arudi kijijini kwao akaoe hatopata mke anayemtaka mjini sababu waliopo wote wanawatu au walikuwa na watu wao.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app


Wengi hawatakuelewa.

Huwaga nawashauri Dada zangu na wadogo zangu chuoni, huo ndio muda wa kuhangaika walau wapate wenza wa maisha.
 
Mke anapatikana kipindi cha kutafuta elimu aidha Msingi, Sekondari au Vyuoni
kama ndio hivyo basi topic ya kwanza, watoto pale darasa la kwanza inabidi wapewe ukweli kuwa Mke anapatikana kipindi cha kutafuta elimu aidha Msingi, Sekondari au Vyuoni.
So walizingatie Ilo mapema.
 
Wadau salama, kuna jambo moja naona linazidi kuwa gumzo mitaani, awali nilijua labda ni mtaani kwetu tu lakini naona asilimia kubwa ya wanaume wanalalamika kuhusu hili suala.

Nina rafiki yangu mmoja leo ametoka kunitumia sms analalamika kuhusu wadada, nakumbuka sentensi yake moja kaniambia “Madem wa siku hizi hawana akili, wengi wao ni warembo lakini kichwani ziro”

Huyu jamaa sasa hivi anaelekea miaka 40, hajaoa nah ana demu wa kueleweka, alichelewa kuoa kwa kuwa alikuwa bize na mishe za biashara na masomo, lakini huu ni mwaka wa tano kila demu anayempata ni pasua kichwa.

Nilishamshauri kuwa huwezi kupata dem ambaye yuko perfect kwa kila kitu, hilo analijua lakini hata anaposhirikisha wenzake ambao hawajaoa au wengine ambao wameoa, matukio wanayomuelezea anakata tamaa ya kufunga ndoa.

Moja ya jambo analolalamikia ni kuwa wadada wengi kwanza hawana uwelewa wa kuwa na future, wanachowaza ni ku spend leo na hawajui kesho yao ipoje, wengine wao ni kuomba hela tu, wengine kukosa uaminifu.

Hiyo pointi ya mwisho ndiyo inamchosha zaidi, anasema anashuhudia wanawake wengi wake za watu wakiwa wanagongwa nje ya ndoa, wengi wao wanagongwa na ma ex wao, wengine wanagonjwa na masala wa mtaani tu.

Hilo jambo kiukweli hata mimi naliona na kuna muda naona kama tunakoelekea itafika hatua wanaume wataacha kuoa na watakuwa wakizalisha tu kisha wanalea watoto.

Kwa mwanaume yeyote uchungu mkubwa mkubwa mkubwa kuliko wote ni kugongewa mke au kubambikiwa mtoto, kwa sasa hio ndiyo michongo mingi.

Nisaidieni jamani, ni kweli asilimia kubwa ya wadada wa sasa hasa wale wa umri wa miaka 18 hadi 32 wengi wao ni PASUA KICHWA?
Actually wakaka na vijana ndio walishaisha kabisa

Hawajielewi tena

Wanatupa tabu sana wazee… maana tunalea mama zao, mashangazi zao…. Na sasa mademu zao

Inachosha

Vijana amkeni…. Undeni vikundi vya kupeana stadi z maisha na ujana

Achaneni na betting na kulelewa
 
Huo ni uzembe wake ambao umetokana na kutokutumia muda vizuri na kusoma alama za nyakati.

Mke anapatikana kipindi cha kutafuta elimu aidha Msingi, Sekondari au Vyuoni hao wengine mnaokutana baada ya kuajiriwa sio mke ni mshikadau ambae mmekutana kufanya maisha ni kama business partner na sio mke.

Mwambie arudi kijijini kwao akaoe hatopata mke anayemtaka mjini sababu waliopo wote wanawatu au walikuwa na watu wao.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Hilo nalo neno.
 
Moja ya jambo analolalamikia ni kuwa wadada wengi kwanza hawana uwelewa wa kuwa na future, wanachowaza ni ku spend leo na hawajui kesho yao ipoje, wengine wao ni kuomba hela tu, wengine kukosa uaminifu
KUKOSA UAMINIFU ndo janga la Taifa kwa sasa🙄
 
Watu tumejitenga na maadili mema ya dini na jamii kwa ujumla ndio matokeo hayo, na kwa hali hii tulio nayo miaka ijayo hali takua ngumu sana.
 
Wanaume wengi hawajatulia
Wasichana wengi hawajatulia

Wasichana wa vyuo wengi wao ni KIRUSI/U.T.I, kwanza kabisa hawajatulia, wanazaa hovyo, na ukiowa msichana wa chuo kubali kuolewa, isipokua wachache mno mno wanajielewa.

Kwa upande wa wanaume ni asilimia ndogo mno waliotulia.....kumpata mwanamme atakae kuowa na hana mtoto wa nje ya ndoa ni nadra sana, ukimpata hana basi una bahati kubwa binti.
 
Wewe ndio una matatizo,haiwezekani Hadi 40 hujaoa halafu unasingizia wadada,hata utakuwa na nongwa na gubu wewe!life expectancy yenyewe Africa fupi Hadi 40 hujaoa unatarajia Nini Sasa?wewe Ni PASUA KICHWA
 
Wanaume wengi hawajatulia
Wasichana wengi hawajatulia

Wasichana wa vyuo wengi wao ni KIRUSI/U.T.I, kwanza kabisa hawajatulia, wanazaa hovyo, na ukiowa msichana wa chuo kubali kuolewa, isipokua wachache mno mno wanajielewa.

Kwa upande wa wanaume ni asilimia ndogo mno waliotulia.....kumpata mwanamme atakae kuowa na hana mtoto wa nje ya ndoa ni nadra sana, ukimpata hana basi una bahati kubwa binti.
Well said!!
 
𝙳𝚊𝚊𝚊𝚑, 𝚑𝚞𝚢𝚘 𝚓𝚊𝚖𝚊𝚊 𝚊𝚗𝚊𝚙𝚒𝚝𝚒𝚊 𝚖𝚒𝚑𝚊𝚗𝚐𝚊𝚒𝚔𝚘 𝚗𝚒𝚗𝚊𝚢𝚘𝚙𝚒𝚝𝚒𝚊 𝚖𝚒𝚖𝚒 𝚔𝚠𝚊 𝚜𝚊𝚜𝚊, 𝚢𝚊𝚊𝚗𝚒 𝚜𝚒𝚗𝚊 𝚖𝚊𝚑𝚞𝚜𝚒𝚊𝚗𝚘 𝚢𝚊𝚗𝚊𝚢𝚘𝚎𝚕𝚎𝚠𝚎𝚔𝚊, 𝚖𝚋𝚊𝚢𝚊 𝚣𝚊𝚒𝚍𝚒 𝚑𝚊𝚝𝚊 𝚔𝚞𝚠𝚊𝚋𝚞𝚝𝚞𝚊 𝚑𝚒𝚣𝚘 𝚖𝚒𝚖𝚋𝚊 𝚜𝚒𝚠𝚊𝚋𝚞𝚝𝚞𝚒, 𝚗𝚒𝚔𝚊𝚓𝚒𝚏𝚊𝚗𝚢𝚊 𝚖𝚔𝚎 𝚖𝚠𝚎𝚖𝚊 𝚊𝚗𝚊𝚝𝚘𝚔𝚊 𝚔𝚠𝚊 𝚋𝚠𝚊𝚗𝚊 𝚔𝚞𝚖𝚋𝚎 𝚗𝚍𝚘 𝚗𝚊𝚣𝚒𝚍𝚒 𝚔𝚞𝚟𝚞𝚕𝚞𝚐𝚊 𝚔𝚊𝚋𝚒𝚜𝚊 𝚖𝚊𝚒𝚜𝚑𝚊,
𝚔𝚒𝚕𝚊 𝚖𝚜𝚒𝚌𝚑𝚊𝚗𝚊 𝚞𝚗𝚊𝚢𝚎𝚖𝚐𝚞𝚜𝚊 𝚊𝚗𝚊𝚖𝚝𝚞 𝚠𝚊𝚔𝚎 𝚊𝚞 𝚊𝚔𝚒𝚔𝚞𝚔𝚞𝚋𝚊𝚛𝚒𝚊 𝚊𝚗𝚊𝚝𝚊𝚏𝚞𝚝𝚊 𝚑𝚎𝚛𝚊 𝚣𝚊𝚔𝚘 𝚖𝚠𝚒𝚜𝚑𝚘 𝚊𝚗𝚊𝚜𝚎𝚙𝚊,
𝙷𝚒𝚒 𝚍𝚞𝚗𝚒𝚊 𝚋𝚊𝚗𝚊 𝚑𝚊𝚒𝚓𝚊𝚠𝚊𝚑𝚒 𝚔𝚞𝚋𝚊𝚕𝚊𝚗𝚌𝚎,
𝚗𝚒𝚔𝚒𝚕𝚒 𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚗𝚒𝚕𝚒𝚙𝚘𝚝𝚎𝚣𝚊 𝚙𝚘𝚒𝚝 𝚗𝚒𝚔𝚒𝚠𝚊 𝚔𝚊𝚝𝚒𝚔𝚊 𝚞𝚖𝚛𝚒 𝚠𝚊 𝚖𝚒𝚊𝚔𝚊 19, 𝐤𝐢𝐩𝐢𝐧𝐝𝐢 𝐧𝐚𝐬𝐨𝐦𝐚 𝚗𝚒 𝚋𝚘𝚛𝚊 𝚗𝚒𝚗𝚐𝚎𝚏𝚒𝚐𝚑𝚝 𝚖𝚊𝚙𝚎𝚖𝚊 𝚜𝚊𝚗𝚊 𝐤𝐮𝐩𝐚𝐭𝐚 𝐃𝐞𝐦𝐮,
𝐍𝐢𝐦𝐞𝐛𝐚𝐤𝐢𝐚 𝐭𝐮 𝐦𝐭𝐮 𝐰𝐚 𝐤𝐮𝐬𝐡𝐢𝐤𝐚 𝐭𝐚𝐦𝐚 𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐣𝐢𝐤𝐚𝐭𝐢𝐚 𝐭𝐚𝐦𝐚𝐚, 𝐮𝐥𝐨𝐤𝐨𝐥𝐞 𝐦𝐰𝐢𝐧𝐠𝐢 𝐮𝐤𝐢𝐳𝐢𝐝𝐢 𝐬𝐨𝐦𝐞𝐭𝐢𝐦𝐞 𝐧𝐢𝐝𝐡𝐚𝐦𝐛𝐢 𝐩𝐢𝐚
 
Back
Top Bottom