Naskia morogoro kusini ambako sasa hivi yupo Inocent karogelesi ataenda kugombea prospa Mbena afu kalogeres anaenda morogoro kusini mashariki kwa Lucy nkya
Ila hawa wote ni vimeo aisee yani hakuna hata mwenye afadhari.
Mfano kalogeresi
1.hajui hata kuongea wala kujenga hoja kuanzia jimboni kwake mpaka bungeni.
2.Syo mwenyeji wa morogoro kusini so halijui jimbo vizuri kuanzia wananchi,maeneo na matatizo yao.
3.Hana msaada kwa wananchi kwani kuna vijana wanashindwa mpaka kulipa ada kwenye shule za kata na wanafukuzwa shule ikiwa ni government skul lakini mbunge anauchapa usingizi tuu.
4.Elimu yake magumashi na yakuunga unga tuu.
5.Syo mbunifu wa kutatua kero za wananchi jimboni kwake na anafumbia macho maovu ikiwamo migogoro ya wakulima na wafugaji ilooanza kujitokeza kisaka pamoja na mauaji ya kikongwa bwakira juu
Ila inasemekana kuna kijana makini sana anaitwa James Mbena anajipanga kwenda kugombea jimbo la morogoro kusini kama cyo mwakani basi ni 2020..
Huyu kijana ni mzaliwa wa konde matombo morogoro na elimu yake ni:-
2001-2004 =O level matombo secondary
2005-2007=A level at Changarawe high school mafinga mkoani iringa
2007-2010=Bachelor degree in Political science and public administration from UDSM
2013-2014= Masters of science in Human Resources Management from Mzumbe university
Aisee hii ni CV yake kwa ufupi ila kiukweli huyu kijana ni tishio
Chama kipi cha UKAWA chenye nguvu hapo kishike hatamu Mara moja
Hiyo sababu ya pili naomba uiondoe,kwani moro ni mkoa wenye sifa ya kuongozwa na wabunge wahindi na waarabu,Kama kuna wabunge Wa chama cha mapinduzi wenye wakati mgumu katika harakati za kurudi bungeni baada ya uchaguzi Mkuu Wa mwakani 2015 basi mbunge Wa morogoro kusini mashariki, mama Lucy Nkya ana kazi kubwa mno.
Huyu mama hakubaliki hata na watoto wadogo kwenye jimbo lake kwani:
1. Anahusishwa na kifo cha aliyekuwa diwani Wa kinole (ccm) Kwa kuwa walikuwa wakigombania nyumba ambayo mama alimuonga diwani huyo ili awashawishi wananchi ambao hawamtaki mama.
2. Mama nkya siyo mzawa Wa eneo husika hivyo watu Wa kiloka, mkuyuni pamoja na kinole ambao Kwa asili ni waluguru wamechoka kutawaliwa na Mgeni Kwa miaka sasa wakati eneo hilo lina wazawa wengi wenye sifa.
3.Hakuna maendeleo yoyote ambayo yamefanyika toka kuja Kwa mama huyu. Soko lililojengwa mkuyuni ni kazi nzuri ya mwenyekiti Wa kijiji (CUF) Kwa kushirikiana na diwani wake. Mama huyu haonekani jimboni.
KWA MAEKEZO HAYA, MAMA TAFUTA CHAKA MAPEMA.
Hiyo sababu ya pili naomba uiondoe,kwani moro ni mkoa wenye sifa ya kuongozwa na wabunge wahindi na waarabu,
je hao nao ni waluguru? nilitegemea kwamba wananchi wameamka na kutaka ukombozi wa kifikra kwa kumsimamisha mpinzani. kama ni mambo ya ukabila
washindwe tu.
Watu wa Morogoro wengi ni wafupi,na akili zao hivyo hivyo.Wageni wameendelea kuwatawala toka enzi za ukoloni hadi sasa.uhuru wao hadi wachague UKAWA ndio utakuwa uhuru wao wanaupata kwa mara ya kwanza.Huyu mhindi wa sasa nasikia kaupata ubunge kwa kutoa basi moja kusaidia kwenye misiba ndo kamaliza.Sisi huku kwetu Singida huyu mhindi awamu moja tu inamtosha,anapigwa chini
Mama huyo anafanya kazi nzuri na anahuruma na hao watu wake.Hakuna wa kumtoa hapo atleast hao waliionyesha nia woote hovyo
kwani huyu mama ilikuwaje akapewa ubunge na siyo mzaliwa?halafu watu wa Morogoro wapo nyuma sana,kuna waarabu kibao na wahindi wanawatawala huko,tabia ya watu wa morogoro ni ubishi na kujiona wanajua halafu wavivu,acha waendelee kutawaliwa na wageni
Ukimwangalia sura tu ana kila dalili ya roho mbaya .Huyo hapo chini ni aliyekuwa mbunge Wa morogoro kusini ndugu hamza a. Mwenegoha pia naibu waziri Wa ujenzi Kwa miaka mitano hakuweka hata changarawe katika barabara hata moja katika jimbo lake.
Naskia morogoro kusini ambako sasa hivi yupo Inocent karogelesi ataenda kugombea prospa Mbena afu kalogeres anaenda morogoro kusini mashariki kwa Lucy nkya
Ila hawa wote ni vimeo aisee yani hakuna hata mwenye afadhari.
Mfano kalogeresi
1.hajui hata kuongea wala kujenga hoja kuanzia jimboni kwake mpaka bungeni.
2.Syo mwenyeji wa morogoro kusini so halijui jimbo vizuri kuanzia wananchi,maeneo na matatizo yao.
3.Hana msaada kwa wananchi kwani kuna vijana wanashindwa mpaka kulipa ada kwenye shule za kata na wanafukuzwa shule ikiwa ni government skul lakini mbunge anauchapa usingizi tuu.
4.Elimu yake magumashi na yakuunga unga tuu.
5.Syo mbunifu wa kutatua kero za wananchi jimboni kwake na anafumbia macho maovu ikiwamo migogoro ya wakulima na wafugaji ilooanza kujitokeza kisaka pamoja na mauaji ya kikongwa bwakira juu
Ila inasemekana kuna kijana makini sana anaitwa James Mbena anajipanga kwenda kugombea jimbo la morogoro kusini kama cyo mwakani basi ni 2020..
Huyu kijana ni mzaliwa wa konde matombo morogoro na elimu yake ni:-
2001-2004 =O level matombo secondary
2005-2007=A level at Changarawe high school mafinga mkoani iringa
2007-2010=Bachelor degree in Political science and public administration from UDSM
2013-2014= Masters of science in Human Resources Management from Mzumbe university
Aisee hii ni CV yake kwa ufupi ila kiukweli huyu kijana ni tishio