Namuonea huruma kumuacha nitamuumiza tena

Namuonea huruma kumuacha nitamuumiza tena

hapo unachagua wewe mkuu,kumuumiza mkeo au mchepuko...kama mkeo(na mama watoto) unamuheshimu basi usimuumize maana naye akianza utaumia mara 100,heshimu kiapo cha ndoa yenu lea mtoto wenu,achana na michepuko na uwe mume mwema na baba bora
 
vitu vingine ngoja tu nisi commentbali nipite tuu kama hivi
 
Wanawake mna tabu sana kuolewa na watu kama hawa.
 
Naipenda sana hii Millennial Generation, yaani watu hamjuani; Mnakutana tu barabarani mnapeana namba za simu, really?.

Yaaaaniiii ht mm nimeshangaa..huyo dem naye yuko cheap..siku ya kwanza tu anatoa namba..na hapo ameombwa peni..angepewa lift je....tena to a stranger
No wonder ndio maana watu wanatongozana Facebook then wanaenda guest na kuishia kuuliwa....girls be careful
 
Umri ulionao ni umri ambao mwanaume anakua very active..umri wa kisharobaro..kiblazameni...yn sijui nielezeje
Umewahi kuoa...ukifika miaka 30 sijui itakuwaje mana umri ulionao sasa ndio ule umri wa kubadili madem na viwanja...huyo unayemuonea huruma yy anakuonea huruma pia...km anapiga na yy na mchepuko mwingine je...subiri ukimwi...la sivyo piga chini
 
miaka 24 mtoto wa miaka 6! mke miaka 21, hapo sioni familia ya baba, mama na mtoto ila ni kaka ambaye akili yake haijapevuka lkn ameamua aishi na wadogo zake wawili
 
miaka 24 mtoto wa miaka 6! mke miaka 21, hapo sioni familia ya baba, mama na mtoto ila ni kaka ambaye akili yake haijapevuka lkn ameamua aishi na wadogo zake wawili

sasa unaweza ukawa na miaka 30..ukawa hauna uwwzo wa kufkir ila mm 24 nacontrol familia yangu vizuri...ninakwangu
 
form 4 unafanya kaz uhamiaj kaz gan?au unaosha vyombo utakuwa mlinz ww ndoorobo kbsa.

punguza umalaya utakufa ww
 
potea mbali muuaji ww na ulaniwe kwani utamuumiza tena na maumivu yake ni mara mia muachemapema azoee
 
uvivu wa kufikir nn wewe malaya form 4 sasa unafanya kazi gani uhamiaji we ndoorooobo.naona utakuw unafagia tuu mpumbav ww.hum sio saiz yko nenda facebook ukakutane namalaya wenzako
 
Back
Top Bottom