Wise Person
Senior Member
- Jul 3, 2015
- 101
- 86
Kama Huna mpango na MTU kwann unamtongoza? Tena Unamke unathibutu kweli Kusaliti ndoa yako? Sasa tubu Kwa dhambi hiyo ulilofanya Mtafute huyo Dada Umuwekd Wazi ili Mungu akisamehe.. Uombe Msamaha na Muachane kabisa Msiwe katika Mahisiano ya kimapenzi tena. Na uheshimu ndoa Yako Usirudie Tena. "Ts Better to hurt someone With the Truth rather than Comfort her with a Lie"