Wakuacha
JF-Expert Member
- May 19, 2015
- 2,046
- 1,340
Habari wana Jf,
Mimi ni kijana wa miaka 24,nina mke na mtoto mmoja ambaye ana miaka 6, huyu mke wangu nipo nae toka nikiwa Burima secondary nilimpa nimba akiwa form two mimi nikiwa form four mwaka 2008, akajifungua mwaka 2009, mwaka 2010 niliajiriwa serikalini, nikiwa na miaka 19 ndipo 2012 nikiwa na miaka 22 tulianza kuishi wote kama mke na mme japo tumefunga ndoa ya bomani kanisani bado.
Mwaka jana mimi na mke wangu ilitokea tukawa na kutokuelewana, yeye kila siku ananituhumu mimi malaya sipendi kuitwa malaya japo ndio napigapiga nje. Siku moja nilienda Bank kumlipia mwanangu ada ya shule, nikakutana na mdada mwanachuo wa chuo cha ualimu, kwa kuwa sikua na peni ilibidi nimfuate aniazime peni. Macho hayana pazia nikatokea kumtamani kweli, nikachukua namba zake nikawa na wasiliana nae, text za hapa na pale.
Ikafika kipindi akaniamini sana akanisimulia jinsi alivyotendwa na mpenzi wake kiukweli alinitia huruma sana nilimhurumia mimi nikajaribu ndoano yangu kiukweli hakunikubalia kbsa, sema nilimtatengenezea mazingira nikamgegeda mtoto alitokea kunipenda sana nipo nae sasa kwa miezi kama 8 kiukweli mimi sina mapenzi ya dhati, kwake nampenda mke wangu nashimdwa kumpiga chini, namuhurumia kumuacha.
Nawasilisha ushauri wenu
Mimi ni kijana wa miaka 24,nina mke na mtoto mmoja ambaye ana miaka 6, huyu mke wangu nipo nae toka nikiwa Burima secondary nilimpa nimba akiwa form two mimi nikiwa form four mwaka 2008, akajifungua mwaka 2009, mwaka 2010 niliajiriwa serikalini, nikiwa na miaka 19 ndipo 2012 nikiwa na miaka 22 tulianza kuishi wote kama mke na mme japo tumefunga ndoa ya bomani kanisani bado.
Mwaka jana mimi na mke wangu ilitokea tukawa na kutokuelewana, yeye kila siku ananituhumu mimi malaya sipendi kuitwa malaya japo ndio napigapiga nje. Siku moja nilienda Bank kumlipia mwanangu ada ya shule, nikakutana na mdada mwanachuo wa chuo cha ualimu, kwa kuwa sikua na peni ilibidi nimfuate aniazime peni. Macho hayana pazia nikatokea kumtamani kweli, nikachukua namba zake nikawa na wasiliana nae, text za hapa na pale.
Ikafika kipindi akaniamini sana akanisimulia jinsi alivyotendwa na mpenzi wake kiukweli alinitia huruma sana nilimhurumia mimi nikajaribu ndoano yangu kiukweli hakunikubalia kbsa, sema nilimtatengenezea mazingira nikamgegeda mtoto alitokea kunipenda sana nipo nae sasa kwa miezi kama 8 kiukweli mimi sina mapenzi ya dhati, kwake nampenda mke wangu nashimdwa kumpiga chini, namuhurumia kumuacha.
Nawasilisha ushauri wenu