Namuonea huruma kumuacha nitamuumiza tena

Namuonea huruma kumuacha nitamuumiza tena

daaaaa tumeanza safari za matumaini kila unamwona road unapenda umpe penzi pole sana sina chakukushauri mida basi
 
Hata huyo mkeo humpendi.....mimi naona waache wote uwe unapiga piga tu kisela. Usijitie kwenye issue za ndoa huku unajua huna mapenzi na binadamu yeyote.
 
human being loves once!! ipo siku utaelewa
 
duh una miaka 24 una mtoto anamiaka 6 na umeoa? kweli hata uliyemuowa mnafanana akili
 
Sasa kama huduma zote ninampa,,,,,utoto wangu uko wapi mtoto wangu anasoma shule nzuri,,,,nyumban matumiz naacha pamoja na kuwa mke wangu ana mradi nimeshamfungulia,. mimi naendelea kusoma nafanya kazi....uhamiaji.

Acha kukurupukia mambo ya wakubwa wewe.
Huyo binti umesha haribu future yake.unamdanganya na vi miradi uchwara.
Mwanamke hasa anayejitambua huwezi kukidhi mahitaji yake na wala hawezi kuolewa na kinda kama wewe.
Eti unaacha matumizi,na mtoto anasoma shule nzuri,wapi babu?
Hili jukwaa la watu wanaojitambua,hivyo usilete mada za kitoto,matokeo yake unaambulia za uso.
Huyo binti wazazi wake wangekuwa na uwezo wasingeruhusu aolewe katika umri huo tena na zuzu kama wewe.
Mwanaamke hasa anayejitambua unaweza kumfanyia vitimbi vyote hivyo na yeye amekaa tu anakukenulia? Jielewe wewe.
 
Duuuhh, pole sana. Ila hiki kisa mkasa ulichokieleza kinaonyesha bayana bado hujakomaa kifikra. Tafuta maarifa ya kukusaidia kufanya maamuzi sasa ktk maisha.
 
acha kupigapiga nje naye ataacha kukuita hilo jina.........ongeza muda wa kusoma ili uwe busy zaidi
 
duh una miaka 24 una mtoto anamiaka 6 na umeoa? kweli hata uliyemuowa mnafanana akili

we mtu wa ajabu kweli kuwa na mtoto wa miaka sita ni ajabu....unashangaa suala la kuoa sidhani kama umri unamata hizo ni namba tu...uwezo wa kumhudumia ninao
 
Naipenda sana hii Millennial Generation, yaani watu hamjuani; Mnakutana tu barabarani mnapeana namba za simu, really?.


Mbona easy tu.
Si ameanza na ushauri wako huu....
Happiness Begins With Facing Life With A Smile And A Wink.

Amemuona binti aka smile kisha aka wink then kilichofuata kuomba peni akapewa then akaomba na namba ya simu kisha historia ikajiandika.
Zisi generation izi vere desperate to be in love and relationship.
Ndo maana leo unakutana na binti kwenye daladala unaomba namba unapewa then kesho yake unaweza ukapewa na mengineyo biashara imeisha.
Ze generesheni isyo na hofu ya Mungu.
Zisi zisi generesheni izi vere changamotoring.
 
Acha kukurupukia mambo ya wakubwa wewe.
Huyo binti umesha haribu future yake.unamdanganya na vi miradi uchwara.
Mwanamke hasa anayejitambua huwezi kukidhi mahitaji yake na wala hawezi kuolewa na kinda kama wewe.
Eti unaacha matumizi,na mtoto anasoma shule nzuri,wapi babu?
Hili jukwaa la watu wanaojitambua,hivyo usilete mada za kitoto,matokeo yake unaambulia za uso.
Huyo binti wazazi wake wangekuwa na uwezo wasingeruhusu aolewe katika umri huo tena na zuzu kama wewe.
Mwanaamke hasa anayejitambua unaweza kumfanyia vitimbi vyote hivyo na yeye amekaa tu anakukenulia? Jielewe wewe.

Wazazi wake walimuijia akakataa kurudi kwao.....
 
asiniite MALAYA sipend
Akuite tu hakuna jinsi sasa atafanyaje wakati kweli we malaya,na ukiendelea na umalaya mi nasema akuite tu,unashindwa kukaa na mkeo unahangaika na wanawake wa nje tena ulimpotezea masomo kwa sababu ya nyege zako!yaani wewe akuite tu.
 
Akuite tu hakuna jinsi sasa atafanyaje wakati kweli we malaya,na ukiendelea na umalaya mi nasema akuite tu,unashindwa kukaa na mkeo unahangaika na wanawake wa nje tena ulimpotezea masomo kwa sababu ya nyege zako!yaani wewe akuite tu.

ha ha ha ha ha
 
Aya mwache haraka sana ili aumie kwa mda huu kuliko aweke malengo mengi kwako mana atakuja umia tuu. Bora sasa ataumia kwa mda afu niPm namba yake aroo ili nimliwaze mwambie ni afande Mwita hapa.
 
Back
Top Bottom