mtoto kaoa mtoto
Wewe bado ni chekibobu,
Yale ambayo hukuyafanya wakati wa balehe ni lazima uyafanye sasa.
............... Mwendeleze mkeo kielimu ili ajiweke tayari kisaikolojia kubaki na familia
Aisee sijui ht nikushauri nn maana umeongea nonsense hapo juu
Kwahiyo ww unamuonea huruma mchepuko lkn mke wako uliyempotezea future yake akiwa form two na bado kakubali kukulelea mtoto wako humuonei huruma enh??
Na utatamani wangapi na kila msichana siku hizi ni mzuri???...
Mke wako hakukosea kukuita malaya kwa kweli. Ni jina sahii kwako.
Mpk ufike miaka 35 ambapo hapo ndo utakuwa mwanaume kweli utakuwa ushawaonea huruma wangapi?..maana hapo ww bado ni mtoto miaka 24 kwa mwanaume ni mtoto kabisaaa yani!
Badilisha tabia dogo! Tunza familia.
Mke wangu nilimuendeleza ni form 4....sasa alimaliza 2012....sema nilimpa mimba nyngn bahat mbaya ili haribika....sasa natafuta mtoto wa pili wa kike...atasoma baadae akifksha miaka 22
Nampenda mke wangu....sema ninamchepuko mmoja tu.
umemaliza form4 2008 matokeo yakatoka 2009.ukaajiriwa serikalini 2010? itakuwa kazi gani hiyo jkt,polisi au labda katibu muktas? ila sorry stor yako kama nakujua vile japo umeongeza na uongo,hivi yule jamaa mlie maliza nae anaitwa steven ng'hind yuko pande zip?
asiniite MALAYA sipend