MWANALUGALI
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 601
- 34
Kwa mara ya kwanza ktk historia ya nchi yetu, suala la udini limewekwa hadharani na kiongozi wa nchi baada ya kuwa limetumiwa na chama chake kumdhibiti Prof. Lipumba mwaka 2000 na mwaka huu wakatumia mtindo huo huo kumdhibiti Dr. Slaa asichukue urais.
Uchaguzi unaokuja 2015 ambao kwa utaratibu ambao siyo rasmi kwa CCM, tunategemea kuwa watamweka mgombea ambaye ni Mkristo. Ninasema hivyo kwa sababu Rais wa kwanza alikuwa Mkristo akafuatiwa na Muislam halafu Mkristo then Muislam tena. Kwa maana hiyo zamu inayofuata ni Mkristo!!! Kazi iliyo pevu na ambayo namuonea huruma JM.Kikwete ni namna gani atafanya kuwaridhisha Wanzanzibar ambao sasa inatakiwa kuwa zamu yao!!
Namuonea huruma Kikwete kwa sababu wakimuweka Mzanzibar lazima atakuwa Muislam na kuna uwezekano mkubwa ubara/uzanzibari na udini vikatumika sana na kuigawa nchi yetu ktk mapande. namuonea huruma Kikwete kwa sababu pamoja na migawanyiko mingine ya walio nacho na wasiokuwa nacho, kuendelea kuongezeka, namuonea huruma kwamba nchi hii ataiacha ikiwa ni vipande vipande na historia itamhukumu!!!. je na wewe unamuonea huruma?
Uchaguzi unaokuja 2015 ambao kwa utaratibu ambao siyo rasmi kwa CCM, tunategemea kuwa watamweka mgombea ambaye ni Mkristo. Ninasema hivyo kwa sababu Rais wa kwanza alikuwa Mkristo akafuatiwa na Muislam halafu Mkristo then Muislam tena. Kwa maana hiyo zamu inayofuata ni Mkristo!!! Kazi iliyo pevu na ambayo namuonea huruma JM.Kikwete ni namna gani atafanya kuwaridhisha Wanzanzibar ambao sasa inatakiwa kuwa zamu yao!!
Namuonea huruma Kikwete kwa sababu wakimuweka Mzanzibar lazima atakuwa Muislam na kuna uwezekano mkubwa ubara/uzanzibari na udini vikatumika sana na kuigawa nchi yetu ktk mapande. namuonea huruma Kikwete kwa sababu pamoja na migawanyiko mingine ya walio nacho na wasiokuwa nacho, kuendelea kuongezeka, namuonea huruma kwamba nchi hii ataiacha ikiwa ni vipande vipande na historia itamhukumu!!!. je na wewe unamuonea huruma?