Shehe: Hawa waarabu wamekuja kuchukua bandari yao waliyoijenga mwaka 1896 kinawauma nini?

tpaul

JF-Expert Member
Feb 3, 2008
21,838
18,250
Shehe huyu kutoka msikiti wa Madina ambao haukuweza kujulikana mara moja mkoa ulipo, amesikika akiongea kwa ukali sana akiwananga wale wote wanaomtukana mama kwa sababu ya kuuza bandari kwa waarabu. “Hawa waarabu wamekuja kuchukua bandari yao waliyoijenga mwaka 1896 kinawauma nini?” Ameuliza.

Shehe ameenda mbali zaidi kusema kwamba kipindi cha serikali ya Magufuli watu walikuwa kimya kwa sababu mtu yeyote aliyejitokeza kusema aliuawa na pia kuna baadhi ya wanasiasa waliikimbia nchi kwa kuhofia kuuawa.

Nisimalize utamu, hebu msikilize shehe wewe mwenyewe kwenye klipu hapo chini.




MAONI YANGU
Huyu shehe namkubali lakini kitendo chake cha kuchanganya suala la kisiasa na uislamu sio vizuri. Hata kuifananisha serikali ya Magufuli na hii ya Samia kisa tu Samia ni muislamu na Mafuguli ni mkristo, ni suala lisilopendeza hata kidogo. Yeye angejikita tu kwenye hoja ya msingi bila kuingiza udini.

Nawasilisha.
 
Hawa jamaa hata waseme nini mimi huwa nawachekaga tu coz najua shule kichuani hakuna ila jazba. Wengi wana maisha magumu yanawapelekea kuwa na hasira muda wote, mtu ana hali mbaya wake 4 watoto kama utitiri elimu kayumba hicho sini kizazi cha kajamba nani mwanzo mwisho? Alikopita baba ndipo wanapokuja kupita watoto.
 
Hawa jamaa hata waseme nini mimi huwa nawachekaga tu coz najua shule kichuani hakuna ila jazba. Wengi wana maisha magumu yanawapelekea kuwa na hasira muda wote, mtu ana hali mbaya wake 4 watoto kama utitiri elimu kayumba hicho sini kizazi cha kajamba nani mwanzo mwisho? Alikopita baba ndipo wanapokuja kupita watoto.
Yaani ameongea tangu mwanzo hadi mwisho lakini hakuna hoja hata moja ya msingi zaidi ya kuchochea mihemko ya kidini na ubaguzi.
 
Hawa jamaa hata waseme nini mimi huwa nawachekaga tu coz najua shule kichuani hakuna ila jazba. Wengi wana maisha magumu yanawapelekea kuwa na hasira muda wote, mtu ana hali mbaya wake 4 watoto kama utitiri elimu kayumba hicho sini kizazi cha kajamba nani mwanzo mwisho? Alikopita baba ndipo wanapokuja kupita watoto.
Wakishajua tu kuongea kiarabu cha kwenye korani wanajiona kama waarabu. So sad.
 
Hawa jamaa hata waseme nini mimi huwa nawachekaga tu coz najua shule kichuani hakuna ila jazba. Wengi wana maisha magumu yanawapelekea kuwa na hasira muda wote, mtu ana hali mbaya wake 4 watoto kama utitiri elimu kayumba hicho sini kizazi cha kajamba nani mwanzo mwisho? Alikopita baba ndipo wanapokuja kupita watoto.
Anadai kama kuna mtu hataki kusikiliza anayosema aondoke yeye atabaki na majini hapo msikitini. Eti yamekuja kusikiliza mawaidha.
 
Yaani ameongea tangu mwanzo hadi mwisho lakini hakuna hoja hata moja ya msingi zaidi ya kuchochea mihemko ya kidini na ubaguzi.
Wanakuwa trained tokea wakiwa wadogo.so mzizi umeshaota huku juu Ni mbuyu ndani mzizi umevuka mpaka hili Ganda la juu la dunia inakaribia kwenye kiini kabisa ,unadhani kwani ataongea Nini.
Anakuwa biased mno ,yaani masikini mtawale tu kwa kumpa dini umemaliza watauana na kutombana
 
Huyu shehe ni mdini mpumbavu na hana akili timamu kama hao machoko mbona ukanda wenu wote wa pwani wamejaa wengine misikitini mnaswali nao? Hata wengine huko zenji mpaka mahabusu walibanguana kama asemavyo yeye mbona hawakemei au ndio michezo yao?
1000012615.jpg
 
Back
Top Bottom