Namuombea kura Dkt. Magufuli

Namuombea kura Dkt. Magufuli

Asante kwa kuchangia bado muda wa kufanya maamuzi kwa mustakabali wa Taifa lako upo,

Siku yenyewe ni Jumatano,

Usiangalie mtu,

Angalia nafasi ya Urais na umuhimu wake , angalia ubora wa kila mgombea katika kutekeleza majukumu yake,

Angalia nani amewekeza muda na rasilimali kuhakikisha watanzania wanapata maendeleo,

Kila la kheri katika uchaguzi,

Amani itawale.
 
Yaani tumchague tena Limbukeni mshamba , mgonjwa wa bipolar disorder labda wewe na familia yako .Bila air conditioner mtu anaweza kudanji anytime.
IMG_20201020_202455.jpg
IMG_20201020_202447.jpg
Screenshot_20201021-204447.png
 
Binafsi nimevutiwa Sana na namna Rais Magufuli alivyoishape na kuiendeleza nchi yetu kwa kipindi cha miaka mitano alichokuwa madarakani.

Kuna mambo mengi Sana ambayo kayafanya na yanaonekana kwa macho ni mambo mema sana.

Tuna kila sababu ya kumpa miaka mingine mitano ili akamilishe kazi yake nzuri aliyoianza.

Namuombea Mh. Magufuli na Mgombea Mwenza mama Samia kwa nafasi Urais.

Tukapige kura za ndio kwao , hao wawili wanaonekana mwanzoni kabisa wa karatasi ya kupigia kura, weka tiki hapo mwanzoni kabisa mwa karatasi yako usijichoshe kuangalia kwingine.

Tanzania inakwenda kushinda tena.

Mitano kwa JPM.
Hujatoa ushawishi wa kwa nini hasa tumchague huyo unayetuhimiza tumchague.

Hujatueleza chochote kuhusu kuuza HAKI zetu kwa kura zetu wenyewe.

Kumchagua Magufuli ni kukabidhi HAKI yako ya utu kwake.

Akitaka kukunyanyasa au kumnyanyasa mTanzania mwezako hustahiri kuijutia kura yako uliyompa, kwani umeamua kwa hiari yako kuikana mwenyewe HAKI yako.

Kama unaelewa maana ya kuwa huru na kuwa na HAKI yako, huwezi kumchagua mtu asiyetambua umhimu wa mtu kuwa na HAKI na Uhuru stahiki.
 
Siwezi kumpa kura mtu wa visasi, mbaguzi uchama, anatukana Watanzania majizi, na mafisadi ( wafanya biashara) anatamani watu waishi kama mashetani!?; Anaejali vitu mfano midege, kuhamia Dodoma nk babala ya hizo trilioni kuwekezwa kwa watu mfano mifumo kilimo,hata serikali viwanda ingewezekana na std gauge rail ingepata mizigo zaidi.
 
Angalia nafasi ya Urais na umuhimu wake , angalia ubora wa kila mgombea katika kutekeleza majukumu yake,

Angalia nani amewekeza muda na rasilimali kuhakikisha watanzania wanapata maendeleo,
Hakuna kitu chochote kilicho bora kwa mtu kama kuwa na HAKI na kuwa huru.

Hayo yote unayomsifia kwayo hayazuiwi na watu kuwa na HAKI zao; sasa kwa nini HAKI zao zikanyagwe?
 
mzee hio amepata kifupi yeye tu ajipange na timu yake zetu za ndio[emoji818] amepata
tena mapemaaa
 
Natokea Msanga Zalala wilaya ya Kisarawe ambayo Suleiman Jaffo ndiye mbunge wake, Ni aibu, barabara Ni mbovu Sana. Kisarawe hakuna maendeleo, je na kwenyewe wanaadhibiwa kwa kuwapigia kura wapinzani?
kama iliwezekana kulipa bil 20 za elim bure ije kuwa huto tu kilometa tutano.
 
Atapata ya mamko.
Binafsi nimevutiwa Sana na namna Rais Magufuli alivyoishape na kuiendeleza nchi yetu kwa kipindi cha miaka mitano alichokuwa madarakani.

Kuna mambo mengi Sana ambayo kayafanya na yanaonekana kwa macho ni mambo mema sana.

Tuna kila sababu ya kumpa miaka mingine mitano ili akamilishe kazi yake nzuri aliyoianza.

Namuombea Mh. Magufuli na Mgombea Mwenza mama Samia kwa nafasi Urais.

Tukapige kura za ndio kwao , hao wawili wanaonekana mwanzoni kabisa wa karatasi ya kupigia kura, weka tiki hapo mwanzoni kabisa mwa karatasi yako usijichoshe kuangalia kwingine.

Tanzania inakwenda kushinda tena.

Mitano kwa JPM.
 
Binafsi nimevutiwa Sana na namna Rais Magufuli alivyoishape na kuiendeleza nchi yetu kwa kipindi cha miaka mitano alichokuwa madarakani.

Kuna mambo mengi Sana ambayo kayafanya na yanaonekana kwa macho ni mambo mema sana.

Tuna kila sababu ya kumpa miaka mingine mitano ili akamilishe kazi yake nzuri aliyoianza.

Namuombea Mh. Magufuli na Mgombea Mwenza mama Samia kwa nafasi Urais.

Tukapige kura za ndio kwao , hao wawili wanaonekana mwanzoni kabisa wa karatasi ya kupigia kura, weka tiki hapo mwanzoni kabisa mwa karatasi yako usijichoshe kuangalia kwingine.

Tanzania inakwenda kushinda tena.

Mitano kwa JPM.
Unaishi kwa mjomba
 
pamoja comrade

sasa fanya edit uweke namba ya simu
Haha,

Mamlaka zikihitaji mtu hazimkosi,

Hivyo kuwa na amani,

Jambo la msingi hapa ni kwa kiongozi wetu kupata mitano tena.
 
Back
Top Bottom