Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 39,940
- 51,015
Binafsi nimevutiwa Sana na namna Rais Magufuli alivyoishape na kuiendeleza nchi yetu kwa kipindi cha miaka mitano alichokuwa madarakani.
Kuna mambo mengi Sana ambayo kayafanya na yanaonekana kwa macho ni mambo mema sana.
Tuna kila sababu ya kumpa miaka mingine mitano ili akamilishe kazi yake nzuri aliyoianza.
Namuombea Mh. Magufuli na Mgombea Mwenza mama Samia kwa nafasi Urais.
Tukapige kura za ndio kwao , hao wawili wanaonekana mwanzoni kabisa wa karatasi ya kupigia kura, weka tiki hapo mwanzoni kabisa mwa karatasi yako usijichoshe kuangalia kwingine.
Tanzania inakwenda kushinda tena.
Mitano kwa JPM.
Kuna mambo mengi Sana ambayo kayafanya na yanaonekana kwa macho ni mambo mema sana.
Tuna kila sababu ya kumpa miaka mingine mitano ili akamilishe kazi yake nzuri aliyoianza.
Namuombea Mh. Magufuli na Mgombea Mwenza mama Samia kwa nafasi Urais.
Tukapige kura za ndio kwao , hao wawili wanaonekana mwanzoni kabisa wa karatasi ya kupigia kura, weka tiki hapo mwanzoni kabisa mwa karatasi yako usijichoshe kuangalia kwingine.
Tanzania inakwenda kushinda tena.
Mitano kwa JPM.