Ninapofikiria kupost chochote kile huku kwenye jukwaa la mahusiano mara nyingi huwa namfikiria Lizy. Nalazimika kuipitia kazi yangu mpaka mara kumi hata iwe ndogo vipi, sababu ya kufanya yote hayo ni kujiandaa na changamoto ninazoweza kuzipata kutoka kwa Lizy. Duh, yaani huyu dada namuogopa sana labda anikosoe kwa maandishi haya ambayo nimeamua kuandika bila kuyakagua. Yote kwa yote huwa najiuliza huyu dada kama ni mke wa mtu inakuwaje huko kwa mumewe?
unariserve za nini?
Kweli kutongoza ni kazi ngumu huyu jamaa kaanzia mbaali ili dada Lizy am-PM amuondoe woga alafu ile kwake. Dada Lizy jiangalie sana na gia ya huyu jamaa nakumbuka nikiwa chuo nilishawahi kumkamua mtu kwa gia hii hii nilimuambia kwamba namuogopa sana namuona kama ni mkali sana baadaye akaanza kujitahidi kuni-prove wrong kwa ukarimu, then ikala kwake
no comment na hapa nareserve my comments
kuna watoto jf eeeeh?mbele ya watoto siwezi kumwaga mchele subiri watoto wakalale
Mchungaji Masanilo yuko wapi?Jana kwa aliyekuwepo humu na mwenye akili atakuwa anajua kinachoendelea hapa!Ndo maana nimesema upupu tu!ujaona mbigiri
kumbe humu ndani kuna watoto!!!!Mbele ya watoto siwezi kumwaga mchele subiri watoto wakalale
Wanaomuweza Lizzy ni Nyani Ngabu na Rev Fr Masanilo, Kabinti huishia kulia na kupenga kamasi.
kuna watoto jf eeeeh?
kumbe humu ndani kuna watoto!!!!
Kweli kutongoza ni kazi ngumu huyu jamaa kaanzia mbaali ili dada Lizy am-PM amuondoe woga alafu ile kwake. Dada Lizy jiangalie sana na gia ya huyu jamaa nakumbuka nikiwa chuo nilishawahi kumkamua mtu kwa gia hii hii nilimuambia kwamba namuogopa sana namuona kama ni mkali sana baadaye akaanza kujitahidi kuni-prove wrong kwa ukarimu, then ikala kwake
As if.....Wanaomuweza Lizzy ni Nyani Ngabu na Rev Fr Masanilo, Kabinti huishia kulia na kupenga kamasi.
hahahahaaa,unaogopa mtu usiyemjua?acha woga ndugu,na ujiiamini kwa kila umalofanya
Ndugu!!?? Mbona thread za kuchangia zipo nyingi tu lazima uingie humu?? Tuachie tunaouburudika nayo.Mchungaji Masanilo yuko wapi?Jana kwa aliyekuwepo humu na mwenye akili atakuwa anajua kinachoendelea hapa!Ndo maana nimesema upupu tu!
As if.....
Lizzy Licious punguza ukali/ligi utakosa wa kukuoa
Mbona nishampata tayari...
Inapendeza nikiendelee ili wakae mbali!