Namuogopa sana lizy!

Namuogopa sana lizy!

GAZETI

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
5,292
Reaction score
6,768
Ninapofikiria kupost chochote kile huku kwenye jukwaa la mahusiano mara nyingi huwa namfikiria Lizy. Nalazimika kuipitia kazi yangu mpaka mara kumi hata iwe ndogo vipi, sababu ya kufanya yote hayo ni kujiandaa na changamoto ninazoweza kuzipata kutoka kwa Lizy. Duh, yaani huyu dada namuogopa sana labda anikosoe kwa maandishi haya ambayo nimeamua kuandika bila kuyakagua. Yote kwa yote huwa najiuliza huyu dada kama ni mke wa mtu inakuwaje huko kwa mumewe?
 
Ninapofikiria kupost chochote kile huku kwenye jukwaa la mahusiano mara nyingi huwa namfikiria Lizy. Nalazimika kuipitia kazi yangu mpaka mara kumi hata iwe ndogo vipi, sababu ya kufanya yote hayo ni kujiandaa na changamoto ninazoweza kuzipata kutoka kwa Lizy. Duh, yaani huyu dada namuogopa sana labda anikosoe kwa maandishi haya ambayo nimeamua kuandika bila kuyakagua. Yote kwa yote huwa najiuliza huyu dada kama ni mke wa mtu inakuwaje huko kwa mumewe?

Mkuu unaogopa kivuli
Mbona yuko poa sana yule dada ni wewe tuu hujamzoea na unaogopa kivuli chake
tatizo hapendi zile za " Am handsome meen" maana ukija na hizo lazima upate za uso
 
Ninapofikiria kupost chochote kile huku kwenye jukwaa la mahusiano mara nyingi huwa namfikiria Lizy. Nalazimika kuipitia kazi yangu mpaka mara kumi hata iwe ndogo vipi, sababu ya kufanya yote hayo ni kujiandaa na changamoto ninazoweza kuzipata kutoka kwa Lizy. Duh, yaani huyu dada namuogopa sana labda anikosoe kwa maandishi haya ambayo nimeamua kuandika bila kuyakagua. Yote kwa yote huwa najiuliza huyu dada kama ni mke wa mtu inakuwaje huko kwa mumewe?
Mcheche wako tu na kama una tabia ya kutuma hoja za kukurupuka pasipo utafiti na msimamo wenye mashiko. Mbona wengi wanaandika na anawapongeza, ukilikoroga sio Lizy peke yake wapo wengi watakukimbiza. Tena wengine hadi hutoka mapovu kwa usongo.Jipange tu ndugu akikukurupukia hata naye atatulizwa. Hadithi njoo...leta vyombo tugonge!
 
Mi namlike sana atakuwa matron wangu siku ya kitchen pati maana mume mwenyewe atatoka humu humu jf na yeye ndo anajua jinsi ya kuishi nao
 
Mi namlike sana atakuwa matron wangu siku ya kitchen pati maana mume mwenyewe atatoka humu humu jf na yeye ndo anajua jinsi ya kuishi nao

No comment na hapa nareserve my comments
 
Ninapofikiria kupost chochote kile huku kwenye jukwaa la mahusiano mara nyingi huwa namfikiria Lizy. Nalazimika kuipitia kazi yangu mpaka mara kumi hata iwe ndogo vipi, sababu ya kufanya yote hayo ni kujiandaa na changamoto ninazoweza kuzipata kutoka kwa Lizy. Duh, yaani huyu dada namuogopa sana labda anikosoe kwa maandishi haya ambayo nimeamua kuandika bila kuyakagua. Yote kwa yote huwa najiuliza huyu dada kama ni mke wa mtu inakuwaje huko kwa mumewe?


At least bado una guts za kum face akisha ona huu uzi....lol....

Usijali bana... jiachie, relax, be yourself na tuma salam....
 
Back
Top Bottom