Namuacha shemeji yenu!

Namuacha shemeji yenu!

Nyieee majobless hawaachikagi kirahisi mjue....hapo mwanaume anaoga kutwa mara tatu, msafi anang'aa...na hivo anakaa Kwa dada anadowea pafyumu ya Shemeji ananukia....yaani anafaa Kwa maonesho ya kuringishia mashost[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halafu ukimtaka anytime huyu hapa, na mkoba anakubebea....ndo ukute tall and black [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] weuweeee

Hapo tumshauri amvumilie apate hela Ili aachwe yeye....huyu ubavu Hana, Kwanza anayeacha hasemi.
Kilichopo hapa shost alitaka vyote uhandsome na hela, hajui ni mara chache sana kumkuta handsome halafu akawa ana hela... na huyo handsome alitaka kuhudumiwa na shosti baada ya kumuona anakijikazi chake....

'Aliyeuza cheni kauza cheni bandia na aliyenunua cheni katoa pesa bandia'
 
Una tamaa humfai muache tu atapata atakayemjali. Ulikuwa naye kimaslahi tu, tamaa mbaya. Mwanaume anaweza kuishi na mwanamke asiye na pesa kwa muda wote ila mwanamke hawezi hata kidogo kuishi na mwanaume asiye na pesa. We sepa tu
 
Wee mdada unaita mwanaume uchafu? Thamani ya 'k' yako inatoka kwa huyo!
Wanawake wa sasa wanatanguliza pesa mbele wakati yeye alipo hana hela zaidi ya mwili wake.
Baba yake na mama yake utakuta wapo kijijini porini huko wanalima ila akija mjini anajifanya anajua hela sana
Mwisho wa siku huishia kujiuza, kupata magonjwa na kuzalishwa.
Hawa wanawake wa siku hizi wamejawa na tamaa sana ya hela
 
Shida ya wanawake wa kibongo mnawaza pesa tu mupewe nyie.

Kuna muda mume unamtengeneza wewe. Kama unampenda na una nafasi ya kipesa kama ulivyosema. Usimpe hela ya kula, Focus kumtengeneza mume wa maisha yenu ya baadae. Mtengenezee biashara ya kueleweka,mdanganye hii biashara nimekopa hela bank tutairudisha kwa muda fulani. Hapo ni kumpima kama anaweza kuiendeleza hiyo biashara.
Au kama yeye ana uwezo wa kufanya biashara fulani,mpe mtaji mwambie nimekopa tutairudisha. Then aangalia hiyo biashara inaendaje. Kama inatembea,ongeza nguvu hapo.

Maisha yanaanza kwa mtindo huo. WASICHANA JITAHIDINI HATA NYIE KUWAANDAA WAUME ZENU WA BAADAE,MSIKAZANIE NA KUWAZA KUISHIA KWENYE MAPENZI TU. MAISHA YA KESHO NI VILE UNAVYOYAANDAA WEWE LEO.
Wanawake huwa wanawaza mapenzi na kupokea pesa tu. Ndiyo maana ukiangalia sasa ndoa zimekuwa ngumu sana.
Sisi wanaume huwa tofauti sana, unaweza kuishi hata mwanamke ameishia darasa la 7 au ana tabia zisizoeleweka lkn ukamtengeneza akawa mke bora.
 
Mpe wewe pesa sasa mbona sisi wanaume 90% tunawahudumia kwa kila kitu wanawake msio na kazi mnashinda kwenye instagram na hata vitumbua hamtaki kupika?

Wanaweke nyie huwa ni wabinafsi sana hivi mnafikiri hela ya mwanaume inaokotwa eeh? Kama wewe una kazi muhudie ndio ujue wanaume huwa tunastahili heshima……hivi huwa mnafikiri ni rahisi?
Maana kama hoja ni mapenzi sote tunapeana kwa hiyo kama kulipisha haipaswi kulipishana lakini sisi tunalipa zaidi na zaidi!

Kwa hiyo wanawake mtuheshimu sio rahisi kuhudumia inahitaji moyo wa upendo na kujitoa!

Kama unampenda muhudumie maana sisi huwa tunatoa huduma hizo kila leo kwenu na tumezoea…
Yani huwa tunawapa vocha ya sms,muda wa maongezi,Data,kusuka na kila kitu na mmekaa nyumbani tuu…
 
Yaani mimi kuwa na mwanaume ambaye hana pesa naona mzigo kwangu na kwa familia yangu. Mwanaume wangu hana kazi yupo idle tu, mimi nina kibarua changu. Jana nimempigia simu (maana siku hizi anani-text tu mimi ndio huwa nampigia) nikimuuliza kwanini unanitext tu, anasema hana hela ya vocha text kaunga za mwezi, hata pesa ya kula hana na yupo kwa shemeji yake anaumwa yeye ndio anamhudumia, dada yake amesafiri.

Nikamuuliza, unaishije hapo kwa shemeji yako ata mia huna na wewe ni mtu mzima inabidi siku moja moja unachangia? Ananiambia sasa nitachangia nini wakati hela sina na kazi sijapata?

Aisee tangu nianze mahusiano yangu huyu mwanaume ndio hana pesa, wanaume wangu wawili wa nyuma walikuwa na mkwanja ukikohoa kidogo tu M-Pesa yako inasoma muda huo huo, ila huyu nawaza kumuacha kila siku, sioni anachonisaidia.

Amewahi kuninunulia kuku nusu tu wakati mapenzi yanaanza, tangu hapo hamna alichonipa tena zaidi ya neno lake sina pesa. Shida niliconcetrate sana kwenye muonekano wake, shemeji yenu ni li handsome sana, shida halina pesa! Hicho tu yaani dah!
Cold water=Maji baridi Tena baridi hasa. Kama shida ni pesa na unapenda pesa basi ulitakiwa ku-fall in love na benki. Muache mtoto wa watu kwenda anzisha mahusiano na benki au mgodi wa dhahabu au madawa ya kulevya.
 
Umaskini haudumu kipenzi,, mvumilie ila uwe unamsisitiza atafute kazi ya kufanya. Au kama kipato chako kinaruhusu unaweza ukampa mtaji kidogo aanzishe hata kibiashara walau cha kumpa hela ya kula na vocha aache kutia huruma..
Kingine epuka sana tamaa, jaribu kuridhika na unachokipata wala huwezi kumuona mpenzi wako kama mzigo
 
Yaani mimi kuwa na mwanaume ambaye hana pesa naona mzigo kwangu na kwa familia yangu. Mwanaume wangu hana kazi yupo idle tu, mimi nina kibarua changu. Jana nimempigia simu (maana siku hizi anani-text tu mimi ndio huwa nampigia) nikimuuliza kwanini unanitext tu, anasema hana hela ya vocha text kaunga za mwezi, hata pesa ya kula hana na yupo kwa shemeji yake anaumwa yeye ndio anamhudumia, dada yake amesafiri.

Nikamuuliza, unaishije hapo kwa shemeji yako ata mia huna na wewe ni mtu mzima inabidi siku moja moja unachangia? Ananiambia sasa nitachangia nini wakati hela sina na kazi sijapata?

Aisee tangu nianze mahusiano yangu huyu mwanaume ndio hana pesa, wanaume wangu wawili wa nyuma walikuwa na mkwanja ukikohoa kidogo tu M-Pesa yako inasoma muda huo huo, ila huyu nawaza kumuacha kila siku, sioni anachonisaidia.

Amewahi kuninunulia kuku nusu tu wakati mapenzi yanaanza, tangu hapo hamna alichonipa tena zaidi ya neno lake sina pesa. Shida niliconcetrate sana kwenye muonekano wake, shemeji yenu ni li handsome sana, shida halina pesa! Hicho tu yaani dah!
Mbn yeye kashakuacha kitambo bila kukwambia, km ulikua hujui mm ndio nakujuza,
 
Yaani mimi kuwa na mwanaume ambaye hana pesa naona mzigo kwangu na kwa familia yangu. Mwanaume wangu hana kazi yupo idle tu, mimi nina kibarua changu. Jana nimempigia simu (maana siku hizi anani-text tu mimi ndio huwa nampigia) nikimuuliza kwanini unanitext tu, anasema hana hela ya vocha text kaunga za mwezi, hata pesa ya kula hana na yupo kwa shemeji yake anaumwa yeye ndio anamhudumia, dada yake amesafiri.

Nikamuuliza, unaishije hapo kwa shemeji yako ata mia huna na wewe ni mtu mzima inabidi siku moja moja unachangia? Ananiambia sasa nitachangia nini wakati hela sina na kazi sijapata?

Aisee tangu nianze mahusiano yangu huyu mwanaume ndio hana pesa, wanaume wangu wawili wa nyuma walikuwa na mkwanja ukikohoa kidogo tu M-Pesa yako inasoma muda huo huo, ila huyu nawaza kumuacha kila siku, sioni anachonisaidia.

Amewahi kuninunulia kuku nusu tu wakati mapenzi yanaanza, tangu hapo hamna alichonipa tena zaidi ya neno lake sina pesa. Shida niliconcetrate sana kwenye muonekano wake, shemeji yenu ni li handsome sana, shida halina pesa! Hicho tu yaani dah!
Huyo sio shemeji yetu. Acha kupotezeana muda na kijana wa watu.
 
Yaani mimi kuwa na mwanaume ambaye hana pesa naona mzigo kwangu na kwa familia yangu. Mwanaume wangu hana kazi yupo idle tu, mimi nina kibarua changu. Jana nimempigia simu (maana siku hizi anani-text tu mimi ndio huwa nampigia) nikimuuliza kwanini unanitext tu, anasema hana hela ya vocha text kaunga za mwezi, hata pesa ya kula hana na yupo kwa shemeji yake anaumwa yeye ndio anamhudumia, dada yake amesafiri.

Nikamuuliza, unaishije hapo kwa shemeji yako ata mia huna na wewe ni mtu mzima inabidi siku moja moja unachangia? Ananiambia sasa nitachangia nini wakati hela sina na kazi sijapata?

Aisee tangu nianze mahusiano yangu huyu mwanaume ndio hana pesa, wanaume wangu wawili wa nyuma walikuwa na mkwanja ukikohoa kidogo tu M-Pesa yako inasoma muda huo huo, ila huyu nawaza kumuacha kila siku, sioni anachonisaidia.

Amewahi kuninunulia kuku nusu tu wakati mapenzi yanaanza, tangu hapo hamna alichonipa tena zaidi ya neno lake sina pesa. Shida niliconcetrate sana kwenye muonekano wake, shemeji yenu ni li handsome sana, shida halina pesa! Hicho tu yaani dah!
Chomelea🖕
 
Back
Top Bottom