Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,977
- 24,291
Tulia dada yake.Weee, unataka kumlengesha mdogo wangu kausha damu🤣🤣
Dogo ashikishwe adabu, aonje joto la ukubwa.
Tulia dada yake.Weee, unataka kumlengesha mdogo wangu kausha damu🤣🤣
Kilichopo hapa shost alitaka vyote uhandsome na hela, hajui ni mara chache sana kumkuta handsome halafu akawa ana hela... na huyo handsome alitaka kuhudumiwa na shosti baada ya kumuona anakijikazi chake....Nyieee majobless hawaachikagi kirahisi mjue....hapo mwanaume anaoga kutwa mara tatu, msafi anang'aa...na hivo anakaa Kwa dada anadowea pafyumu ya Shemeji ananukia....yaani anafaa Kwa maonesho ya kuringishia mashost[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halafu ukimtaka anytime huyu hapa, na mkoba anakubebea....ndo ukute tall and black [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] weuweeee
Hapo tumshauri amvumilie apate hela Ili aachwe yeye....huyu ubavu Hana, Kwanza anayeacha hasemi.
Wanawake wa sasa wanatanguliza pesa mbele wakati yeye alipo hana hela zaidi ya mwili wake.Wee mdada unaita mwanaume uchafu? Thamani ya 'k' yako inatoka kwa huyo!
Wanawake huwa wanawaza mapenzi na kupokea pesa tu. Ndiyo maana ukiangalia sasa ndoa zimekuwa ngumu sana.Shida ya wanawake wa kibongo mnawaza pesa tu mupewe nyie.
Kuna muda mume unamtengeneza wewe. Kama unampenda na una nafasi ya kipesa kama ulivyosema. Usimpe hela ya kula, Focus kumtengeneza mume wa maisha yenu ya baadae. Mtengenezee biashara ya kueleweka,mdanganye hii biashara nimekopa hela bank tutairudisha kwa muda fulani. Hapo ni kumpima kama anaweza kuiendeleza hiyo biashara.
Au kama yeye ana uwezo wa kufanya biashara fulani,mpe mtaji mwambie nimekopa tutairudisha. Then aangalia hiyo biashara inaendaje. Kama inatembea,ongeza nguvu hapo.
Maisha yanaanza kwa mtindo huo. WASICHANA JITAHIDINI HATA NYIE KUWAANDAA WAUME ZENU WA BAADAE,MSIKAZANIE NA KUWAZA KUISHIA KWENYE MAPENZI TU. MAISHA YA KESHO NI VILE UNAVYOYAANDAA WEWE LEO.
Tatizo wazuri hawajui kugegeda.Kudate mwanaume mzuri
Ni raha sana
Acha uwaki binti, hela si mzitafute? Ama uende na zako?
Cold water=Maji baridi Tena baridi hasa. Kama shida ni pesa na unapenda pesa basi ulitakiwa ku-fall in love na benki. Muache mtoto wa watu kwenda anzisha mahusiano na benki au mgodi wa dhahabu au madawa ya kulevya.Yaani mimi kuwa na mwanaume ambaye hana pesa naona mzigo kwangu na kwa familia yangu. Mwanaume wangu hana kazi yupo idle tu, mimi nina kibarua changu. Jana nimempigia simu (maana siku hizi anani-text tu mimi ndio huwa nampigia) nikimuuliza kwanini unanitext tu, anasema hana hela ya vocha text kaunga za mwezi, hata pesa ya kula hana na yupo kwa shemeji yake anaumwa yeye ndio anamhudumia, dada yake amesafiri.
Nikamuuliza, unaishije hapo kwa shemeji yako ata mia huna na wewe ni mtu mzima inabidi siku moja moja unachangia? Ananiambia sasa nitachangia nini wakati hela sina na kazi sijapata?
Aisee tangu nianze mahusiano yangu huyu mwanaume ndio hana pesa, wanaume wangu wawili wa nyuma walikuwa na mkwanja ukikohoa kidogo tu M-Pesa yako inasoma muda huo huo, ila huyu nawaza kumuacha kila siku, sioni anachonisaidia.
Amewahi kuninunulia kuku nusu tu wakati mapenzi yanaanza, tangu hapo hamna alichonipa tena zaidi ya neno lake sina pesa. Shida niliconcetrate sana kwenye muonekano wake, shemeji yenu ni li handsome sana, shida halina pesa! Hicho tu yaani dah!
Hahaha unashangaa hiyo …mbona mnapewa vocha ya sms ,Data na ya kuongea na bado mtu ana kubipu…😂😂😂😂😂😂Sasa mtu hana hela hata ya kuweka vocha ya kupiga kweli.
Mbn yeye kashakuacha kitambo bila kukwambia, km ulikua hujui mm ndio nakujuza,Yaani mimi kuwa na mwanaume ambaye hana pesa naona mzigo kwangu na kwa familia yangu. Mwanaume wangu hana kazi yupo idle tu, mimi nina kibarua changu. Jana nimempigia simu (maana siku hizi anani-text tu mimi ndio huwa nampigia) nikimuuliza kwanini unanitext tu, anasema hana hela ya vocha text kaunga za mwezi, hata pesa ya kula hana na yupo kwa shemeji yake anaumwa yeye ndio anamhudumia, dada yake amesafiri.
Nikamuuliza, unaishije hapo kwa shemeji yako ata mia huna na wewe ni mtu mzima inabidi siku moja moja unachangia? Ananiambia sasa nitachangia nini wakati hela sina na kazi sijapata?
Aisee tangu nianze mahusiano yangu huyu mwanaume ndio hana pesa, wanaume wangu wawili wa nyuma walikuwa na mkwanja ukikohoa kidogo tu M-Pesa yako inasoma muda huo huo, ila huyu nawaza kumuacha kila siku, sioni anachonisaidia.
Amewahi kuninunulia kuku nusu tu wakati mapenzi yanaanza, tangu hapo hamna alichonipa tena zaidi ya neno lake sina pesa. Shida niliconcetrate sana kwenye muonekano wake, shemeji yenu ni li handsome sana, shida halina pesa! Hicho tu yaani dah!
Huyo sio shemeji yetu. Acha kupotezeana muda na kijana wa watu.Yaani mimi kuwa na mwanaume ambaye hana pesa naona mzigo kwangu na kwa familia yangu. Mwanaume wangu hana kazi yupo idle tu, mimi nina kibarua changu. Jana nimempigia simu (maana siku hizi anani-text tu mimi ndio huwa nampigia) nikimuuliza kwanini unanitext tu, anasema hana hela ya vocha text kaunga za mwezi, hata pesa ya kula hana na yupo kwa shemeji yake anaumwa yeye ndio anamhudumia, dada yake amesafiri.
Nikamuuliza, unaishije hapo kwa shemeji yako ata mia huna na wewe ni mtu mzima inabidi siku moja moja unachangia? Ananiambia sasa nitachangia nini wakati hela sina na kazi sijapata?
Aisee tangu nianze mahusiano yangu huyu mwanaume ndio hana pesa, wanaume wangu wawili wa nyuma walikuwa na mkwanja ukikohoa kidogo tu M-Pesa yako inasoma muda huo huo, ila huyu nawaza kumuacha kila siku, sioni anachonisaidia.
Amewahi kuninunulia kuku nusu tu wakati mapenzi yanaanza, tangu hapo hamna alichonipa tena zaidi ya neno lake sina pesa. Shida niliconcetrate sana kwenye muonekano wake, shemeji yenu ni li handsome sana, shida halina pesa! Hicho tu yaani dah!
Yan yy Mwenyew hajielew anachokitaka haswa ni kipi ndio maana anababaikaKama ni HB n anakukuna vizuri unataka hela za nini dada??? mbona huna upendo wa kweli??
Hao watoto.Hahaha unashangaa hiyo …mbona mnapewa vocha ya sms ,Data na ya kuongea na bado mtu ana kubipu…😂😂😂😂😂😂
Chomelea🖕Yaani mimi kuwa na mwanaume ambaye hana pesa naona mzigo kwangu na kwa familia yangu. Mwanaume wangu hana kazi yupo idle tu, mimi nina kibarua changu. Jana nimempigia simu (maana siku hizi anani-text tu mimi ndio huwa nampigia) nikimuuliza kwanini unanitext tu, anasema hana hela ya vocha text kaunga za mwezi, hata pesa ya kula hana na yupo kwa shemeji yake anaumwa yeye ndio anamhudumia, dada yake amesafiri.
Nikamuuliza, unaishije hapo kwa shemeji yako ata mia huna na wewe ni mtu mzima inabidi siku moja moja unachangia? Ananiambia sasa nitachangia nini wakati hela sina na kazi sijapata?
Aisee tangu nianze mahusiano yangu huyu mwanaume ndio hana pesa, wanaume wangu wawili wa nyuma walikuwa na mkwanja ukikohoa kidogo tu M-Pesa yako inasoma muda huo huo, ila huyu nawaza kumuacha kila siku, sioni anachonisaidia.
Amewahi kuninunulia kuku nusu tu wakati mapenzi yanaanza, tangu hapo hamna alichonipa tena zaidi ya neno lake sina pesa. Shida niliconcetrate sana kwenye muonekano wake, shemeji yenu ni li handsome sana, shida halina pesa! Hicho tu yaani dah!