Namuacha shemeji yenu!

Namuacha shemeji yenu!

Wew unajua kesho yake uyo jamaa kuweni wavumilivu
 
Yaani mimi kuwa na mwanaume ambaye hana pesa naona mzigo kwangu na kwa familia yangu. Mwanaume wangu hana kazi yupo idle tu, mimi nina kibarua changu. Jana nimempigia simu (maana siku hizi anani-text tu mimi ndio huwa nampigia) nikimuuliza kwanini unanitext tu, anasema hana hela ya vocha text kaunga za mwezi, hata pesa ya kula hana na yupo kwa shemeji yake anaumwa yeye ndio anamhudumia, dada yake amesafiri.

Nikamuuliza, unaishije hapo kwa shemeji yako ata mia huna na wewe ni mtu mzima inabidi siku moja moja unachangia? Ananiambia sasa nitachangia nini wakati hela sina na kazi sijapata?

Aisee tangu nianze mahusiano yangu huyu mwanaume ndio hana pesa, wanaume wangu wawili wa nyuma walikuwa na mkwanja ukikohoa kidogo tu M-Pesa yako inasoma muda huo huo, ila huyu nawaza kumuacha kila siku, sioni anachonisaidia.

Amewahi kuninunulia kuku nusu tu wakati mapenzi yanaanza, tangu hapo hamna alichonipa tena zaidi ya neno lake sina pesa. Shida niliconcetrate sana kwenye muonekano wake, shemeji yenu ni li handsome sana, shida halina pesa! Hicho tu yaani dah!
kwann utamani pesa za mwenzio? eti kuwa na mwanaume ambae hana pesa sijui unaonaje, hivi unajua kuwa baba ako angekuw na pesa asingemuoa mama ako nawe usingezaliwa? kwahiyo ifike wakati ushukuru wanaume wasiokuwa na pesa maana ndo sababu ya ww kuja dunian na kupost huu ujinga
 
Yaani mimi kuwa na mwanaume ambaye hana pesa naona mzigo kwangu na kwa familia yangu. Mwanaume wangu hana kazi yupo idle tu, mimi nina kibarua changu. Jana nimempigia simu (maana siku hizi anani-text tu mimi ndio huwa nampigia) nikimuuliza kwanini unanitext tu, anasema hana hela ya vocha text kaunga za mwezi, hata pesa ya kula hana na yupo kwa shemeji yake anaumwa yeye ndio anamhudumia, dada yake amesafiri.

Nikamuuliza, unaishije hapo kwa shemeji yako ata mia huna na wewe ni mtu mzima inabidi siku moja moja unachangia? Ananiambia sasa nitachangia nini wakati hela sina na kazi sijapata?

Aisee tangu nianze mahusiano yangu huyu mwanaume ndio hana pesa, wanaume wangu wawili wa nyuma walikuwa na mkwanja ukikohoa kidogo tu M-Pesa yako inasoma muda huo huo, ila huyu nawaza kumuacha kila siku, sioni anachonisaidia.

Amewahi kuninunulia kuku nusu tu wakati mapenzi yanaanza, tangu hapo hamna alichonipa tena zaidi ya neno lake sina pesa. Shida niliconcetrate sana kwenye muonekano wake, shemeji yenu ni li handsome sana, shida halina pesa! Hicho tu yaani dah!
Sawasawa tumeelewa
 
Sitamani Binti zangu wawe na mentality kama yako!!

Ni nani alizaliwa na pesa!!?hizo pesa mnazotanguliza kama ndio mhimili mkuu wa mahusiano kama zinawatosheleza kwanini msizitafute muishi nazo!!?

Ukiona mwanamke anatafuta mwanamme mwenye Hela ndio aishi nae hesabu huyo mwanamke Hana akili!!

Utajiri na umiliki was pesa in nyakati TU ndio huamua!Kuna kipindi unaweza ukawa na pesa na hazikai kutokana na changamoto unazopitia!!

Money slavery will kill women!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom