Namtafutia mchumba (mwanaume) rafiki yangu

Namtafutia mchumba (mwanaume) rafiki yangu

Status
Not open for further replies.
Jina lake anaitwa nani?
Alishawahi kuwa kwenye mahusiano hapo awali na yalidumu kwa kipindi gani?
Upande wa familia yake, Wazazi wote wapo bado au ni yatima?
Je umbo na urefu wake unaweza kadiria?
Ni kabila gani?

Napata mashaka juu ya huyu rafiki yako kwakuwa sijataka kumfikiria sana lkn amekosa kweli wa kuendana na yeye hadi kufikia hatua hii ya kuomba msaada kama huu...Sababu mapenzi ni hisia baina ya mtu na mtu, Je kwa hii njia uliotumia itakua sahihi kwake juu ya mahusiano yake?
 
Ebu sogea sogea mpaka kwenye Sura ya 34:16
Biblia ina majibu yote mkuu kwa wale waaminio.

Btw, wanasimba hutindikiwa hata wakapata njaa lakini watoto wa Mungu hawataona njaa kamwe!!
Isaya (Isaiah) 34:16

Tafuteni katika kitabu cha Bwana mkasome; hapana katika hao wote atakayekosa kuwapo, hapana mmoja atakayemkosa mwenzake; kwa maana kinywa changu kimeamuru, na roho yake imewakusanya.
--------------------------------------------
Haya sasa nimesoma unajua huo mstari umemaanisha nini?
 
Nina friend angu ameniomba nimtafutie mchumba...yeye hayumo sio member humu..kuna watu baadhi nimeshamconnect nao wa humu but problem ni umri..yeye ana umri wa 31 yrs na anataka mchumba mwenye umri wa juu yake...

Sifa zake
-Mweusi
-urefu Size ya kati
-Ana elimu ya degree
-Ana kampuni yake
-Ana maisha yake anajitegemea
-Ana hofu ya Mungu...
-Anaishi Dar es salaam

Sifa za mwanaume amtakae
-Yoyote mwenye kujielewa
-mwenye kufocus na maisha
-umri miaka 35 na kuendelea
-dini mkristo
Kwa yeyote ambae yuko tayari nimpe namba waweze kuwasiliana..nitawasaili kwa niaba..
Umesha nipata, ebu uzi ufungwe. Nishakuchek PM 😋
 
Isaya (Isaiah) 34:16

Tafuteni katika kitabu cha Bwana mkasome; hapana katika hao wote atakayekosa kuwapo, hapana mmoja atakayemkosa mwenzake; kwa maana kinywa changu kimeamuru, na roho yake imewakusanya.
--------------------------------------------
Haya sasa nimesoma unajua huo mstari umemaanisha nini?
Umemaanisha sambamba na maneno niliyoandika
 
Umemaanisha sambamba na maneno niliyoandika
Fafanua tena ueleweke au nikuwekee hii pia

Isaya 34:16

Tafuteni katika kitabu cha Bwana mkasome; hapana katika hao wote atakayekosa kuwapo, hapana mmoja atakayemkosa mwenzake; kwa maana kinywa changu kimeamuru, na roho yake imewakusanya.
-------------------------------------------
Fafanua huo mstari umemaanisha nini, yaan hapo kwenye mwenzake ndio pamekutoa macho?

Ukimaliza kuusoma huo mstari rudia kusoma Isaya 4:1 ndio utaelewa vizuri huo mstari umemaanisha nini
 
Hata Mimi namtaftia rafiki yangu demu, sifa za rafiki yangu
• Hana wenge
•Ana focus na maisha
•Umri miaka 26 ila usijali akifuga ndevu ataonekana na 30+

Kama uko tayari nipe namba ya rafiki yako
 
Na hili ndio hua tatizo hata ofsi ninayofanya kazi wadada wakianzaga kazi wanakua na nyodo sana wanatuona sio size yao
 
Wewe hauna shida ya kuoa mkuu acha wenye shida na kutaka wajitokeze..ni wangapi hapa wanatafuta wachumba? Sasa ww unapata mashaka gani..hii njia humu wengi walipata watu wa kweli na wanaishi mpk leo..kila kitu kina sababu kwny maisha...let's wait and see
Mwenye shida ya kuoa huwa anakua anatofauti ipi?

Then I asked a lot of basic questions, what surprises me is that you jumped at the bottom...I see how arrogant and totally insane you're, Women are the worst human beings and to be honest you've lost!
 
Nina friend angu ameniomba nimtafutie mchumba, yeye sio member humu, kuna watu baadhi nimeshamconnect nao wa humu but problem ni umri; yeye ana umri wa miaka 31 na anataka mchumba mwenye umri wa juu yake.

Sifa zake;
  • Mweusi
  • Urefu Size ya kati.
  • Ana elimu ya degree.
  • Ana kampuni yake.
  • Ana maisha yake anajitegemea.
  • Ana hofu ya Mungu.
  • Anaishi Dar es salaam.

Sifa za mwanaume amtakae;
  • Yoyote mwenye kujielewa.
  • Mwenye kufocus na maisha.
  • Umri miaka 35 na kuendelea.
  • Dini mkristo.

Kwa yeyote ambae yuko tayari a PM nimpe namba waweze kuwasiliana, nitawasaili kwa niaba.
All the Best
 
Nina friend angu ameniomba nimtafutie mchumba, yeye sio member humu, kuna watu baadhi nimeshamconnect nao wa humu but problem ni umri; yeye ana umri wa miaka 31 na anataka mchumba mwenye umri wa juu yake.

Sifa zake;
  • Mweusi
  • Urefu Size ya kati.
  • Ana elimu ya degree.
  • Ana kampuni yake.
  • Ana maisha yake anajitegemea.
  • Ana hofu ya Mungu.
  • Anaishi Dar es salaam.

Sifa za mwanaume amtakae;
  • Yoyote mwenye kujielewa.
  • Mwenye kufocus na maisha.
  • Umri miaka 35 na kuendelea.
  • Dini mkristo.

Kwa yeyote ambae yuko tayari a PM nimpe namba waweze kuwasiliana, nitawasaili kwa niaba.
Kila la kheri
 
Tunatafutwa sana wanaume, soko tunalo
Wanaume rijali ungemalizia, vita ni kubwa mnooo yaan.

Bottoms wanavuta kushoto, wanawake wanavuta kulia.

Wanaume rijali kazi wanayooo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanaume rijali ungemalizia, vita ni kubwa mnooo yaan.

Bottoms wanavuta kushoto, wanawake wanavuta kulia.

Wanaume rijali kazi wanayooo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mpk maji waita mma...si hawataki kuoa ngoja watafutwe kwa application sasa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom