Hatimaye naoa

Friedrich Nietzsche

JF-Expert Member
Sep 22, 2022
1,145
1,918
"Wakuu naoa mimi πŸ˜‚πŸ˜‚
Alooo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Kwanza ncheke

Naongea kwa utani kwasababu mimi nina masihara sana. Hadi sasa nina miaka 34. Wadogo zangu wote walishaoa. Umri wangu walishaoa. Kila naemjua alishaoa

Nimesemwa sana aisee Wazazi walihisi sidindi daah. Ila nilikua sijapata mtu ambae hata wazo la kumuoa lilikua linakuja kichwani. Kifupi kila niliokua nao Tulikua hatuendani. Kuna binti mmoja sasa ndo nilivomuona nikasema namuoa.

KIFUPI TANGU SIKU YA KWANZA NILIVOKUTANA NAE nikajisemea huyu ndio mke wangu! La haulaaaaa Ghafla imo , ni mvumilivu ananivumilia yaan mimi nina personality ngumu sana !! Yaan huwa najisemea hata ningekua mwanamke singeweza kuishi na mtu kama mimi”

Hali hiyo ilinifanya nichelewe kuoa au kufuata mkumbo wa kuoa. Naomba Mungu anilipizie maumivu yote. Ndoa ikawe ndoa kweli kweli. Nikatoe kizazi bora. Siku nitazame subira yote hii niseme ilikua na maana kubwa sana.

Najua ndani kunaweza kuwa kivumbi lakini kama utabiri wangu ni kweli Basi huyu ndie niliyechaguliwa na mungu

Wakuu
Usiache kushare experience yako tunajifunza mengi kutoka kwa watu kuliko kusoma vitabu na movie"
 
Kwa msaada zaidi pitia hapa
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚mkuu huu uzi nimeusoma yaan hapa nishaongea na jamaa angu mwanasheria kanihakikishia As long ye yupo hatuwez gawana mali nilizochuma mm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom