Namtafuta mwanangu, alizaliwa mwaka 2002

Namtafuta mwanangu, alizaliwa mwaka 2002

Albosignathus

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2013
Posts
4,898
Reaction score
1,051
Wana wa jf,

Namtafuta mwanangu alizaliwa mwaka 2002 na mama yake anaitwa Lucy,huyu ni mtu wa mkoa wa mara baba yake alikuwa mwanajeshi na ana kaka yake alikuwa anafanya kazi kiwanda cha Chibuku.

Huyu dada kazi yake ni Nesi ni mwembamba.Sijui huyo mtoto alipewa jina gani na mama yake ila huyu mama alimletaga huyo mtoto kwetu na alinikosa kwa kuwa sikuwepo miaka ya 2002,mwezi wa 9.

Lucy naomba ukipata ujumbe huu uende Ilala kwa wazazi wangu kisha upewe namba yangu ya simu na niweze kumpata huyo mtoto wangu wa kike.
 
Wana wa jf.Namtafuta mwanangu alizaliwa mwaka 2002 na mama yake Anaitwa Lucy,huyu ni mtu wa mkoa wa Mara baba yake alikuwa mwanajeshi na ana kaka yake alikuwa anafanya kazi kiwanda cha Chibuku.Huyu dada kazi yake ni Nesi ni mwembamba.Sijui huyo mtoto alipewa jina gani na mama yake ila huyu mama alimletaga huyo mtoto kwetu na alinikosa kwa kuwa sikuwepo miaka ya 2002,mwezi wa 9.Lucy naomba ukipata ujumbe huu uende Ilala kwa wazazi wangu kisha upewe namba yangu ya simu na niweze kumpata huyo mtoto wangu wa kike.

Kirahisi hivyo? Weka taarifa zaidi za namna ulivyomtelekeza, mliishi kukutana wapi, shule aliyosoma, sehemu alipofanya kazi, marafiki zake, ili uweze kusaidiwa.
Muache kutelekeza watoto.
 
Wana wa jf.Namtafuta mwanangu alizaliwa mwaka 2002 na mama yake Anaitwa Lucy,huyu ni mtu wa mkoa wa Mara baba yake alikuwa mwanajeshi na ana kaka yake alikuwa anafanya kazi kiwanda cha Chibuku.Huyu dada kazi yake ni Nesi ni mwembamba.Sijui huyo mtoto alipewa jina gani na mama yake ila huyu mama alimletaga huyo mtoto kwetu na alinikosa kwa kuwa sikuwepo miaka ya 2002,mwezi wa 9.Lucy naomba ukipata ujumbe huu uende Ilala kwa wazazi wangu kisha upewe namba yangu ya simu na niweze kumpata huyo mtoto wangu wa kike.
siyo umpate na mama yake pia?
 
Mkome kutelekeza watoto,muda wote huo ulikuwa wapi kumtafuta.
 
Duh!

Pole sana (kama ni kweli).

Uongo tu huu mkuu...

Mtu anayeijua vizuri JF basi tangazo kama hili utalikuta kule jukwaa la hoja mchanganyiko...

Ila kwa kuwa huyu jamaa kazoea kupiga fiksi zake MMU ndio maana kakimbilia huku pia kuweka tangazo uchwara hili...
 
Umepiga hesabu sasa kabinti kamekua unafikiria mahari.
 
Khaa!!! Una bahati sana aisee ,Mie namjua huyo Lucy, anaishi ile hotel ikiitwa Sheraton zamani. Hajalipa bills za hotel, matibabu, ada za shule wala mavazi tokea 2002 hadi sasa, na anamtegemea baba wa mtoto aje kulipa. KARIBU!
 
Wana wa jf.Namtafuta mwanangu alizaliwa mwaka 2002 na mama yake Anaitwa Lucy,huyu ni mtu wa mkoa wa Mara baba yake alikuwa mwanajeshi na ana kaka yake alikuwa anafanya kazi kiwanda cha Chibuku.Huyu dada kazi yake ni Nesi ni mwembamba.Sijui huyo mtoto alipewa jina gani na mama yake ila huyu mama alimletaga huyo mtoto kwetu na alinikosa kwa kuwa sikuwepo miaka ya 2002,mwezi wa 9.Lucy naomba ukipata ujumbe huu uende Ilala kwa wazazi wangu kisha upewe namba yangu ya simu na niweze kumpata huyo mtoto wangu wa kike.
pole sana for misssing your baby girl..
 
wachagga hawakimbii watoto ata,akizaa nchi nzimaa anawatunza wote hata asipooa mama zao ila wenzetu makabila mengine mnakimbia watoto alafu mnarud wakikuaa stupid sana nyie.........
 
Ni kwamba umekuja kosa mtoto kwenye ndoa yako sio?
 
Kumbe unamtafuta mama yake.Basi lekebisha bandiko na useme unamtafuta LUCY!!
 
Back
Top Bottom