upo wapi????nipo mbali na ilala
Duh!
Pole sana (kama ni kweli).
Kirahisi hivyo? Weka taarifa zaidi za namna ulivyomtelekeza, mliishi kukutana wapi, shule aliyosoma, sehemu alipofanya kazi, marafiki zake, ili uweze kusaidiwa.
Muache kutelekeza watoto.
Kwa nini ulimtoroka?tuanzie hapo kwanza.
siyo umpate na mama yake pia?
jamaa anamtaka mtoto kibabe aiseee!! yaan inshort hatak appreciation kwa walio mlea mtoto yeye anachotaka ni mtoto duuuh!!!
Mkome kutelekeza watoto,muda wote huo ulikuwa wapi kumtafuta.
Uongo tu huu mkuu...
Mtu anayeijua vizuri JF basi tangazo kama hili utalikuta kule jukwaa la hoja mchanganyiko...
Ila kwa kuwa huyu jamaa kazoea kupiga fiksi zake MMU ndio maana kakimbilia huku pia kuweka tangazo uchwara hili...
Kajimbulishe kwa wakweWana wa jf.Namtafuta mwanangu alizaliwa mwaka 2002 na mama yake Anaitwa Lucy,huyu ni mtu wa mkoa wa Mara baba yake alikuwa mwanajeshi na ana kaka yake alikuwa anafanya kazi kiwanda cha Chibuku.Huyu dada kazi yake ni Nesi ni mwembamba.Sijui huyo mtoto alipewa jina gani na mama yake ila huyu mama alimletaga huyo mtoto kwetu na alinikosa kwa kuwa sikuwepo miaka ya 2002,mwezi wa 9.Lucy naomba ukipata ujumbe huu uende Ilala kwa wazazi wangu kisha upewe namba yangu ya simu na niweze kumpata huyo mtoto wangu wa kike.
Kwahiyo ningeacha shule nikabebe ZEGE?
Umepiga hesabu sasa kabinti kamekua unafikiria mahari.
Kwa hiyo gharama za matunzo utalipa au unadhani alikuwa anakula upepo?
Wakurya watu wa ajabu sana nyie
Ndio mimi ni pm