King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,670
- 68,631
Nenda Facebook kajaa kama pishi la mchele anitwa "somebody access" kaweka na pix zake nyingine.
hiyo mikwala hiyo unajitutumua huku umejifungia mlango.Jama jama.... kuna watu wanatafuta balaa humu...LOL
Ngoja nimalizie kumla mzigo zen ntaku pm boss wangu ondoa shaka hawa kama magazeti tu unasoma unaeka chini ya meza akijitokeza mpika maandazi anafungia
wewe unAHAtARIIIIIINi drawbar trailer, Supu ni ya mawe kama kawa, oil ya engine ni mafuta ya mawese...!!! OOOoooh Asante gfsonwin kwa kujitokeza nilitaka nikupe na ile negative uliyoniachia mwaka 1991 ndo nilisafisha nikapata hii picture...!!! Gia zote naziingiza ipasavyo mpaka hiyo trailer inapaa juuuu.....kama rocket...!!!