Ama hakika mitandao ya kijamii ina nguvu.. ni masaa 24 tu toka niombe msaada wa kumpata huyu mtu.. ni tayari nimesaidiwa kumpata kwa nguvu za JamiiForum, FaceBook.
ASANTENI WADAU..ASANTENI SANA..kila wazo nililitumia ipasavyo... Na nimempata bila kusafiri. Ni miaka 40+ toka tupotezane na huyo mtu...MUNGU NI MKUBWA JAMANI. Ukoo mzima wamejawa na furaha. Ukoo ulipanga kuzika mgomba tu kama utamaduni kwa mwili ulopotea pasipo onekana.
Karibuni.. hivi sasa pana Ngelenge, mbege, kwa kuku choma wa kienyeji wazee wanafurahi...karibuni Mpapa Mbinga.
Pia Soma:
- Msaada: Namtafuta Renata Mapunda
ASANTENI WADAU..ASANTENI SANA..kila wazo nililitumia ipasavyo... Na nimempata bila kusafiri. Ni miaka 40+ toka tupotezane na huyo mtu...MUNGU NI MKUBWA JAMANI. Ukoo mzima wamejawa na furaha. Ukoo ulipanga kuzika mgomba tu kama utamaduni kwa mwili ulopotea pasipo onekana.
Karibuni.. hivi sasa pana Ngelenge, mbege, kwa kuku choma wa kienyeji wazee wanafurahi...karibuni Mpapa Mbinga.
Pia Soma:
- Msaada: Namtafuta Renata Mapunda