Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 70,954
- 93,931
Huyo Jamaa Uncle John Mpishi alikua hasomeki fresh hivi kama simu yake inashika mnara,Kuna mdau kanikumbusha BUJUNJU lol Jamaa alikuwa na mwili mkubwa kono gogo fua jumba baunsa la nguvu kumbe alikuwa form 3 lol
Yaani ukiwa na urafiki na Uncle John utapewa kitei safi pamoja na zile mboga za wagonjwa...."Hivi we mtoto, umekura kweri wali, hebu njoo nikupakurie", yaani ukishasikia hivyo sanuka maana hata samvu utaombwa ulionje.
Bujunju, Majogoro, Maduhu Madoba hayo majina yalikua yakiniacha hoi sana dah.