Jackline Bahath
JF-Expert Member
- Feb 14, 2016
- 681
- 627
sure,hilo swali la msingiKama alikuzila na hakukujali mpaka umekuwa mtu mzima kuna haja gani ya kumtafuta
sure,hilo swali la msingiKama alikuzila na hakukujali mpaka umekuwa mtu mzima kuna haja gani ya kumtafuta
ukute alikukataa kwa kusema ww si mtoto wakeKama alikuzila na hakukujali mpaka umekuwa mtu mzima kuna haja gani ya kumtafuta
Mkuu mm nataka nimfahamu ayo mengine nitaya fanyia mamuuz mm binafsiukute alikukataa kwa kusema ww si mtoto wake
Pole sana, mimi nilikuwa namtafuta Mzee wangu humu humu, bahati mbaya au nzuri nimeweza kuwapata ndugu zangu, japo mzee alishakufa muda. Utampata tu.Wakuu habari zenu,
Namtafuta mzee wangu. Mama na mzee waligombana kipindi mimi nazaliwa kwa hiyo mzee aliondoka na mama akakata kabisa mawasiliano naye.
Ni miaka zaidi ya 25 imepita, mimi simfahamu mzee hata kwa picha, baada ya mahojiano na mama akanipa maelezo yafuatayo
- Jina lake ni Jovin Machumu
-Mara ya mwisho mama alisikia anaishi Shinyanga na alikuwa anafanya kazi Tanzania National Miling
-kabila lake ni Muhaya
- Hawafahamu kabisa ndugu wa mzee
Kwa yeyote ambaye anamjua mtu ambaye alifanya kazi national milling Shinyanga naomba aniunganishe. Sina maelezo mengine zaidi ya hayo kwa hiyo naomba msaada wenu wakuu. Mwenye nia ya kunisaidia anitumie meseji pm.
Asante mkuu..natumaini nitafanikiwaPole sana, mimi nilikuwa namtafuta Mzee wangu humu humu, bahati mbaya au nzuri nimeweza kuwapata ndugu zangu, japo mzee alishakufa muda. Utampata tu.
Kama mleta mada anasema Baba na mama yake waliachana wakati yeye anazaliwa na imeshapita miaka 25 toka waachane kuna mwanga kua Baba yake alikua akifanya kazi hapo NMC mwaka 1991, japo sio rahisi kujua kua alikua hapo NMC mpaka mwaka gani kwa mara ya mwisho.Kwa hiyo ya kufanya kazi national milling ilikuwa lini kwa mara mwisho? Maana NMC zilikufa siku nyingi sana. Yale ma-godown pale SHY huwa yanakodishwa kwa watu kwa ajili ya kutunzia mizigo, sasa sidhani kama utapata mtu wa kukuelekeza pale!
Ni kweli mkuu ..shukran kwa kufafanuaKama mleta mada anasema Baba na mama yake waliachana wakati yeye anazaliwa na imeshapita miaka 25 toka waachane kuna mwanga kua Baba yake alikua akifanya kazi hapo NMC mwaka 1991, japo sio rahisi kujua kua alikua hapo NMC mpaka mwaka gani kwa mara ya mwisho.
Sawa mkuuNjoo pm kuna rafiki yangu mmoja alitokea shinyanga anaitwa Maximilian Machumu atakuwa anamfaham mzee wako
Mkuu ingekuwa vizuri hizi namba ukamtumia Pm sio hapa hadharani ,unaweza kufuta hiyo comment yakoMpigie huyu MZee Machumu wa mwanza atakusaidia 0766 146360
KUNA MTU ANAMTAFUTA JOVIN SILAYIO CHEKINAE MNA UNDUGUU???Wakuu habari zenu,
Namtafuta mzee wangu. Mama na mzee waligombana kipindi mimi nazaliwa kwa hiyo mzee aliondoka na mama akakata kabisa mawasiliano naye.
Ni miaka zaidi ya 25 imepita, mimi simfahamu mzee hata kwa picha, baada ya mahojiano na mama akanipa maelezo yafuatayo
- Jina lake ni Jovin Machumu
-Mara ya mwisho mama alisikia anaishi Shinyanga na alikuwa anafanya kazi Tanzania National Miling
-kabila lake ni Muhaya
- Hawafahamu kabisa ndugu wa mzee
Kwa yeyote ambaye anamjua mtu ambaye alifanya kazi national milling Shinyanga naomba aniunganishe. Sina maelezo mengine zaidi ya hayo kwa hiyo naomba msaada wenu wakuu. Mwenye nia ya kunisaidia anitumie meseji pm.
Asante mkuuMpigie huyu MZee Machumu wa mwanza atakusaidia 0766 146360
Sawa mkuu ..cheki inbox nakutumia mesejiMimi ni jirani sana na wakima machumu hapa bukoba,tafadhali njoo nikuunganishe nao pengine babako yupp hapa
Shukran mkuuMama n mama
Baba hana mfano
Mungu akusaidie umpate
Sawa mkuuUkimpata utupe mrejesho tafadhali