zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Ribosome tatizo wewe ni limbukeni, ya jana unatakua kuunganisha hapa.
sio kweli kua unavutia na ningetaka nikuweke kapuni, ila siwekaki kikapuni kile ambacho sikitaki
inakua kama kibudu. U think me stupid? nimekuuliza wakati upo interested na unatabia ya kuwenga
watu kiujumla kama ulivyo fanya analysis ya kitabu na hali hujasoma na ukakili.
Sibishani na wewe kushindana. ni kweli hunivutii sababu huna busara kama za mzee
mwana kijiji ambae unamchukia na kumuwaza kila mara. Unaonesha kabisa ni mdini ingawa umetumia
jina ambalo halioneshi wewe ni muislam, kauli yako kwa Mwali ilionesha wazi. Na hivi unajua wazi mie ni
mkristo hata siku moja siwezi kua type yako wala wewe mimi. hivo usinibabaishe na usinichafulie thread.
Hutaki ondoka hujalazimishwa hapa.
Mie sio malaya wa kiume wa kununuliwa kwa pesa. Ndio maana nikakuambia wewe you are not my type kwani umeanza na kichwa cha habari cha kuwa unataka mwanamme wa kumnunuwa kwa "donge nono" akuzalishe, that is not my type at all sinunuliwi na mwanamke kwa rushwa ya "donge nono" liwe la sex au la noti. Tafuta utawapata wanye kutaka type kama yako. Kwa kukujuza tu kuhusu dhanna yako ya ukiristo ni ufupi wa mawazo kutoka kwako. Mke wangu tulipooana alikuwa Mkisto tena Mlutheri na maisha yalienda kama kawaida na baada ya miaka 14 ya ndoa akaamuwa mwenyewe kusilim, hakulazimishwa wala kubughudhiwa muda wote huo. Kwa hiyo dhanna yako ya kuleta udini ni ya kijinga kabisa.
Sikuharibii mjadala, ila uelewe kuwa si kila mtu ataendana na mawazo yako au atakujibu upendavyo. Kama nia ni kutaka ujibiwe upendavyo ungewa pm wote unaotaka kupakana nao mafuta kwa mgongo wa chupa, ukiamuwa kuweka mambo yako kwenye forum ya wazi ujuwe kuna utayokumbana nayo hayatokuridhisha.
Kama hutaki ondoka wewe, mimi huna uwezo wa kunifukuza kwani niko kwenye open forum na ntajibu kwa mtazamo wangu, mimi si malaya wa kiume (gigolo) wa kununuliwa kwa "donge nono" la aina yoyote ile.
You are not my type at all.