Namsifu Kikwete kuwekeza katika kujenga uchumi bora wa Tanzania

Suala la msingi hapa ni 'maendeleo' hayo ni ya nani? Kama ni maendeleo ya kuwanufaisha wachache, watawala na vikaragosi vyao, basi hayo si maendeleo. Maendeleo halisi ni yale ambayo yanamnufaisha kila mwananchi.
 
Hivi inawezekana mtu mwenye akili Timamu akakubali kutema Asali na kutamani Pilipili?

Znz wanachotaka kwa sasa ni utambulika kama DOULA huru na kupata kiti chao UN. msome comment za waziri Mansour Yousuf Himid.

Kurudi huko labda mkubali Dual citizen.

Lakin ahali yangu WC,

mada hii nimejikita zaidi kuhamasisha waTz waache kuwa waangalizi wa maendeleo yao kwa kutegemea wageni ndio walete maendeleo. Wanatakiwa wajifue na kushiriki katika maendeleo hayo.

Nipo Malindi Znz kwa sasa.
Fursa za uwekezaji unazozitafuta huku kwetu ni za nini kama huko ni Asali? Hiyo kauli Mansour Yusuph Himid inafanana na nilichokisema hapo kabla. Ukishakuwa na kiti UN na ukawa na vyombo vyako vya dola umemaliza kila kitu. Lakini mimi nasisitiza uhuru unaotakiwa kurudi Zanzibar ni ule wa December 10, 1963. Sio ule wa January 12, 1964. Vinginevyo hakutakalika. Na kama Mansour ni mtoto wa Brigadier Yusuph Himid mimi namwelewa sana.
 
Nakushauri unisome vizuri sana na sio kukurupuka. Kwani mimi nimejikita zaidi na nyenzo au miundombinu ya kuinua uchumi hususan kwa nchi masikini zinazotegemea wafadhili na wawekezaji katika kuinua uchumi wake.

Nisome vizuri pasi na shaka utanielewa kama utaondoa USHABIKI.


Hivi unajua unachokisema wewe?
 
Ninyi ndio wale wapinga kristo ila baada ya kristo kuondoka sasa ndio mmeanza kumkubali ila hata huyu aliyoko madarakani mtakuja kumkubali pale atakapoondoka

Mtumishi wa Mungu simamia haki, usifungwe na maslahi ya kidunia ukaanza kuitumikia miungu mingine (Matajiri, Viongozi na Mafisadi) Leo ktk kanisa kuna ukengeufu mkubwa kwa watumishi wa Mungu kutosema ukweli kwa sababu ya maslahi, Usije ukawa mmoja wao.
Jiulize swali moja tu, kwanini mwalimu Nyerere alikubalika, anakubalika na ataendelea kukubalika pamoja na kuwa hali ilikuwa mbaya kuliko sasa hivi? Hivi mtumishi aliyepewa sufuria zima la uji awalishe watoto halafu akawapa vibaba viwili mwingine akanywa yeye na rafiki zake utasema kafanya vizuri kuliko yule aliyepewa kibaba kimoja awalishe na akawapaa wototo chote kwa uaminifu??

Madini yetu yanagawanywa bure kwa wawekezaji uchwara
Wanyama wanatoroshwa hovyo.
Mikataba feki, Wizi wa fedha za umma benk kuu, Raddar n. k
Hizo barabara chache zinazojengwa kwa mabilioni halafu kiwango cha chini ndio unaona jambo la kujivunia?
Huo uchumi uliokua halafu haumsaidii mwananchi wa kawaida una maana gani kwetu?

Tuache unafiki
 
Nina wasiwasi na elimu yako. That is all.

huyu mdau aache kujipa sifa za kujikweza kama nchemba si vyema.huyu bwana si mchumi kitaaluma ni mchumi wa mitandao, amabpo kila mtu atasema anavyojisikia.kimsingi hatupimi maendeleo kwa vigezo vichache , na kuacha vigezo vipana mtawanyiko vyenye kujenga pato na mwananachi mmoja mmoja.

Kuna mengi mno hajayazingatia na kuonyesha uzoefu wa kistadi na mazingira halisi.Kwa nadhari , hata watoto wanaweza kutoa kama alivyotoa. Watanzania, hawahitaji nadharia kama hizi ni kejeri kwao wakati maisha yao no mabaya mno.

Kiuchumi yuko out of site tuongelee maisha ya mwananchi wa kawaida na namna ya kumsaidia , haya manadharia na kijisifia usomi huku watanzania wengi wakibaki wako hoi haitasaidia.
 
huyu mdau aache kujipa sifa za kujikweza kama nchemba si vyema.huyu bwana si mchumi kitaaluma ni mchumi wa mitandao , amabpo kila mtu atasema anavyojisikia.kimsingi hatupimi maendeleo kwa vigezo vichache , na kuacha vigezo vipana mtawanyiko vyenye kujenga pato na mwananachi mmoja mmoja.kuna mengi mno hajayazingatia na kuonyesha uzoefu wa kistadi na mazingira halisi.Kwa nadhari , hata watoto wanaweza kutoa kama alivyotoa.watanzania , hawahitaji nadharia kama hizi ni kejeri kwao wakati maisha yao no mabaya mno.Kiuchumi yuko out of site>tuongelee maisha ya mwananchi wa kawaida na namna ya kumsaidia , haya manadharia na kijisifia usomi huku watanzania wengi wakibaki wako hoi haitasaidia.

Litakuuma sana sana na utakufa na kijiba cha roho.

karibu sana Kesho insh'Allah Zanzibar University kuanzia saa sabaa na nusu nitakuwa natoa mada inayofanana na hii kwa wasomi hao.

 
Mtumishi wa Mungu simamia haki, usifungwe na maslahi ya kidunia ukaanza kuitumikia miungu mingine (Matajiri, Viongozi na Mafisadi) Leo ktk kanisa kuna ukengeufu mkubwa kwa watumishi wa Mungu kutosema ukweli kwa sababu ya maslahi, Usije ukawa mmoja wao.
Jiulize swali moja tu, kwanini mwalimu Nyerere alikubalika, anakubalika na ataendelea kukubalika pamoja na kuwa hali ilikuwa mbaya kuliko sasa hivi? Hivi mtumishi aliyepewa sufuria zima la uji awalishe watoto halafu akawapa vibaba viwili mwingine akanywa yeye na rafiki zake utasema kafanya vizuri kuliko yule aliyepewa kibaba kimoja awalishe na akawapaa wototo chote kwa uaminifu??

Madini yetu yanagawanywa bure kwa wawekezaji uchwara
Wanyama wanatoroshwa hovyo.
Mikataba feki, Wizi wa fedha za umma benk kuu, Raddar n. k
Hizo barabara chache zinazojengwa kwa mabilioni halafu kiwango cha chini ndio unaona jambo la kujivunia?
Huo uchumi uliokua halafu haumsaidii mwananchi wa kawaida una maana gani kwetu?

Tuache unafiki

Ahali yangu kama utaacha kulalamika na kuondokana na Ushabiki utajifunza mengi sana.

Nitakusaidia kitu hapa.

MaTatizo makubwa sana yanayowasibu wa Tanzania ni

1. Mfumo wa Ilmu wenu. Huu umewaandaa wasomi wenu KUAJIRIWA na sio KUJIAJIRI. Hivyo mumekuwa waoga sana kuingia katika duniya hii ya utandawazi. ndio maana waTz mumekuwa wasindikizaji wa uchumi wenu. Kumbuka kuwa uchumi wa Tz umemilikiwa na wageni kwa 76%.

2.Ubinafsi. Hili ni tatizo sugu sana waTz wengi ni wabinfsi sana wanajipenda wao kuliko Taifa lao.

3.Kukosa Uzalendo kwa nchi yenu.

4. Watu wa kulalamika sana bila kujikita kujua suluhisho la matatizo yenu.

Samahani kama nitakuwa nimekukera. lakin ukweli lazima uitwe ukweli tu hata kama utakujeruhi kwa some how

 
Wanajamii.

Kama waTanzania hususan wale waliotoka Bara (Tanganyika) msingekuwa watu wa kulalamika na kulaumu kwa kila jambo na kusahau kabisa kuwa wazalendo na kushukuru kwa kile kidogo mnachopata na kujewekezea.Nitakuwa mbadhilifu wa Fadhila kama sikusema kuwa Tz imejitahidi sana kuweka miundo mbunu bora ya kujenga uchumi imara wa Tz.

Hapo awali nilizungumzia WAANDISHI wa habari wa Tanzania wamekosa uzalendo kwa nchi yao. Napenda kusimamia kwa kauli hii kwani nimeona mengi kwa hizi siku sabaa nilizokaa tanzania.

Ningependa kuwarudisheni katika Uchumi utaona Sera bora za kukuza uchumi wa nchi yoyote ile na hususan nchi masikini ni kuweka miundo mbinu Bora ya Usafiri kama barabara, Kuwa na nishati ya uhakika na kuwa na Sera bora za uwekezaji ikiwemo pamoja na Amani na utulivu wa sehemu hisika na vivutio natural kwa wawekezaji kama madini, ardhi safi n.k.

Kwa hayo hapo juu utaona Tanzania hususan Tanganyika wamebarikiwa kila kitu kasoro kulikuwa hakuna miundombinu Bora ya barabara na Nishati ya stima yyenye uhakika.

Kwa kipindi kifupi sana nimetembelea Mwanza kwa kupita barabara kupitia geita, Buseresere, Bwanga, Chato mpaka Muleba na kukomea kamachumu. Na kurudi nilipitia Biharamulo, Lusaunga, Nyakanazi, Lunzewe, ushirombo mpaka kahama, nzega na kuingia Tabora na baadae kurudi mpaka Mwanza kupitia Nzega, Tinde, shinyanga kufika Mwanza.

Jana niliingia Mtwara na leo nimetembea mpaka Kilwa kilanje lanje mpaka Ngurukuru kuona Kiwanda cha Rufiji Cement . Hakika Rais Kikwete amejitahidi sana kuweka miundo mbinu bora ya barabara za lami. Takriban lami imetawala kwingi kinachosubiriwa ni upatikanaji wa nishati ya Stima.

leo ningependa kuwashauri waTz acheni kulalamika Mtwara kuna fursa nyingi sana za uwekezaji. Kwani pamoja na kuwa na Gas na hivyo kuwa na umeme wa uhakika, lakin pia kuna mables ambazo ni malighafi safi kwa utengenezaji wa Saruji, Ardhi ni bora sana kwa kilimo cha alizeti, ufuta, korosho. Vile vile kuna beach nyingi sana na nzuri sana kuanzia msanga mkuu na maeneo yote a mikindani mpaka Lindi.

Lakin kubwa zaidi ni kuwa kuna Bandari kubwa sana. Kwani i lango kuu l kusafirishia bidhaa na la kupokelea malighafi za viwanda. Nilikuwa nikipitia sera ya Tz kuhusu Mtwara Corridor nimezipenda sana na kuona kuwa kuna mengi sana sio tu ya kujifunza lakin pia kuwekeza.

Nawashauri wana JF. Mkumbuke kuwa mtaji mkubwa wa kiuchumi ni AKILI ZENU, mengine yote ni matokeo. Acheni kulalamika umaskini wakti fursa zipo nyingi sana zipo kwenu. Kuna mahotel mazuri sana ya kulala vile vile kuna Makonde beach club, maisha Club, safari Lounge na mengine. Vile vile kuna Radio mbili maarufu Pride FM na Safari Radio. Zote hizo zinatoa taswira safi sana kwa mji wa Mtwara. Flight za uhakika nimekuja na 540. lakin hata precission nao wanakuja mara mbili kwa siku.

Namaliza kwakumpongeza sana sana Rais Kikwete kwa kuweka na kujenga Msingi mkuu wa kuinua uchumi wenu kwa kutengeneza barabara bora na kuanza project ya kuhakikisha Umeme unakuwa wa uhakika.

Kwanza kabisa nianze kwa kukupongeza kwa kuchambua mambo vizuri, lakini kwa UPANDE WA WALE WALIORIDHIKA.

Pili kwa kusema "watanganyika" ni walalamishi, nafikiri utakuwa umemkosea hata aliyekutuma. Kikweli nyie "Wazanzibari ndo walalamishi". Nimehitimisha kwa kukutaja wewe "ni mzanzibari" kwa uhakika ,kwa kuwa hakuna duniani watu au mtu wa taifa lingine anaweza kumtambua mtanzania kwa kumuita Mtanganyika kama "sio Mzanzibari".... wewe ni "Mpemba" au "Muunjuga"

Tatu ukweli kuwa miundombinu imara kwa ujenzi wa uchumi umeuzungumza kwa Ushabiki wa sera flani...au mafanikio ulopata kupitia mgongo fulani.

Kama unajadili kuhusu huyo kikwete...jiulize, kafanya nini tokea ameeingia kwa upande wa Reli?? iwe tazara au Kati?? ATCL?? Viwanja vya ndege...vilivyopo, iwe Mwinyi, Mkapa wala huyu aliyekutuma hajaongeza hata kimoja.

Kuhusu waandishi na uzalendo,mi naona HAUITAJI watu kujua taarifa kwa ukweli. Unataka watu wafichwe, ndo unaitwa uzalendo...lakini tambua siku zinavyokwenda na mitandao ya kijamii iliyopo....hautakuja kumlaumu mwandishi....BALI UTAWALAUMU WAHUSIKA. Tafakari

Pia inaonyesha uko hapa kwa Kutalii....Siku saba, kamwe huwezi zijua fursa za watu milion 52 (hiyo tanganyika unayoisema)

Nakubaliana na wewe kuhusu sera...lakini tambua sera ni maandiko...ila matendo na uwajibikaji juu ya sera husika ni jambo jingine.

Angalia ahadi za Kikwete 2010 (sera) aweke meli kwenye maziwa yote...mpaka sasa ana siku 1100 tu ikulu (keshatumia kama siku 600), ila kama ni maandiko na kuzungumza kinyume na matendo...sera yeyote haina mantiki.(siasa Uchwara)

Na wewe kama umekuja hapa kutuambia habari za sera zisizo tekelezeka....kipi kinachofanya nisikuone UMETUMWA??

Nishati?????? ya uhakika??? Unajua mahitaji ya nishati "TANGANYIKA"??? Unajua mitambo aliyoiongeza huyo Kikwete ya umeme ""unaosema wa UHAKIKA""?? Cheki na Muhando na Mboma. Nahisi unapiga Kampeni. Sio kweli hata kidogo.

Hotels unazoungumza za kulala...ni Min $80/night....unamwambia nani anayeweza ku"spend" 120,000tzs/ night kwa kulala kati ya "WATANGANYIKA 52ml"" ??

Kwa wewe uliowezeshwa na mfumo huu...na ukafanikisha usione wengine hawana akili...WEWE UMEKUJA KUTALII HAPA...na ndio maana hata hao wazungu wanakuja hapa na kutuona tunalalamika kwa kuwa wanakuja na mitaji.

Mbona "wapemba" wanalalamikia kuhusu kutofaidika kwa karafuu...wewe huoni??

Usijihesabu ni "mtanzania" wakati UKO KWENYE NCHI YAKO KAMA MTALII"" hujui matatizo ya watu kwa ujumla wao.

Unao mtaji (wewe)...lazima utaona fursa ziko nyingi?? Wanaolalamika ni wale wasio na mitaji, NA WANAONA FURSA hizi zikitumiwa vibaya na wachachetena. Tena WEZI.

"KUANZA PROJECT YA KUWA NA UMEME WA UHAKIKA" kweli wewe ni mzima??? hizi projecti unazozisema umeona hata dalili?? Kidatu,Mtera,Nyumba ya mungu,Pangani....zilijengwa wakati Kikwete huyu yuko Bagamoyo kavaa bukta hajui jioni itakuwaje??

Tokea kaingia kaongeza Richmond/Dowans/Symbion, Agreko...ambazo KAMA kweli unajiita mzalendo (kuliko waandishi ulosema) tuambie ni faida gani zimetupa...zaidi ya kutunyonya??

Hizo unazo zisema "project" ni maelezo kwenye makablasha.....kama ulikuwa nje muda mrefu...ndo ujue kwa nini tuna lalamika...ni maongezi haya kuyaona tokea 90's wakati hitimisho lake ni la kuweka mitambo ya DHARURA!!!! jiulize, tokea huyu "kaka" yako kaingia miaka SABA iliyopita...umeme gani ambao utakuwepo miaka 20 ijayo kauweka???

Nahitimisha kwa kusema

UMETUMWA
 
mhh!kwa namna ulivyotueleza hapa hizo fursa,hatuna sababu ya kuwa maskini!Hata Rais Kikwete mwenyewe na watendaji wake wanatueleza kila siku habari hizi ulizotuimbia hapo juu!hatutaki kuwa na sera nzuri tu,tunataka utekelezaji wa sera zenye tija kwa wananchi!Ya nini kuwa na kila aina ya utajiri halfu bado mnakuwa maskini!Nakwambia katika aina 3 za njaa alizozisema jana mbunge wa mji mkongwe, hakika njaa mbaya ni ile ambayo chakula kipo uankiona halafu wewe huna uwezo wa kukinunua!Utatumia nguvu tu kupata!
 
Ahali yangu kama utaacha kulalamika na kuondokana na Ushabiki utajifunza mengi sana.

Nitakusaidia kitu hapa.

MaTatizo makubwa sana yanayowasibu wa Tanzania ni

1. Mfumo wa Ilmu wenu. Huu umewaandaa wasomi wenu KUAJIRIWA na sio KUJIAJIRI. Hivyo mumekuwa waoga sana kuingia katika duniya hii ya utandawazi. ndio maana waTz mumekuwa wasindikizaji wa uchumi wenu. Kumbuka kuwa uchumi wa Tz umemilikiwa na wageni kwa 76%.

2.Ubinafsi. Hili ni tatizo sugu sana waTz wengi ni wabinfsi sana wanajipenda wao kuliko Taifa lao.

3.Kukosa Uzalendo kwa nchi yenu.

4. Watu wa kulalamika sana bila kujikita kujua suluhisho la matatizo yenu.

Samahani kama nitakuwa nimekukera. lakin ukweli lazima uitwe ukweli tu hata kama utakujeruhi kwa some how


Nimekubaliana kwa kiasi kikubwa na hoja zako hapa....ila nikuulize??? Huu mfumo ni nani kauweka hivi?? Mimi?? Wewe?? au CCM na Kikwete ambao nimeona hapo juu unawasifia??

Kwa nini umlaumu mtanzania kwa mfumo uliopo....huku unawasifia viongozi walio na mamlaka ya kuubadilisha ili uendane na mahitaji??
Najua utamtetea Kikwete....ila naomba nimuweke na wewe usibishe kwa kuwa kwa miaka 7 aliyo kaa, + 3 aliyobakiza..(10) alikuwa anayo nafasi ya kuubadilisha...ila hamna dalili nae ni wale wale
 
Kwanza kabisa nianze kwa kukupongeza kwa kuchambua mambo vizuri, lakini kwa UPANDE WA WALE WALIORIDHIKA.

Pili kwa kusema "watanganyika" ni walalamishi, nafikiri utakuwa umemkosea hata aliyekutuma. Kikweli nyie "Wazanzibari ndo walalamishi". Nimehitimisha kwa kukutaja wewe "ni mzanzibari" kwa uhakika ,kwa kuwa hakuna duniani watu au mtu wa taifa lingine anaweza kumtambua mtanzania kwa kumuita Mtanganyika kama "sio Mzanzibari".... wewe ni "Mpemba" au "Muunjuga"

Tatu ukweli kuwa miundombinu imara kwa ujenzi wa uchumi umeuzungumza kwa Ushabiki wa sera flani...au mafanikio ulopata kupitia mgongo fulani.

Kama unajadili kuhusu huyo kikwete...jiulize, kafanya nini tokea ameeingia kwa upande wa Reli?? iwe tazara au Kati?? ATCL?? Viwanja vya ndege...vilivyopo, iwe Mwinyi, Mkapa wala huyu aliyekutuma hajaongeza hata kimoja.

Kuhusu waandishi na uzalendo,mi naona HAUITAJI watu kujua taarifa kwa ukweli. Unataka watu wafichwe, ndo unaitwa uzalendo...lakini tambua siku zinavyokwenda na mitandao ya kijamii iliyopo....hautakuja kumlaumu mwandishi....BALI UTAWALAUMU WAHUSIKA. Tafakari

Pia inaonyesha uko hapa kwa Kutalii....Siku saba, kamwe huwezi zijua fursa za watu milion 52 (hiyo tanganyika unayoisema)

Nakubaliana na wewe kuhusu sera...lakini tambua sera ni maandiko...ila matendo na uwajibikaji juu ya sera husika ni jambo jingine.

Angalia ahadi za Kikwete 2010 (sera) aweke meli kwenye maziwa yote...mpaka sasa ana siku 1100 tu ikulu (keshatumia kama siku 600), ila kama ni maandiko na kuzungumza kinyume na matendo...sera yeyote haina mantiki.(siasa Uchwara)

Na wewe kama umekuja hapa kutuambia habari za sera zisizo tekelezeka....kipi kinachofanya nisikuone UMETUMWA??

Nishati?????? ya uhakika??? Unajua mahitaji ya nishati "TANGANYIKA"??? Unajua mitambo aliyoiongeza huyo Kikwete ya umeme ""unaosema wa UHAKIKA""?? Cheki na Muhando na Mboma. Nahisi unapiga Kampeni. Sio kweli hata kidogo.

Hotels unazoungumza za kulala...ni Min $80/night....unamwambia nani anayeweza ku"spend" 120,000tzs/ night kwa kulala kati ya "WATANGANYIKA 52ml"" ??

Kwa wewe uliowezeshwa na mfumo huu...na ukafanikisha usione wengine hawana akili...WEWE UMEKUJA KUTALII HAPA...na ndio maana hata hao wazungu wanakuja hapa na kutuona tunalalamika kwa kuwa wanakuja na mitaji.

Mbona "wapemba" wanalalamikia kuhusu kutofaidika kwa karafuu...wewe huoni??

Usijihesabu ni "mtanzania" wakati UKO KWENYE NCHI YAKO KAMA MTALII"" hujui matatizo ya watu kwa ujumla wao.

Unao mtaji (wewe)...lazima utaona fursa ziko nyingi?? Wanaolalamika ni wale wasio na mitaji, NA WANAONA FURSA hizi zikitumiwa vibaya na wachachetena. Tena WEZI.

"KUANZA PROJECT YA KUWA NA UMEME WA UHAKIKA" kweli wewe ni mzima??? hizi projecti unazozisema umeona hata dalili?? Kidatu,Mtera,Nyumba ya mungu,Pangani....zilijengwa wakati Kikwete huyu yuko Bagamoyo kavaa bukta hajui jioni itakuwaje??

Tokea kaingia kaongeza Richmond/Dowans/Symbion, Agreko...ambazo KAMA kweli unajiita mzalendo (kuliko waandishi ulosema) tuambie ni faida gani zimetupa...zaidi ya kutunyonya??

Hizo unazo zisema "project" ni maelezo kwenye makablasha.....kama ulikuwa nje muda mrefu...ndo ujue kwa nini tuna lalamika...ni maongezi haya kuyaona tokea 90's wakati hitimisho lake ni la kuweka mitambo ya DHARURA!!!! jiulize, tokea huyu "kaka" yako kaingia miaka SABA iliyopita...umeme gani ambao utakuwepo miaka 20 ijayo kauweka???

Nahitimisha kwa kusema

UMETUMWA
Ndio maana nimesema nina wasiwasi na elimu yake. Elimu ya kusoma na elimu ya kuchambua.
 
Ninyi ndio wale wapinga kristo ila baada ya kristo kuondoka sasa ndio mmeanza kumkubali ila hata huyu aliyoko madarakani mtakuja kumkubali pale atakapoondoka

labda kwa ujenzi wa vituo vya mafuta tutamkumbuka. mwakyembe ana kazi ngumu ya kutengeneza reli, wakati wenzie wanataka barabara ili magari yao ya kusambaza mafuta, ya kusafirisha mizigo ndani na nje ya nchi yafanye kazi vizuri. tutamkumbuka kwa kupandisha inflation kwa yeye kujikita zaidi katika biashara ya magari ya mizigo na mafuta badala ya kuimarisha reli ili bidhaa zipatikane kwa bei nafuu.
 
Barubaru ningekuwa mods ningekupa Ban kwa kudanganya jamvi tena kwa makusudi mazima na ukijua kuwa unadanganya...
 
Last edited by a moderator:
Its just like any other day for you Barubaru...........business as usual.........55 years ago JK looked like this at Msoga....and color photography was also available!....and today there are still more of this brats in this country.....many more than 55 years ago!



vb.jpg
 
Kwanza kabisa nianze kwa kukupongeza kwa kuchambua mambo vizuri, lakini kwa UPANDE WA WALE WALIORIDHIKA.

Pili kwa kusema "watanganyika" ni walalamishi, nafikiri utakuwa umemkosea hata aliyekutuma. Kikweli nyie "Wazanzibari ndo walalamishi". Nimehitimisha kwa kukutaja wewe "ni mzanzibari" kwa uhakika ,kwa kuwa hakuna duniani watu au mtu wa taifa lingine anaweza kumtambua mtanzania kwa kumuita Mtanganyika kama "sio Mzanzibari".... wewe ni "Mpemba" au "Muunjuga"

Tatu ukweli kuwa miundombinu imara kwa ujenzi wa uchumi umeuzungumza kwa Ushabiki wa sera flani...au mafanikio ulopata kupitia mgongo fulani.

Kama unajadili kuhusu huyo kikwete...jiulize, kafanya nini tokea ameeingia kwa upande wa Reli?? iwe tazara au Kati?? ATCL?? Viwanja vya ndege...vilivyopo, iwe Mwinyi, Mkapa wala huyu aliyekutuma hajaongeza hata kimoja.

Kuhusu waandishi na uzalendo,mi naona HAUITAJI watu kujua taarifa kwa ukweli. Unataka watu wafichwe, ndo unaitwa uzalendo...lakini tambua siku zinavyokwenda na mitandao ya kijamii iliyopo....hautakuja kumlaumu mwandishi....BALI UTAWALAUMU WAHUSIKA. Tafakari

Pia inaonyesha uko hapa kwa Kutalii....Siku saba, kamwe huwezi zijua fursa za watu milion 52 (hiyo tanganyika unayoisema)

Nakubaliana na wewe kuhusu sera...lakini tambua sera ni maandiko...ila matendo na uwajibikaji juu ya sera husika ni jambo jingine.

Angalia ahadi za Kikwete 2010 (sera) aweke meli kwenye maziwa yote...mpaka sasa ana siku 1100 tu ikulu (keshatumia kama siku 600), ila kama ni maandiko na kuzungumza kinyume na matendo...sera yeyote haina mantiki.(siasa Uchwara)

Na wewe kama umekuja hapa kutuambia habari za sera zisizo tekelezeka....kipi kinachofanya nisikuone UMETUMWA??

Nishati?????? ya uhakika??? Unajua mahitaji ya nishati "TANGANYIKA"??? Unajua mitambo aliyoiongeza huyo Kikwete ya umeme ""unaosema wa UHAKIKA""?? Cheki na Muhando na Mboma. Nahisi unapiga Kampeni. Sio kweli hata kidogo.

Hotels unazoungumza za kulala...ni Min $80/night....unamwambia nani anayeweza ku"spend" 120,000tzs/ night kwa kulala kati ya "WATANGANYIKA 52ml"" ??

Kwa wewe uliowezeshwa na mfumo huu...na ukafanikisha usione wengine hawana akili...WEWE UMEKUJA KUTALII HAPA...na ndio maana hata hao wazungu wanakuja hapa na kutuona tunalalamika kwa kuwa wanakuja na mitaji.

Mbona "wapemba" wanalalamikia kuhusu kutofaidika kwa karafuu...wewe huoni??

Usijihesabu ni "mtanzania" wakati UKO KWENYE NCHI YAKO KAMA MTALII"" hujui matatizo ya watu kwa ujumla wao.

Unao mtaji (wewe)...lazima utaona fursa ziko nyingi?? Wanaolalamika ni wale wasio na mitaji, NA WANAONA FURSA hizi zikitumiwa vibaya na wachachetena. Tena WEZI.

"KUANZA PROJECT YA KUWA NA UMEME WA UHAKIKA" kweli wewe ni mzima??? hizi projecti unazozisema umeona hata dalili?? Kidatu,Mtera,Nyumba ya mungu,Pangani....zilijengwa wakati Kikwete huyu yuko Bagamoyo kavaa bukta hajui jioni itakuwaje??

Tokea kaingia kaongeza Richmond/Dowans/Symbion, Agreko...ambazo KAMA kweli unajiita mzalendo (kuliko waandishi ulosema) tuambie ni faida gani zimetupa...zaidi ya kutunyonya??

Hizo unazo zisema "project" ni maelezo kwenye makablasha.....kama ulikuwa nje muda mrefu...ndo ujue kwa nini tuna lalamika...ni maongezi haya kuyaona tokea 90's wakati hitimisho lake ni la kuweka mitambo ya DHARURA!!!! jiulize, tokea huyu "kaka" yako kaingia miaka SABA iliyopita...umeme gani ambao utakuwepo miaka 20 ijayo kauweka???

Nahitimisha kwa kusema

UMETUMWA

Ahali yangu.

Kwa kweli kama utapunguza ushabiki tena ule wa Kisiasa na vile vile kusukumwa na tarbia ya Kulalamika kama ilivyo kwa wengi hapa Tanzania ambao wengi wao ni wavivu tena sana wa KUFIKIRI kwa kudhania kuwa maendeleo yao yanaweza letwa na wanasiasa na sio wao wenyewe kwa nguvu zao.

Nimebainisha kuwa MFUMO wenu wa Ilmu umewapumbaza sana kwa kutegemea KUAJIRIWA na kusahau kuwa Mtaji mkuu wa uchumi wenu ni AKILI zenu.

Labda nikuulize. Ni nini Tz mumekikosa toka kwa Muumba mpaka mnakuwa masikini siku hadi siku? Nafikiri ukiweza jibu hapa utaona nini nimebainisha katika kutaka kuwajengea fikra za kuweka miundombinu imara sana katika kukuwa kwa uchumi wenu.

Kumbuka kuwa katika Uchumi hakuna Siasa wala poroja kinachotakiwa ni nia ya dhati katika kufanikisha kile unachojipangia.

Pole sana.

 
Wanajamii.

Kama waTanzania hususan wale waliotoka Bara (Tanganyika) msingekuwa watu wa kulalamika na kulaumu kwa kila jambo na kusahau kabisa kuwa wazalendo na kushukuru kwa kile kidogo mnachopata na kujewekezea.Nitakuwa mbadhilifu wa Fadhila kama sikusema kuwa Tz imejitahidi sana kuweka miundo mbunu bora ya kujenga uchumi imara wa Tz.

Hapo awali nilizungumzia WAANDISHI wa habari wa Tanzania wamekosa uzalendo kwa nchi yao. Napenda kusimamia kwa kauli hii kwani nimeona mengi kwa hizi siku sabaa nilizokaa tanzania.

Ningependa kuwarudisheni katika Uchumi utaona Sera bora za kukuza uchumi wa nchi yoyote ile na hususan nchi masikini ni kuweka miundo mbinu Bora ya Usafiri kama barabara, Kuwa na nishati ya uhakika na kuwa na Sera bora za uwekezaji ikiwemo pamoja na Amani na utulivu wa sehemu hisika na vivutio natural kwa wawekezaji kama madini, ardhi safi n.k.

Kwa hayo hapo juu utaona Tanzania hususan Tanganyika wamebarikiwa kila kitu kasoro kulikuwa hakuna miundombinu Bora ya barabara na Nishati ya stima yyenye uhakika.

Kwa kipindi kifupi sana nimetembelea Mwanza kwa kupita barabara kupitia geita, Buseresere, Bwanga, Chato mpaka Muleba na kukomea kamachumu. Na kurudi nilipitia Biharamulo, Lusaunga, Nyakanazi, Lunzewe, ushirombo mpaka kahama, nzega na kuingia Tabora na baadae kurudi mpaka Mwanza kupitia Nzega, Tinde, shinyanga kufika Mwanza.

Jana niliingia Mtwara na leo nimetembea mpaka Kilwa kilanje lanje mpaka Ngurukuru kuona Kiwanda cha Rufiji Cement . Hakika Rais Kikwete amejitahidi sana kuweka miundo mbinu bora ya barabara za lami. Takriban lami imetawala kwingi kinachosubiriwa ni upatikanaji wa nishati ya Stima.

leo ningependa kuwashauri waTz acheni kulalamika Mtwara kuna fursa nyingi sana za uwekezaji. Kwani pamoja na kuwa na Gas na hivyo kuwa na umeme wa uhakika, lakin pia kuna mables ambazo ni malighafi safi kwa utengenezaji wa Saruji, Ardhi ni bora sana kwa kilimo cha alizeti, ufuta, korosho. Vile vile kuna beach nyingi sana na nzuri sana kuanzia msanga mkuu na maeneo yote a mikindani mpaka Lindi.

Lakin kubwa zaidi ni kuwa kuna Bandari kubwa sana. Kwani i lango kuu l kusafirishia bidhaa na la kupokelea malighafi za viwanda. Nilikuwa nikipitia sera ya Tz kuhusu Mtwara Corridor nimezipenda sana na kuona kuwa kuna mengi sana sio tu ya kujifunza lakin pia kuwekeza.

Nawashauri wana JF. Mkumbuke kuwa mtaji mkubwa wa kiuchumi ni AKILI ZENU, mengine yote ni matokeo. Acheni kulalamika umaskini wakti fursa zipo nyingi sana zipo kwenu. Kuna mahotel mazuri sana ya kulala vile vile kuna Makonde beach club, maisha Club, safari Lounge na mengine. Vile vile kuna Radio mbili maarufu Pride FM na Safari Radio. Zote hizo zinatoa taswira safi sana kwa mji wa Mtwara. Flight za uhakika nimekuja na 540. lakin hata precission nao wanakuja mara mbili kwa siku.

Namaliza kwa kumpongeza sana sana Rais Kikwete kwa kuweka na kujenga Msingi mkuu wa kuinua uchumi wenu kwa kutengeneza barabara bora na kuanza project ya kuhakikisha Umeme unakuwa wa uhakika.



Ulio yasema ni ya kweli na pia ni uongo.
Inaonekana ulipotea tanzania kwa muda mrefu. tanzania ya miaka 10 iliopita haifanani na ya leo, Kumejengwa sana, na barara zimeboreshwa sana lakini hata hivyo bado tuko nyuma saaana.
Ukiwa umelalia upande wa kulia, upande wa hao wafanya biashara wakubwa basi utaona hivyo unavyo ona leo lakini upande huo wa kushoto ndio bado huja vaa kiatu chake, Upande huo wa wamaskini.
Leo hii Maskini hana sauti kwa ajili ya rushwa. Kwa hiyo kama wewe ni mfanya biashara mkubwa yes offcourse mambo yako yata nyooka tu, Ukisha waona hao wazee wa TRA pembeni basi container lako lita pita bila matatizo. Kila utakalo basi utafanikiwa baada ya kuonan pembeni na hao mabosi.
Mfanya kazi wa hoteli kubwa ya kitalii anatukanwa na tajiri wake na kuitwa Nguruwe mchafu, Hilo ni tusi kubwa kwa wenzetu waislamu, ukimuuliza kwanini haendi kum report polisi huyo bosi anakwambia ''hiyo kesi haita fika mahali popote, Itatupwa tu'' na yeye atakosa kazi.

Haya umeme ndio kama hivyo, wa mgao kila mwaka.
Umeme ni kitu kinacho jiuza, wala haki hitaji matangazo, Kila mtu anahitaji umeme, kwa hiyo mauzo ya umeme uko juu sana lakini je hizo hela zina kwenda wapi?? Kama kuna mauzo mazuri na income nzuri kwanini kusitafutwe njia tofauti za kuzalisha umeme??
Kwa hiyo maendeleo yako kwa badhi ya watu wa mijini lakini huko vijijini...
 
Back
Top Bottom