Namsifu Kikwete kuwekeza katika kujenga uchumi bora wa Tanzania

Nimekubaliana kwa kiasi kikubwa na hoja zako hapa....ila nikuulize??? Huu mfumo ni nani kauweka hivi?? Mimi?? Wewe?? au CCM na Kikwete ambao nimeona hapo juu unawasifia??

Kwa nini umlaumu mtanzania kwa mfumo uliopo....huku unawasifia viongozi walio na mamlaka ya kuubadilisha ili uendane na mahitaji??
Najua utamtetea Kikwete....ila naomba nimuweke na wewe usibishe kwa kuwa kwa miaka 7 aliyo kaa, + 3 aliyobakiza..(10) alikuwa anayo nafasi ya kuubadilisha...ila hamna dalili nae ni wale wale

Kwa kweli umenifurahisha sana hapo nilipo BLUE.

Mfumo huo mumeweka wenyewe wa Tanzania kwa umoja wenu. Lakin wakati mfumo huo unawekwa Tz kulikuwa hakuna wasomi kama sasa. Kwani wakti ule anaemaliza Secondary anapata kazi, na kila anayemaliza University anapangiwa kazi moja kwa moja na Serikali.

Siku hizi Serikali yenu haina tena uwezo ya kuwaajiri wanafunzi wote wanaomaliza vyyuo vikuu. Hivyyo inabidi wajiajiri. Kwa mantiki hiyo naweza nikasema mfumo huo wa kuwasomesha wanafunzi kwa kuwaandaa kuajiriwa umepitwa na wakti. Mfumo wa sasa ni kama ule unaotumiwa Kenya au Uganda kuwa mwanafunzi nafundishwa KUJIAJIRI na anasomeshwa somo la uchumi na ujasiriamali tokea primaryy school.

Wenye mamlaka ya kubadili mfumo huo ni waTz wenyewe wala msisubiri wageni wawabadilishie.

 
Mzalendo.

Kwa bahati nzuri mimi ni mchumi kitaaluma lakin kikubwa zaidi nimefanya kazi kwenye serikali JMTz tena kwenye idara na wizara inayohusu hilo . Hivyo naujua uchumi wa Tanzania ndani nje nje ndani. Ila kama umenisoma vizuri hapo nimejikita katika kujenga miundombinu imara ya kukuza uchumi wa Tanzania. Na nimebainisha kuwa Barabara nzuri, Umeme wa uhakika, Sera safi za uwekezaji, natural resources na Political stability ni vitu muhimu sana kwa kuwavutia wawekezaji kuja kuwekeza.

Kwa Tanzania hususan maenea ya Mtwara kuna fursa nyingi zaidi na faida zake na nimezibainisha. naomba unielewe lakin nimemaliza kwa kusema MTAJI MKUBWA WA UWEKEZAJI NI AKILI ZAKO mengine yote baadae.

masawe,

Siku zote Nyani haoni kundule bali huona la mwenzake.

nakushauri ukipunguza USHABIKI na kuangalia uchumi wenu kwa mapana yake utajifunza mengi sana na utaacha KALAMIKA. kwani mtaji wa uwekezaji ni AKILI ZAKO na sio za ushabiki wako wa kisiasa.

nakupa pole sana

Nakupa pole sana
.

Kaka mimi sio mchumi ni darasa la saba tu lakini maswali yangu kwako kweli na elimu yako yote ya uchumi unatuandikia mabaa,magest house ndo rais ameweka misingi ya uchumi wakati hata yeboyebo mnaagiza china? eti unatuambia kuhusu pride fm wakati wananch wa mtwara wakitaka CT-SCAN mpaka waende muhimbili kwa kupitia lile barabara la karibu miaka 7 linawashinda kutengeneza? kama uchumi imara gani wakati jk kila siku anazunguka dunia nzima na bakuli la matonya? uchumi imara labda sijui maana yake kaka ntaflie na kunidadavulia ili nijue nyie ndo mnalipeleka taifa shimoni kwa usomi wenu wa kuklem
 
Kwa kweli umenifurahisha sana hapo nilipo BLUE.

Mfumo huo mumeweka wenyewe wa Tanzania kwa umoja wenu. Lakin wakati mfumo huo unawekwa Tz kulikuwa hakuna wasomi kama sasa. Kwani wakti ule anaemaliza Secondary anapata kazi, na kila anayemaliza University anapangiwa kazi moja kwa moja na Serikali.

Siku hizi Serikali yenu haina tena uwezo ya kuwaajiri wanafunzi wote wanaomaliza vyyuo vikuu. Hivyyo inabidi wajiajiri. Kwa mantiki hiyo naweza nikasema mfumo huo wa kuwasomesha wanafunzi kwa kuwaandaa kuajiriwa umepitwa na wakti. Mfumo wa sasa ni kama ule unaotumiwa Kenya au Uganda kuwa mwanafunzi nafundishwa KUJIAJIRI na anasomeshwa somo la uchumi na ujasiriamali tokea primaryy school.

Wenye mamlaka ya kubadili mfumo huo ni waTz wenyewe wala msisubiri wageni wawabadilishie.

[h=2]Namsifu Kikwete kuwekeza katika kujenga uchumi bora wa Tanzania[/h]Na bado unadiriki kuyasema haya?
 
Ahali yangu.

Kwa kweli kama utapunguza ushabiki tena ule wa Kisiasa na vile vile kusukumwa na tarbia ya Kulalamika kama ilivyo kwa wengi hapa Tanzania ambao wengi wao ni wavivu tena sana wa KUFIKIRI kwa kudhania kuwa maendeleo yao yanaweza letwa na wanasiasa na sio wao wenyewe kwa nguvu zao.

Nimebainisha kuwa MFUMO wenu wa Ilmu umewapumbaza sana kwa kutegemea KUAJIRIWA na kusahau kuwa Mtaji mkuu wa uchumi wenu ni AKILI zenu.

Labda nikuulize. Ni nini Tz mumekikosa toka kwa Muumba mpaka mnakuwa masikini siku hadi siku? Nafikiri ukiweza jibu hapa utaona nini nimebainisha katika kutaka kuwajengea fikra za kuweka miundombinu imara sana katika kukuwa kwa uchumi wenu.

Kumbuka kuwa katika Uchumi hakuna Siasa wala poroja kinachotakiwa ni nia ya dhati katika kufanikisha kile unachojipangia.

Pole sana.


Alafu mimi naona kama wewe hujielewi!!!!

Mwanzo, thread yako inamsifia Kikwete kana kwamba "keshafanya". Soma vizuri ulichoandika.

Sasa unajadili kuhusu mipango ya baadae...kwamba unabainisha unayooiita "MIFUMO".

Jibu rahisi kwa swali lako....."TUMEKOSA UONGOZI BORA" ambao wewe kwa fikra zako na unaonyesha kutumwa, ndo huo NAKUONA UNAUSIFIA.

Nakushauri labda ungebadilisha header yako....then uisimamishe kwamba uko hapa kubainisha fursa ambazo watz hawazioni, au hawazitumii....lakini habari ya kumsifu Kikwete.....jifikirie....kwa kuwa kwanza HAUJAJIBU HOJA ZANGU...umekwepa kama wafanyavyo wanasiasa.
 
Ulio yasema ni ya kweli na pia ni uongo.
Inaonekana ulipotea tanzania kwa muda mrefu. tanzania ya miaka 10 iliopita haifanani na ya leo, Kumejengwa sana, na barara zimeboreshwa sana lakini hata hivyo bado tuko nyuma saaana.
Ukiwa umelalia upande wa kulia, upande wa hao wafanya biashara wakubwa basi utaona hivyo unavyo ona leo lakini upande huo wa kushoto ndio bado huja vaa kiatu chake, Upande huo wa wamaskini.
Leo hii Maskini hana sauti kwa ajili ya rushwa. Kwa hiyo kama wewe ni mfanya biashara mkubwa yes offcourse mambo yako yata nyooka tu, Ukisha waona hao wazee wa TRA pembeni basi container lako lita pita bila matatizo. Kila utakalo basi utafanikiwa baada ya kuonan pembeni na hao mabosi.
Mfanya kazi wa hoteli kubwa ya kitalii anatukanwa na tajiri wake na kuitwa Nguruwe mchafu, Hilo ni tusi kubwa kwa wenzetu waislamu, ukimuuliza kwanini haendi kum report polisi huyo bosi anakwambia ''hiyo kesi haita fika mahali popote, Itatupwa tu'' na yeye atakosa kazi.

Haya umeme ndio kama hivyo, wa mgao kila mwaka.
Umeme ni kitu kinacho jiuza, wala haki hitaji matangazo, Kila mtu anahitaji umeme, kwa hiyo mauzo ya umeme uko juu sana lakini je hizo hela zina kwenda wapi?? Kama kuna mauzo mazuri na income nzuri kwanini kusitafutwe njia tofauti za kuzalisha umeme??
Kwa hiyo maendeleo yako kwa badhi ya watu wa mijini lakini huko vijijini...


Kumbuka nilichoongelea ni miundombinu ya kujenga uchumi imara. Miundombinu niliyoitaja haitumiwi na matajiri au wafanyabiashara pekee ni kuwa inatumika na wanadamu wote bila kujali cheo wala wadhwifa.

Nilipobainisha barabara kila mtu anaweza kutumia kwa kusafiri au hata kurahisisha kusafirisha mazao yake toka kondeni kwake mpaka marikiti. Nilipogusia mawasiliano kila mtu maeneo niliyopita nimemuona na simu na anawasiliana kutokana na mahitaji yake. Lakin pia umeme kila mtu anatumia kwa kiasi cha matumizi yake. Vyote hivyo vimeongeza uchumi na pato hata kwa watu binafsi.

Kuhusu Umeme mimi nimezungumzia Mtwara na project yenu ya kuleta bomba la gas kutoka Mtwara mpaka Dar. Hili nimeliona fika Kutoka chanzo chake msimbati Mtwara. Kwa mana hiyo kama mtakamilisha sifikirii kama kutakuwa na shida na karaha ya kukosa umeme.

lakin kubwa zaidi wa Tz, hivi kwanini amushituki kuona siku hizi Mtwara kuna flight tatu kwa siku na zote zinajaa. Au ndio mnafurahi na kusema angali DANGOTE amepewa ardhi Tz na amewekeza katika ujenzi wa kiwanda kikubwa cha Saruji. Na wachina na wageni kibao wanawekeza huko wakti wenyewe mnakalia kulalamika tu.

Je mtaondoa umasikini.
 
Kumbuka nilichoongelea ni miundombinu ya kujenga uchumi imara. Miundombinu niliyoitaja haitumiwi na matajiri au wafanyabiashara pekee ni kuwa inatumika na wanadamu wote bila kujali cheo wala wadhwifa.

Nilipobainisha barabara kila mtu anaweza kutumia kwa kusafiri au hata kurahisisha kusafirisha mazao yake toka kondeni kwake mpaka marikiti. Nilipogusia mawasiliano kila mtu maeneo niliyopita nimemuona na simu na anawasiliana kutokana na mahitaji yake. Lakin pia umeme kila mtu anatumia kwa kiasi cha matumizi yake. Vyote hivyo vimeongeza uchumi na pato hata kwa watu binafsi.

Kuhusu Umeme mimi nimezungumzia Mtwara na project yenu ya kuleta bomba la gas kutoka Mtwara mpaka Dar. Hili nimeliona fika Kutoka chanzo chake msimbati Mtwara. Kwa mana hiyo kama mtakamilisha sifikirii kama kutakuwa na shida na karaha ya kukosa umeme.

lakin kubwa zaidi wa Tz, hivi kwanini amushituki kuona siku hizi Mtwara kuna flight tatu kwa siku na zote zinajaa. Au ndio mnafurahi na kusema angali DANGOTE amepewa ardhi Tz na amewekeza katika ujenzi wa kiwanda kikubwa cha Saruji. Na wachina na wageni kibao wanawekeza huko wakti wenyewe mnakalia kulalamika tu.

Je mtaondoa umasikini.

Kaka watanzania unaosema wakafanye uwekezaji ni kina manji au rostam aziz au yule babu yako kule shinyanga ambaye amefukuzwa kama mbwa kwenye ardhi yake ya ukoo kisa tu kuna diamond ? au we unazungumzia watz gani wasiopaswa kulalamika umetoka kulala nn?
 
Kumbuka nilichoongelea ni miundombinu ya kujenga uchumi imara. Miundombinu niliyoitaja haitumiwi na matajiri au wafanyabiashara pekee ni kuwa inatumika na wanadamu wote bila kujali cheo wala wadhwifa.

Nilipobainisha barabara kila mtu anaweza kutumia kwa kusafiri au hata kurahisisha kusafirisha mazao yake toka kondeni kwake mpaka marikiti. Nilipogusia mawasiliano kila mtu maeneo niliyopita nimemuona na simu na anawasiliana kutokana na mahitaji yake. Lakin pia umeme kila mtu anatumia kwa kiasi cha matumizi yake. Vyote hivyo vimeongeza uchumi na pato hata kwa watu binafsi.

Kuhusu Umeme mimi nimezungumzia Mtwara na project yenu ya kuleta bomba la gas kutoka Mtwara mpaka Dar. Hili nimeliona fika Kutoka chanzo chake msimbati Mtwara. Kwa mana hiyo kama mtakamilisha sifikirii kama kutakuwa na shida na karaha ya kukosa umeme.

lakin kubwa zaidi wa Tz, hivi kwanini amushituki kuona siku hizi Mtwara kuna flight tatu kwa siku na zote zinajaa. Au ndio mnafurahi na kusema angali DANGOTE amepewa ardhi Tz na amewekeza katika ujenzi wa kiwanda kikubwa cha Saruji. Na wachina na wageni kibao wanawekeza huko wakti wenyewe mnakalia kulalamika tu.

Je mtaondoa umasikini.

Ivi Barubaru!!!! mmasai aliye na ng'ombe 7,000 anaishi kwenye nyumba ya udongo, ikiwa na chumba kimoja, akiwa hana hata Tzs 100/= akaunti yeyote no any savings ....ni masikini au tajiri?? Jibu lako lolote....Ongezea swali la kwanini??

Alafu mimi binafi nakuona unao mtazamo....ila hoja uliokuja nayo, haiendani na kile unacho jadili. Rudi nyuma angalia maangalizo yote uliotoa pamoja na header yako....then tafakali jinsi ya kuujadili huu "uzi" kwa kuupa header inayobeba comments nyingine ulizoweka.

Sasa nakuona unaelekwa magharibi kabisa wakati Thread yako inaelekea mashariki.

Check upya
 
Ivi Barubaru!!!! mmasai aliye na ng'ombe 7,000 anaishi kwenye nyumba ya udongo, ikiwa na chumba kimoja, akiwa hana hata Tzs 100/= akaunti yeyote no any savings ....ni masikini au tajiri?? Jibu lako lolote....Ongezea swali la kwanini??

Alafu mimi binafi nakuona unao mtazamo....ila hoja uliokuja nayo, haiendani na kile unacho jadili. Rudi nyuma angalia maangalizo yote uliotoa pamoja na header yako....then tafakali jinsi ya kuujadili huu "uzi" kwa kuupa header inayobeba comments nyingine ulizoweka.

Sasa nakuona unaelekwa magharibi kabisa wakati Thread yako inaelekea mashariki.

Check upya

Mimi sioni kama una hoja kwani umekalia Ushabiki tu.

Mada yangu imezungumzia Miundombinu ya Uchumi hususan kwa nchi masikini zinazotegemea wafadhili na wawekezaji kama Tanzania. Nimebainisha miundombinu hiyo muhimu ni barabara, Umeme, mawasiliano kwa simu na Mtandao, natural resources, Amani na utulivu.

Na nimebainisha vyote hivyo Tz mlikuwa nazo isipokuwa mlikuwa hakuna Barabara, mawasiliano ya Mtandao wa simu, na umeme. Nikakamilisha kuwa sasa mumesonga mbele kwa kuwa na mtandao mzuri wa barabara, simu na umeme kiasi cha kuvutia wawekezaji na wananchi kijumla.

Kumbuka ukiwa na barabara nzuru basi hata mazao ya mkulima anasafirisha kwa urahisi na bei kwa mlaji inapungua. Vile vile hata wa mama wajawazito watasafirishwa kwa urahisi kwenda hospital na mengine mengi kwa jamii.

Kumbuka haya matatu nilobainisha ni muhimu sana kwa maendeleo ya mtu mmoja mmoja na jamii kijumla na hata kuvutia wawekezaji kuja kuwekeza.

sasa soma vizuri mada yangu kwa nia ya kuelewa na utanielewa tu. Punguza jazba na ushabiki wa kisiasa.

 
Kaka watanzania unaosema wakafanye uwekezaji ni kina manji au rostam aziz au yule babu yako kule shinyanga ambaye amefukuzwa kama mbwa kwenye ardhi yake ya ukoo kisa tu kuna diamond ? au we unazungumzia watz gani wasiopaswa kulalamika umetoka kulala nn?

Haya ndio yale yale nilobainisha kuwa huu ni mfumo wenu wa Ilmu wa kutegemea KUAJIRIWA na kuogopa KUJIAJIRI.

Sasa nakushauri katika Duniya hii ya utandawazi ni lazima mbadilike na kujifunza kujitegema kwa kujiajiri. Nimebainisha kuwa Mtaji mkuu wa uwekezaji ni AKILI ZAKO. sasa ina maana nyie hamna akili mpaka mshindwe na Hao uliowataja.

Nakupa pole sana kwa kuathiriwa na mfumo wenu wa Ilmu.

 
Back
Top Bottom