Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Hatimae leo nimefanikiwa kutoa pesa iliyokuwa kwenye simu yangu kwa Uchungu mkubwa.
Kabla ya makato ya serikali nilikuwa na mazoea ya kuweka pesa yangu ya akiba kidogo kwenye simu na nyingine cash kwenye kibubu,
siku moja kabla ya ongezeko nilitumiwa meseji kuhusu makato nilijua yatakuwa madogo sana kwa sababu ni ya, serikali hivyo niliamua kuacha pesa kwa simu bila hofu.
Nilikuja kushituka usiku nilipokuja kuona mkeka wa makato unavyosoma na ndio zoezi limeanza nilishindwa kuwaza nifanye nini zaidi ya kuamua kuiacha
Ni pesa Ndogo lakini kwangu ni kubwa ilikuwa tu 150k (laki na nusu)
Imekaa humo mpaka leo nilipoamua tu ngoja nikatoe niitiage kwenye kibubu ichanganyikane na wenzake
Siwafichi haya makato yanauma sana, ni kama kisu basi yanakata mpaka kwenye mfupa
150k hapo nimekatwa 6k (elfu sita), fikiria ni laki na nusu tu lakini makato elfu 6
Sahani 3 za kiepe yai, au sahani 4 nne za kiepe kavu
Elfu 6 hiyo, papuchi mbili pale kwenye vyumba vya hapo Buguruni, au mbili za chap chap hapo Chako ni Chako Dodoma,
Wakati wa makato nimeweweseka kwa kweli mpaka mikono ikawa inatetemeka
Na kukumbuka juzi nimeshindwa kuitafuna papuchi ya jirani yangu kisa tu aliniomba elfu 5 na kutaka kunitunuku nikasema sina, ila leo nimekatwa 6k na serikari bila kunifanyia kazi yeyote, sawa kikubwa namshukuru Mungu zoezi langu la kutoa pesa limeenda salama na hivi sasa naendelea vizuri.
Mimi kuja kuweka tena pesa kwenye simu mimi!
Cc Zero IQ
Kabla ya makato ya serikali nilikuwa na mazoea ya kuweka pesa yangu ya akiba kidogo kwenye simu na nyingine cash kwenye kibubu,
siku moja kabla ya ongezeko nilitumiwa meseji kuhusu makato nilijua yatakuwa madogo sana kwa sababu ni ya, serikali hivyo niliamua kuacha pesa kwa simu bila hofu.
Nilikuja kushituka usiku nilipokuja kuona mkeka wa makato unavyosoma na ndio zoezi limeanza nilishindwa kuwaza nifanye nini zaidi ya kuamua kuiacha
Ni pesa Ndogo lakini kwangu ni kubwa ilikuwa tu 150k (laki na nusu)
Imekaa humo mpaka leo nilipoamua tu ngoja nikatoe niitiage kwenye kibubu ichanganyikane na wenzake
Siwafichi haya makato yanauma sana, ni kama kisu basi yanakata mpaka kwenye mfupa
150k hapo nimekatwa 6k (elfu sita), fikiria ni laki na nusu tu lakini makato elfu 6
Sahani 3 za kiepe yai, au sahani 4 nne za kiepe kavu
Elfu 6 hiyo, papuchi mbili pale kwenye vyumba vya hapo Buguruni, au mbili za chap chap hapo Chako ni Chako Dodoma,
Wakati wa makato nimeweweseka kwa kweli mpaka mikono ikawa inatetemeka
Na kukumbuka juzi nimeshindwa kuitafuna papuchi ya jirani yangu kisa tu aliniomba elfu 5 na kutaka kunitunuku nikasema sina, ila leo nimekatwa 6k na serikari bila kunifanyia kazi yeyote, sawa kikubwa namshukuru Mungu zoezi langu la kutoa pesa limeenda salama na hivi sasa naendelea vizuri.
Mimi kuja kuweka tena pesa kwenye simu mimi!
Cc Zero IQ