Namshukuru Mungu kwa graduation yangu

Namshukuru Mungu kwa graduation yangu

Picha ya wengi ni kwamba jf ni watu ambao ni rika flani ambalo wasomi na umri flani kuanzia mid 20s na ni watu wenye kipato cha kati na juu.Hiyo ilikuwa zamani.

Siku hiz ndio maana kuna mada nyingi za kitineja.

Ila jf sidhan kama inalimit umri.

Tupia tu mipicha ya jordan,Tshirt zenu za gauni,dogo jiachie.
 
Hahah...nikija na wana inabidi
wageni walinde simu simu na wallet hapo...
Teh teh..Wana watakuwa wanajilipa..sio mbaya..Hawawezi kupiga show ya bure aisee..acha wazichukue tu
 
Mi nlipoingia nlijua facebook..Nkakaza macho kumbe ni jf!
Na mitihan bado kumbe...Hongera mdg angu
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Hongera dogo, kuza buti katika mitihani.....!
 
Ongera,,, vipi uko pcm au? Make naona ka essay type questions zitakusumbua ni mtazamo wangu tu
 
Hongera ndugu,jaribu kua bize na masomo kwa sasa mda umebaki kidogo.Usije kujuta
 
Back
Top Bottom