Namshukuru Mungu kwa graduation yangu

Namshukuru Mungu kwa graduation yangu

Rai Pazzy

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2015
Posts
493
Reaction score
187
68fdde70c8c345c856306a087aa9864c.jpg


Namshukuru mungu kwa kunifikisha siku muhimu kama ya leo
Kuna watu wengi wametamani kufika lakin wengne hawakufika kwa maradhi, kifo na kutokufuzu.

But leo wanajamiiforums nimefanya mahafali yangu ya kidato cha sita katika shule ya kibasila le.

Kiukweli ni nafuraha sana na namuomba Mungu anifanyie wepesi katika mtihani wangu wa taifa amiin.
 
tutajie na no ya mtihani ili mrejesho uje uwah mapema
 
Wakuu na mm mahafali yangu kesho mje kwa wingi na zawadi mpk nikose pa kuweka-Bwiru boys
 
Back
Top Bottom