Umeongea ukweli mtupuNi rahisi kujua mtoto wa jirani ni mtukutu au mwizi. Lakini kujua wa kwako ni mwizi ni ngumu zaidi. Hata ukiambiwa unakuwa huamini.
Labda uambiwe kapigwa kibiriti akiiba ndiyo utaamini.
Mkuuu kuwa huru usitaje tu jina la mtuHizi ngeri na tafsida zingine hizi mnatutia majaribuni wenzenu jamani! Unaona sasa tunaogopa hata kuchangia!
Hapana sina uhakika mkuu maanaLabda atakuwa na kichaa, unauhakika alipata chanjo!