Jocasta
JF-Expert Member
- Aug 28, 2014
- 475
- 600
- Thread starter
- #41
"Masikini wasaidie lakini wenye uhitaji/watakaokuomba msaada Ila kujipendekeza Kwa masikini wasiohitaji msaada wako nakuhakikishia matokeo yake utayapata na yatakuwa mabaya zaidi"
Ahsant kwa kulegeza msimamamo ndugu yangu ROBERT HERIEL Naamini Sasa Kwa ufaraguzi wa Members wenzangu wa Jf Kuna haya nimejifunza
✓Kumbe hata utajiri waweza kuwa laana iliyoboreshwa,rejea wanaopata utajiri kwa matendo ya hovyo Kama vile mauaji,rushwa,kafara nk kwa nje unaweza kudhani Wana amani lakini kinyume chake Ni sahihi
✓Laana Ni dhana binafsi,ukiamini kuwa umelaaniwa hakika itakuwa hivyo,ukiamini pia umebarikiwa pia maisha yako yatakuwa hivyo,
✓Maskini wengi wanaamini kuwa wamelaaniwa na wameumbwa wawe hivyo(Babu,baba woote Maskini)Hivyo huacha kujishughulisha kwa bidii yenye ubunifu ili waweze kujikwamua katika Hali waliyonayo
✓Taifa letu na watu wake Ni Maskini ,Taifa halina laana maana Lina utajiri wa kila namna,tatizo Ni suala la mda tu
Kwa mantiki hiyo bhasi,Kuna umaskini wa vitu,fikra,umaskini wa kiroho nk,vyote hizi hazihusiani na laana Bali Ni utashi wa mtu binafsi katika kupambana na kuboresha mazingira yake
Ahsant kwa kulegeza msimamamo ndugu yangu ROBERT HERIEL Naamini Sasa Kwa ufaraguzi wa Members wenzangu wa Jf Kuna haya nimejifunza
✓Kumbe hata utajiri waweza kuwa laana iliyoboreshwa,rejea wanaopata utajiri kwa matendo ya hovyo Kama vile mauaji,rushwa,kafara nk kwa nje unaweza kudhani Wana amani lakini kinyume chake Ni sahihi
✓Laana Ni dhana binafsi,ukiamini kuwa umelaaniwa hakika itakuwa hivyo,ukiamini pia umebarikiwa pia maisha yako yatakuwa hivyo,
✓Maskini wengi wanaamini kuwa wamelaaniwa na wameumbwa wawe hivyo(Babu,baba woote Maskini)Hivyo huacha kujishughulisha kwa bidii yenye ubunifu ili waweze kujikwamua katika Hali waliyonayo
✓Taifa letu na watu wake Ni Maskini ,Taifa halina laana maana Lina utajiri wa kila namna,tatizo Ni suala la mda tu
Kwa mantiki hiyo bhasi,Kuna umaskini wa vitu,fikra,umaskini wa kiroho nk,vyote hizi hazihusiani na laana Bali Ni utashi wa mtu binafsi katika kupambana na kuboresha mazingira yake