Huu msemo ni SAwa na kusema "Nchi kutawaliwa sio kisingizio cha nchi kutokuendelea"Na hii imekaaje? "Kuzaliwa masikini sio kosa ila kufa masikini ni kosa".
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza hakuna laana, swala la laana linabaki kuwa katika mtizamo binafsi na sio uhalisiaMkuu Kwanza Nashukuru Kwa kunipinga na kutoa Mtazamo wako dhidi ya mtazamo wangu.
Turudi kwenye Mjadala.
Topic ya Poverty ipo Kidato cha tatu Kwa waliofika elimu ya Upili.
Maana ya umasikini inafahamika Kwa waliofika madarasa hayo.
Individual level umasikini ni kitendo au Hali ya mtu kukosa mahitaji yake ya msingi Kama chakula, mavazi, makazi. Ingawaje yapo nahitaji mengine ya ziada yaliyoongezeka ambayo nayo yanachukuliwa Kama sehemu ya basic needs mfano Sex, mawasiliano ya simu n.k.
Tubakie katika maana hiyo ya msingi..
Ukishakuwa masikini upo katika kundi la wenye Laana ukubali au ukatae.
KIVIPI?
LAANA ni neno ambalo moja Kwa moja linahusu suala la kiimani, miungu, supernatural power,.
Mtu yeyote ukimsikia anasema kuhusu Laana basi ujue anaamini katika miungu.
Hakuna miungu hakuna laana.
Kisayansi hakuna laana. Ila kiimani Laana Ipo.
Kinyume cha Laana ni Baraka.
Unaposema baraka pia unazungumzia mambo ya kiimani, miungu na mambo dhahania.
Kisayansi hakuna kitu inaitwa Baraka
LAANA NI NINI?
Laana ni tamko, Kauli anayotamkiwa mtu au kikundi cha watu iliyodhamiria kudhuru au kuleta madhara, maangamizo, baada ya mtu au watu hao kuvunja kanuni au amri Fulani.
Laana inahusu zaidi miungu na mara nyingi hutolewa Kwa nguvu za miungu, au Kwa jina la miungu.
Kwa mujibu wa maandiko, laana za awali zilizotamkwa binadamu ni Kama ifuatavyo;
1. Kifo au mauti
2. Njaa( ardhi imelaaniwa hivyo mwanaume atakula Kwa jasho)
3. Mwanamke kuzaa Kwa uchungu Ile ni laana.
Kwa kifupi Laana no adhabu huku Baraka ni Zawadi.
Sasa kivipi umasikini uwe ni laana? Na iweje Masikini wawe wamelaaniwa?
Ili mtu aitwe masikini kuna viashiria, vifuatavyo ni baadhi ya viashiria kuwa mtu au jamii Fulani ni masikini
1. High mortality Rate/kiwango kikubwa cha wanaokufa.
Vifo vya watoto wachanga kuwa vingi na watu kufa mapema kabla ya uzee kutokana na sababu nyingi tuu ikiwemo Huduma duni za Afya, njaa, elimu ndogo n.k.
Kumbuka kifo ni laana na umasikini unapelekea vifo kuwa vingi. Biblia inaeleza wazi kuhusu Hilo.
2. Makazi duni na maisha duni/ poor living conditions.
Mtu anaishi makazi mabovu, mazingira hatarishi ni moja ya viashiria kuwa mtu au jamii Fulani ni masikini.
Ni laana kuishi makazi Duni. Tafsiri ya moja Kwa moja ni adhabu kuishi makazi duni, machafu, mbavu za mbwa.
3. Kiwango kikubwa cha wajinga/ High Illiteracy rate.
Kukosa elimu pia ni Dalili ya Masikini, yaani kukosa elimu ni sehemu ya laana.
Biblia inasema, watu wangu wanaangamia Kwa Kukosa Maarifa.
Laana kumbuka ndio kuangamia kwenyewe.
Ukiwa huna elimu utashindwa kuishi maisha mazuri, utakuwa mjingamjinga.
Sasa hapo kwenye elimu ndio kuna Formal, non-formal and Informal education.
Yaani kuwa mjinga tuu ni laana tosha, maana ukiwa na akili huwezi kuwa Masikini.
4. Njaa/Hunger
Kula Mlo mmoja, utapiamlo, kukosa kabisa Kula chakula ni Dalili za umasikini.
Kumbuka Njaa ni laana kama unabisha nitakuleta vifungu vyakutosha tuu! Kumbuka Ardhi ililaaniwa ili watu wafe njaa😂😂.
5. Maradhi
Maradhi husababisha umasikini, na umasikini husababisha Maradhi. Yaani Maradhi na umasikini ni marafiki Pacha ukimjumlisha na ndugu Yao ujinga.
Kumbuka Maradhi pia ni laana, na Biblia inaeleza
Pia kumbuka Yesu alitoa Laana yake pia kuwa asiyefanya kazi Kula na asile yaani afe kwanjaa.
Na njaa ni moja ya indicator muhimu ya umasikini.
Soma kumbukumbu la Torati 28
Utaona ni Kwa namna gani Umasikini ni laana.
Masikini wasaidie lakini wenye uhitaji/watakaokuomba msaada Ila kujipendekeza Kwa masikini wasiohitaji msaada wako nakuhakikishia matokeo yake utayapata na yatakuwa mabaya zaidi
Umasikini ni laana.
Masikini wamelaaniwa.
Kumbuka zipo laana za watu wote na zipo laana za kundi Fulani. Kifo ni laana ya kila kiumbe kilichozaliwa na Mwanamke, umasikini ni laana ya kundi Fulani la watu.
Kama ilivyo zipo baraka za watu wote na zipo baraka za watu wakundi Fulani. Nuru ya jua au mvua au hewa ni baraka Kwa watu wote, lakini madini, uzuri, Utajiri, nguvu ni baraka Kwa kundi Fulani la watu.
Huo ndio ukweli.
Umasikini ndio ushetani wenyewe, ndio laana, ni mauti.
Mkuu Kwanza Nashukuru Kwa kunipinga na kutoa Mtazamo wako dhidi ya mtazamo wangu.
Turudi kwenye Mjadala.
Topic ya Poverty ipo Kidato cha tatu Kwa waliofika elimu ya Upili.
Maana ya umasikini inafahamika Kwa waliofika madarasa hayo.
Individual level umasikini ni kitendo au Hali ya mtu kukosa mahitaji yake ya msingi Kama chakula, mavazi, makazi. Ingawaje yapo nahitaji mengine ya ziada yaliyoongezeka ambayo nayo yanachukuliwa Kama sehemu ya basic needs mfano Sex, mawasiliano ya simu n.k.
Tubakie katika maana hiyo ya msingi..
Ukishakuwa masikini upo katika kundi la wenye Laana ukubali au ukatae.
KIVIPI?
LAANA ni neno ambalo moja Kwa moja linahusu suala la kiimani, miungu, supernatural power,.
Mtu yeyote ukimsikia anasema kuhusu Laana basi ujue anaamini katika miungu.
Hakuna miungu hakuna laana.
Kisayansi hakuna laana. Ila kiimani Laana Ipo.
Kinyume cha Laana ni Baraka.
Unaposema baraka pia unazungumzia mambo ya kiimani, miungu na mambo dhahania.
Kisayansi hakuna kitu inaitwa Baraka
LAANA NI NINI?
Laana ni tamko, Kauli anayotamkiwa mtu au kikundi cha watu iliyodhamiria kudhuru au kuleta madhara, maangamizo, baada ya mtu au watu hao kuvunja kanuni au amri Fulani.
Laana inahusu zaidi miungu na mara nyingi hutolewa Kwa nguvu za miungu, au Kwa jina la miungu.
Kwa mujibu wa maandiko, laana za awali zilizotamkwa binadamu ni Kama ifuatavyo;
1. Kifo au mauti
2. Njaa( ardhi imelaaniwa hivyo mwanaume atakula Kwa jasho)
3. Mwanamke kuzaa Kwa uchungu Ile ni laana.
Kwa kifupi Laana no adhabu huku Baraka ni Zawadi.
Sasa kivipi umasikini uwe ni laana? Na iweje Masikini wawe wamelaaniwa?
Ili mtu aitwe masikini kuna viashiria, vifuatavyo ni baadhi ya viashiria kuwa mtu au jamii Fulani ni masikini
1. High mortality Rate/kiwango kikubwa cha wanaokufa.
Vifo vya watoto wachanga kuwa vingi na watu kufa mapema kabla ya uzee kutokana na sababu nyingi tuu ikiwemo Huduma duni za Afya, njaa, elimu ndogo n.k.
Kumbuka kifo ni laana na umasikini unapelekea vifo kuwa vingi. Biblia inaeleza wazi kuhusu Hilo.
2. Makazi duni na maisha duni/ poor living conditions.
Mtu anaishi makazi mabovu, mazingira hatarishi ni moja ya viashiria kuwa mtu au jamii Fulani ni masikini.
Ni laana kuishi makazi Duni. Tafsiri ya moja Kwa moja ni adhabu kuishi makazi duni, machafu, mbavu za mbwa.
3. Kiwango kikubwa cha wajinga/ High Illiteracy rate.
Kukosa elimu pia ni Dalili ya Masikini, yaani kukosa elimu ni sehemu ya laana.
Biblia inasema, watu wangu wanaangamia Kwa Kukosa Maarifa.
Laana kumbuka ndio kuangamia kwenyewe.
Ukiwa huna elimu utashindwa kuishi maisha mazuri, utakuwa mjingamjinga.
Sasa hapo kwenye elimu ndio kuna Formal, non-formal and Informal education.
Yaani kuwa mjinga tuu ni laana tosha, maana ukiwa na akili huwezi kuwa Masikini.
4. Njaa/Hunger
Kula Mlo mmoja, utapiamlo, kukosa kabisa Kula chakula ni Dalili za umasikini.
Kumbuka Njaa ni laana kama unabisha nitakuleta vifungu vyakutosha tuu! Kumbuka Ardhi ililaaniwa ili watu wafe njaa😂😂.
5. Maradhi
Maradhi husababisha umasikini, na umasikini husababisha Maradhi. Yaani Maradhi na umasikini ni marafiki Pacha ukimjumlisha na ndugu Yao ujinga.
Kumbuka Maradhi pia ni laana, na Biblia inaeleza
Pia kumbuka Yesu alitoa Laana yake pia kuwa asiyefanya kazi Kula na asile yaani afe kwanjaa.
Na njaa ni moja ya indicator muhimu ya umasikini.
Soma kumbukumbu la Torati 28
Utaona ni Kwa namna gani Umasikini ni laana.
Masikini wasaidie lakini wenye uhitaji/watakaokuomba msaada Ila kujipendekeza Kwa masikini wasiohitaji msaada wako nakuhakikishia matokeo yake utayapata na yatakuwa mabaya zaidi
Umasikini ni laana.
Masikini wamelaaniwa.
Kumbuka zipo laana za watu wote na zipo laana za kundi Fulani. Kifo ni laana ya kila kiumbe kilichozaliwa na Mwanamke, umasikini ni laana ya kundi Fulani la watu.
Kama ilivyo zipo baraka za watu wote na zipo baraka za watu wakundi Fulani. Nuru ya jua au mvua au hewa ni baraka Kwa watu wote, lakini madini, uzuri, Utajiri, nguvu ni baraka Kwa kundi Fulani la watu.
Huo ndio ukweli.
Umasikini ndio ushetani wenyewe, ndio laana, ni mauti.
Dogo Semenya jikite kwenye mada
1&4 ni mythsMafanikio ya mtu utegemeana na vifuatavyo
1.Nguvu ya jina lako
2.Ardhi au mazingira uliyopo
3.Kipawa ulichonacho
4.Nguvu ya imani yako
5.Washirika wako
6.Ujuzi na maarifa uliyonayo.
Wewe wasema1&4 ni myths
Andiko lako linaonesha kuwa umasikini ni ujinga.
Na mimi pia nimeamua Kuona hivyo ...
Ujinga waweza kuondoshwa,
Kama uko na resources karibu unaweza kutupatia maana mbali mbali za laana/curse ujinga/ignorance.
Kama vile umechanganya mada mkuu Heriel Umemix science Pamoja na dini Andiko lako linaleta mkanganyiko
Umaskini sio laana
Kuna maskini wa kipato ila ana utajiri wa roho na mawazo.
Kuna tajiri wa kipato kwa sababu sio wote wenye pesa wanatafuta kwa nguvu zao na akili zao lakini ni maskini wa roho na akili.
Huyu mwenye utajiri wa maarifa pamoja na akili hata akizaliwa familia maskini anachance kubwa ya kutoboa na wakati huyu mwenye pesa na ni maskini wa akili na maarifa ana chance kubwa ya kufilisika.
Umaskini na utajiri wa mtu huanzia kwenye fikra zake .
Kwanza hakuna laana, swala la laana linabaki kuwa katika mtizamo binafsi na sio uhalisia
Pesa unazo ni wewe, hoja haijadili mtu mmoja mmoja…. umaskini [kwa maana halisi ya masikini] ni laana.Pesa ninazo mkuu,hoja yangu Ni kuwa so yakwamba Maskini woote Wana laana
Taikon wa fasihi yako sahihi kabisa View attachment 2336704
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Pesa unazo ni wewe, hoja haijadili mtu mmoja mmoja…. umaskini [kwa maana halisi ya masikini] ni laana.
Hapo kaka ni nguvu ya upambanaji,Mtoto anapozaliwa hapa duniani Alitakiwa afurahi kwa kuletwa katika mazingira haya rakini badala yake Hulia kwa uchungu kunakomaanisha Mwanzo wa mapambano ya either kuwa Tajiri au afanye mchezo umaskini umuvae,Na hii imekaaje? "Kuzaliwa masikini sio kosa ila kufa masikini ni kosa".
Sent using Jamii Forums mobile app
Umasikini umasikin tu. Asikudanganye mtu yoyote ILA una levo. Mwenye ngo'mbe wa2 anamuona mwenzie mwenye mbuzi 6 masikini. Mwenye mbuzi sita anamuona mwenye kuku ishirini masikini. Mwenye kuku nae at asema Kuna mwinzie hana kuku. Asie na kuku atakwmbia Kuna mtu hata PA kulala hana. Mlala nje nae atakwmbia Kuna mwenzie a nalala nje hata hela Y kula amekosa 😂. Umaskini wa maisha ya kisasa 'moderniity' au mfumo wa kikapitalist ni umasikin wa KUTOMILIKITafsiri ya umasikini utofautiana kulingana na Jamii