Nampenda sana yeye na wanae lakini sasa..

Nampenda sana yeye na wanae lakini sasa..

We we huwezi kuoa unapenda kuhesabu mabaya tu.
Unamboa Sana huyo dada yaelekea unamasimango Sana.
Pia unakidomodomo Sana.
Nimejuaje?
Unaeleza vitu vingi husau halafu unataka kick we we.
Wanawake hawafuati matumizi tuu ni pamoja

BTW sorry km nimekugsa kwa namna mbaya ila naamin ungepata wasaa wa kusimuliwa na kushuhudiwa sawasawa habari zetu mm na yeye usingejaribu kunishambulia.

Hata hivo ingawa ww ni mmoja tu uliyenishambulia kati ya wote waliochangia, kiasi nimejiskia hatia kwa kueleza habari zake hp ingawa naamin hakuna awezaye connect dots kujua ni nani, tz ni kubwa na wanaosoma hp ni wachache, labda km umemfaham niambie niifute thread kabla hujaenda kumshuhudia.
Malengo ya topic hii yanabaki palepale, sijamshambulia kwa kuwa sijamtaja
 
ahaaaaa wewe jama umejiandaa mda gani kutunga hii movie? Jiandae kuwanasa akina analiu maaana hii movie ikiendelea kuna kitu nakinusa kabla lowasa hajaapishwa.
Anyway kuna somo furani nimepata.

Si ajabu km nisingeeleza hayo ungeniuliza, samesame
 
kumbeeee! Anyway chukua uishauri huu ukipenda. Endelea kusomesha watoto kama hali inaruhusu, ila tafta mwanamke uoe. Trust me siku akiopata numberless mpya, ina nyasi za kutosha utasahau kuwa ulishanvuaga kyupi.

Ntaendelea msaidia ila nikioa lazima mke wang nimuulize, akikataa no way, sitakuwa na sababu ya kumchanganyia habari.

Akiolewa ntafurahi maana pia kabadilika kwa kias cha kutosha, sema mm nilishavuka hilo daraja la mapenzi kwake, nimebakiza utu tu. Spendi pia apate shida akiwa hajapata mtu na mm nikiwa sijaoa, natumai akipata atatulia vizuri na atakaemuoa atafaidi.
Sina kinyongo na hilo maana kinachoniunganisha nae kwa ss ni watoto tu, ingawa si wangu, pia wananipenda sana, km niwapendavyo naamini hawatanisahau ktk maisha yao.
 
Roho ya kikatili sana hiyo, siwezi historia itatuhukumu

Wewe RingaRinga ni mfano wa kuigwa. Wanaume wote wangekuwa kama wewe basi dunia ingekuwa sehemu nzuri sana.
Kama ndivyo ulivyo na sio story unastahili awards
 
Huyo Dada anapepo siyo bure inawezekana ndiyo sababu iliyomfanya akaachika kwa mwanaume wake wa kwanza.
 
Wewe RingaRinga ni mfano wa kuigwa. Wanaume wote wangekuwa kama wewe basi dunia ingekuwa sehemu nzuri sana.
Kama ndivyo ulivyo na sio story unastahili awards

Thanks Mamii1
 
Pole sana huyo Dada hafai kwa matumiz ya binadamu chukua maamuz magumu ndugu
 
Naona dalili za wewe pia kuwa kiwembe ....
mark my words.
 

Hongera na Pole mkuu. Binadamu hatujakamilika na Mara nyingi upendo , utu na wema ni moja ya njia ya kumrudisha mdhambi/mdhaifu kwenye sense zake halisi. Hivyo nakupongeza kwa nia njema yakutokuangalia historia yake kama kikwazocha nyie kutokuwa pamoja bali kama funzo la kujifunza na kuanza upya.


Kimsingi huwa naamini kuwa binadamu wote tu wema na pia tuwabaya . Kipi kinajitokeza Zaidi ni mazingira tunayokumbana nayo na utashiwetu. Ukiulizwa unaweza kuiba unawezasema hapana ila kiukweli unaweza ilautashi wako na dhamiri havikushuhudii hivyo. Nisiende nje ya mada , ninachopenda kusema nikuwa katika maisha ya familia na ndoa kuchukuliana ni kwingi sana . Nainapoonekana kuwa mmoja hawezi tenakurekebishika basi utengano wenu usiwe wa visasi na vita. Haumsaidii yeyote.Mleta hoja ameonyesha utu sana kwa dhana yake ya kuendeleza fadhila japo lazimaufanye hivyo ukikumbuka una majukumu na one day utakuwa responsible kwenyefamilia yako na uhakikishe haumkwazi utakaye mpata. Yawezekana wakati mnakutana hakuwa amerecoverkwenye utengano wake wa awali na mihemko tu iliwapelekea kuishi pamoja. Don't datea vulnerable person ataishia kumake vulnerable decisions. Mpe nafasiajitafakari na aendelee na maisha huku ukimuombea dua zako zote aende vema. Nahili lisiwe kifungo kwako kwa wewe kujisikia responsible kwa kila bayalitakalompata . Ukiendekeza hata mke utakayeoa atakimbia.

 
unambadilisha mtu mmekutana kila mmoja na meno 32 mdomoni, kweli wewe chizi. Hivi wasichana wameisha, mpaka kijana kama wewe ubajibebeshe zigo la mwanamke aliyezalishwa watoto wawili na karama za ndoa hakuzipata. matatizo mengine ya kujitakia. huyu dada ni papa la jiji lililoshindikana. hana mapenzi na wewe ndio maana unachunwa, fungua macho. mwanamme unayempenda huwezi kumletea matatizo na shida mpaka za ndugu. wewe ndio unajua una mchumba ila yeye ana buzi.
Najaribu kummbadilisha,
 

Hongera na Pole mkuu. Binadamu hatujakamilika na Mara nyingi upendo , utu na wema ni moja ya njia ya kumrudisha mdhambi/mdhaifu kwenye sense zake halisi. Hivyo nakupongeza kwa nia njema yakutokuangalia historia yake kama kikwazocha nyie kutokuwa pamoja bali kama funzo la kujifunza na kuanza upya.


Kimsingi huwa naamini kuwa binadamu wote tu wema na pia tuwabaya . Kipi kinajitokeza Zaidi ni mazingira tunayokumbana nayo na utashiwetu. Ukiulizwa unaweza kuiba unawezasema hapana ila kiukweli unaweza ilautashi wako na dhamiri havikushuhudii hivyo. Nisiende nje ya mada , ninachopenda kusema nikuwa katika maisha ya familia na ndoa kuchukuliana ni kwingi sana . Nainapoonekana kuwa mmoja hawezi tenakurekebishika basi utengano wenu usiwe wa visasi na vita. Haumsaidii yeyote.Mleta hoja ameonyesha utu sana kwa dhana yake ya kuendeleza fadhila japo lazimaufanye hivyo ukikumbuka una majukumu na one day utakuwa responsible kwenyefamilia yako na uhakikishe haumkwazi utakaye mpata. Yawezekana wakati mnakutana hakuwa amerecoverkwenye utengano wake wa awali na mihemko tu iliwapelekea kuishi pamoja. Don’t datea vulnerable person ataishia kumake vulnerable decisions. Mpe nafasiajitafakari na aendelee na maisha huku ukimuombea dua zako zote aende vema. Nahili lisiwe kifungo kwako kwa wewe kujisikia responsible kwa kila bayalitakalompata . Ukiendekeza hata mke utakayeoa atakimbia.


Asante kaka kwa ushauri mzuri sana, mawazo hayo ndo niliyonayo, umefanya kunipa nguvu na support kidhamira
Nakili kwa sasa najiskia vibaya kutomsaidiadhamira inansuta, pia huwezi kuamini kwamba kati ya mipango niliyo nayo ni kumpa mtaji wa biashara mara ntakapotaka kuwithdraw hisani zangu soon nikipata mbadala wake,

I'm just doing this for the kids, though isn't my tight responsibility
 
unambadilisha mtu mmekutana kila mmoja na meno 32 mdomoni, kweli wewe chizi. Hivi wasichana wameisha, mpaka kijana kama wewe ubajibebeshe zigo la mwanamke aliyezalishwa watoto wawili na karama za ndoa hakuzipata. matatizo mengine ya kujitakia. huyu dada ni papa la jiji lililoshindikana. hana mapenzi na wewe ndio maana unachunwa, fungua macho. mwanamme unayempenda huwezi kumletea matatizo na shida mpaka za ndugu. wewe ndio unajua una mchumba ila yeye ana buzi.

Simaanishi najaribu kumbadilisha ili nibaki naye, No!
Ila nnachofanya nafanya kwa ajili ya dhamira yangu kwa kuwa ana watoto pia,
Nataka ajue kuwa sikuja kwake kwa sababu ya uzuri wa sura yake tu bali niliamini ilikuwa ground nzuri ya mm kuthaminiwa sana na kwa kuweza kumpenda yeye na wanae, nilijuwa atajiona mwenye bahati na hivyo kunienzi.

Kwa kuwa haikuwa hivyo ninachofanya sasa nikumwondolea maswali yyte iwapo kweli nilikuwa na upendo wa kweli au tamaa. Najua yy anaamini siwezi kumwacha na hilo ndo kosa analofanya, so siku nikiwithdraw hawezi kunilaumu lkn natumaini hata asiponishukuru watu wa karibu yake watashuhudia wema wangu kwake.
Asipojifunza kitu that'll be another thing and I believe I wont be responsible
 
unambadilisha mtu mmekutana kila mmoja na meno 32 mdomoni, kweli wewe chizi. Hivi wasichana wameisha, mpaka kijana kama wewe ubajibebeshe zigo la mwanamke aliyezalishwa watoto wawili na karama za ndoa hakuzipata. matatizo mengine ya kujitakia. huyu dada ni papa la jiji lililoshindikana. hana mapenzi na wewe ndio maana unachunwa, fungua macho. mwanamme unayempenda huwezi kumletea matatizo na shida mpaka za ndugu. wewe ndio unajua una mchumba ila yeye ana buzi.

Dhana ya kusema kuwa nachunwa siwez kuiweka kichwani mwangu kwa kuwa najua tuliko toka naye, pia angekuwa na namna nyingine ya kijikimu ningesema kweli ananichuna, au angekuwa peke yake.
Nikimwacha ss hv amin ataadhirika sana, haina maana yyte.
Nataka atoke mikononi mwamgu salama kabisa,

HUWEZI KUAMINI kuwa kabla ya kuwithdraw nimepanga kumpa mtaji, hapo utasemaje?
 
Back
Top Bottom