RingaRinga
JF-Expert Member
- Jul 10, 2015
- 1,052
- 529
- Thread starter
- #41
Umemaliza? Kama umemaliza mbona hakuna hitimisho?
Nimemaliza angalia uk wa 1 kwenye comments
Umemaliza? Kama umemaliza mbona hakuna hitimisho?
Hihihiiiiiiiiiiii,loverboy uzuri wa Jlo umemchanganya kabisa!!!
Upendo hauhesabu mabaya, upendo huvumilia yote
wenye watoto wataolewa na nani?duuuh unaroho ngumu watoto wawili then nawe unaunga hapohapo......kwani kina miss chaga n cute huwaoni wako single wewe unabeba mwenye matatizo kibao.....hapo unatafuta presha n stress sugu
Paka shumeeee where ar uuu shost ndo huyooo keshakuja
Nimekupenda bure bro!
Mungu akupe maisha marefu for the sake of those kids
Endelea kutoa msaada tu, siku biashara ikikata ndio utaujua upande was pili Hugo binti
Baba wa watoto vipi, hana kipato cha kuwahudumia watoto?
Mwanzo nilipata shida, ss si part of things vinanifikirisha, namalizia somo tu ingawa simwombei mabayahuoni umechukua gunia l misumari hilo halibebeki....utazeeka kabla y umri wako hata huyo mmewe w kwanza alimuacha cz y matatizo hayohayo.....hapo lazma uzeeka cz ya stress
Simfahamu, lkn ni dreva
We we huwezi kuoa unapenda kuhesabu mabaya tu.
Unamboa Sana huyo dada yaelekea unamasimango Sana.
Pia unakidomodomo Sana.
Nimejuaje?
Unaeleza vitu vingi husau halafu unataka kick we we.
Wanawake hawafuati matumizi tuu ni pamoja
Tunzatu watoto
Mwanzo nilipata shida, ss si part of things vinanifikirisha, namalizia somo tu ingawa simwombei mabaya
Msomaji naomba uelewe kuwa mdada huyu ni beutiful aina ya JLo hivi, siamini km uzuri wake unatawala akili zake.
Lakini mm nimeamua kumwonesha true Love ingawa siwasliani naye sana, wala hatu'do', na hakuna anayehoji kati yetu, naendelea kumhudumia yeye na wanae, nafanya hivi kwa ajili ya watoto wake tu,
Sasa najiuliza hivi mdada una watoto wawili umepata mtu anakupenda wewe na wanao, anakuhudumia vizuri tu pia umeahidiwa ndoa km hakutakuwa na kikwazo toka kwa X', unapata wapi muda wa kucheza na nafas km hii? (ingawa si kitu ninachokitaja kwake, naangalia na kujiuliza moyoni tu)
Why mtu awe na akili ya dizain hii?
Ni kitu nilichojiwekea nadhiri kuwa ntapenda kuoa mwanamke mwenye mtoto 1 au 2 aliyetendwa na x' nikiamini nitamsuprise kwa upendo wa aina yake, maana hata nisipokuwa karibu naye yeye, ni rahisi kuwa karibu na watoto, na ni rahisi kuonyesha upendo kupitia kwa watoto, ingawa haimaanishi kuwa sikuwa pationate kwake, nilikuwa pationate sana tu & she didn't regrate when it came to 6x6 issues, i'm qualified aisee.
Ndo maana nasema nikimpata anayejua kupenda, u'steping stone utaishia hapo'
most of beauties kwa kweli ni sheeeda ingawa si wote