RingaRinga
JF-Expert Member
- Jul 10, 2015
- 1,052
- 529
- Thread starter
- #21
Hiyo unaitwa microsoft lumia. Ni mid range phones.... ni nzuri. Na kuji reboot huenda betri imeisha. Au inatingishika... ila ukweli unaujua mwenyewe na simu yako.
Betry iko strong & tight maana nimekachukua June this 15,
siku nyingine inaweza reboot hata mara5, lakin jana iliacknowledge uwepo wa virus ikaomba kuscan nikairuhusu, tangu jana haijareboot.
Nahis lilikuwa ndo tatizo, nilikuwa nafanya kwa tahadhari tu isijenirudisha nyuma.