Nampenda sana yeye na wanae lakini sasa..

Nampenda sana yeye na wanae lakini sasa..

Huyo asha shindikani . usifikiri aliyemuacha kakosea . ni makosakufikiri mwanaume ndie aliyemtenda bila kuskiliza pande zote za hadithi.
 
Huyo asha shindikani . usifikiri aliyemuacha kakosea . ni makosakufikiri mwanaume ndie aliyemtenda bila kuskiliza pande zote za hadithi.

Ni vigum kushughulika na tatizo hili kwa style hiyo. Kwa vyvyte upande wa pili utajitetea pia. Pia watu hubadilika
 
me naamini hujatumia akili yako vizuri kufikiria,kwanza kitendo chakuamini kuwa yeye aliondoka kwa mumewe aliye mzalisha kwa sababu ya ukicheche wa jamaa,halafu hapo hapo jamaa akaoa mwanamke mwingine,halafu hapo hapo unatuambia huyo mwanamke ana umbo kama la jlo...halafu hapo hapo unasema mwanamke ni muongo muongo sana na bado umekomaa nae....tumia akili yako vizuri mkuu,kama walishindwana na mtu aliyempeleka wodi ya wazazi tena mara mbili...wewe sijui nafasi yako kwake ipo wapi??sion hata kama anahisi yupo na mwanaume...
 
me naamini hujatumia akili yako vizuri kufikiria,kwanza kitendo chakuamini kuwa yeye aliondoka kwa mumewe aliye mzalisha kwa sababu ya ukicheche wa jamaa,halafu hapo hapo jamaa akaoa mwanamke mwingine,halafu hapo hapo unatuambia huyo mwanamke ana umbo kama la jlo...halafu hapo hapo unasema mwanamke ni muongo muongo sana na bado umekomaa nae....tumia akili yako vizuri mkuu,kama walishindwana na mtu aliyempeleka wodi ya wazazi tena mara mbili...wewe sijui nafasi yako kwake ipo wapi??sion hata kama anahisi yupo na mwanaume...

Total football, style hii ndio nilioitumia kufikia maamuz. Skuhitaji kumchimba sana nilijua atanyookea humohumo.

Km umenisoma vizuri utagundua kwamba sina future project naye zaidi ya kumsuport kwa muda kabla sijaanza maisha mengine, KIUTU tu.
 
Cku ukimtema ndo atajua umuhimu wako, huwa tunajisahau,unaweza kukuta hata kule alipoachwa yy ndio alikuwa tatzo
 
Mpige chini tu, ndio atajua umuhimu wako
 
Total football, style hii ndio nilioitumia kufikia maamuz. Skuhitaji kumchimba sana nilijua atanyookea humohumo.

Km umenisoma vizuri utagundua kwamba sina future project naye zaidi ya kumsuport kwa muda kabla sijaanza maisha mengine, KIUTU tu.

mbona ka hueleweki mara unampenda ye na watoto mara huna future project
mara namsaidia tu.. Dude we mwenyewe hata hujajielewa unataka nini
 
mbona ka hueleweki mara unampenda ye na watoto mara huna future project
mara namsaidia tu.. Dude we mwenyewe hata hujajielewa unataka nini

Ndo ujue mnavyotuchanganya (natania),
Nimeileta habari hii kushare na wana MMU, wajue aina nyingine ya binadam walivyo wa ajabu.

Labda nimekosea heading, ingefaa wasomaji ndo watoe tafsiri hiyo, lkn mtu anaeza sema nampenda kutokana na jinsi nnavyomfanyia kwa sasa.

Hata hivyo nimeeleza kuwa kwa sasa nnachofanya ni kumsaidia tu, maana wala hata hatu'do' na skai naye.
Natafta mke nioe, ila ninaulevi na walio na watoto tayari (wasizidi wawili) na hawana future na wazazi wenzao, nikirizika na status yake (profile) tunaoana,
sjui km umenielewa.
 
Sio case ya charge, ni window 535, sjui km ndivyo zilivyo au ni kitu gani
hamna kituuu mi pia nna window 535 ... mbna haizngui????.... halaf hyo mwanamke mpka hapo usiendleee kuomba ushauriii hakufai... kam huwez kumuach kashakupachika limbwata
 
Back
Top Bottom