Zuia Sayayi
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 841
- 133
Kuna kabinti kamoja nimetokea kukapenda..!, but nilipomweleza akanitolea nje.! Na kusema eti kana mchumba tayari, jamani wana jamvi naombeni msaada wenu nimwambie vp? Ili anielewe huyu dent maana sihemi, simung'unyi na hema tu nusu nusu kwake nimeoza, msaada plz.( sisi wote ni madent wa kidato cha 3).