Mbona hizo picha hasa ya kwanza kama ya The Mechanic: Resurrection is a 2016?Hyo hatari bidada, muangalie kwenye Italian Job nd utajua namaanisha nin!? Sema hyo crank bdo cjaipata naomba nijuze kidgo
Ni kweli kuna wanaume wanavutia duniani jamani wanawake wa mbele wana bahati sana
swadakta kabisa shehe naunga mkono hojaMungu alivyo wa wote...utakuta ana kibamia...na hapa ndio ninapo mpiga gape hyu..
Usisahau "THE TRANSPORTER" part zote.movie alizoshiriki-HOME FRONT
,nyingine....
Siku huyu jamaa kwa mfano akija kujitangaza ni Shoga kama yule wa prison break sijui utakua na hali gani kwa jina ulilompa mtoto.Yeah, nilimwita mtoto wangu Jason kwasababu ya huyu mtu, napenda sana jinsi anavyojua kucheza character yake kwenye movie ya aina yoyote
Bond yupi maana zaidi ya actors wa 4 wameshaigiza as James Bond.James bond ndo chaguo langu japo Jason namkubali kinyama. Kwa mabinti napenda movie za Angelina Jolie
Hakunaa
nakubali ni mzuri.Mim huyu kaka aigize sterling ama jambazi napenda tu movie zake,,hapa nilipo nimechelewa kwenda sehemu ilianza kuonyesha movie yake ya crank kama sikosei hakika hua hakosei lo
Sio kwamba anavutia kivile lakim ni ana sifa za u gentlemen pia hebu cheki hapaView attachment 658088View attachment 658089View attachment 658091 ukitoa povu jua we ni kabaya unafanana na vibaka ndio maana watoa povu
Transportermovie alizoshiriki-HOME FRONT
,nyingine....
The big dog in a backyard!?mi kwa ROMAN REIGN Huniambii kitu.