Hyo hatari bidada, muangalie kwenye Italian Job nd utajua namaanisha nin!? Sema hyo crank bdo cjaipata naomba nijuze kidgoMim huyu kaka aigize sterling ama jambazi napenda tu movie zake,,hapa nilipo nimechelewa kwenda sehemu ilianza kuonyesha movie yake ya crank kama sikosei hakika hua hakosei lo
Sio kwamba anavutia kivile lakim ni ana sifa za u gentlemen pia hebu cheki hapaView attachment 658088View attachment 658089View attachment 658091 ukitoa povu jua we ni kabaya unafanana na vibaka ndio maana watoa povu
Ndotoni aundo basi tena ushampenda.. kampe tu hakuna namna!
hili sio povu ni sabuni ukinidis utakuwa kilaza!
Pia ni Shabiki mkubwa wa Chelsea FC
Kweli Mungu wa wote...Rumors are... He is G-A-Y.
Nani alikwambia gays hawaoi?
Kuliko huyuAisee anajuwa huyu hatar
Mkuu ndio maana nilisema ni tetesi......
Katika ubora wako hahahahndo basi tena ushampenda.. kampe tu hakuna namna!
hili sio povu ni sabuni ukinidis utakuwa kilaza!
Kuwa na mke haiondoi ukweli kuwa ni g.a.yWeeeee ana mke na ana ujauzito sasaa