Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,373
- 54,756
Mnapapatika nao sema kwa vile humu tuna id fake.
seriously!!!Wao matajiri,,miundo mbinu,uchumi,kila kitu hadi wao wazurii
Wanaume wa uko wap, wazungu?Wanaume wa huko wazuri kuzidi wa huku kwetu jamani
hahaha haya Dina ngoja niishie hapa mimi.Mazingira mazuri,afya bora,,chakula kwa wingi,,huoni hivi vitu hufanya watu waonekane wazuri
Tumeacha kutawaliwa kwa minyororo sasa ni akili JASON?Yeah, nilimwita mtoto wangu Jason kwasababu ya huyu mtu, napenda sana jinsi anavyojua kucheza character yake kwenye movie ya aina yoyote
Hata Bruce wills naye anapendeza..Wengine hawapendezi kuwa na upaa lakin jason anapendezea
tutaishia kuwaona kwenye tv tu hahaha
Biologically haiwezekani mtu mwenye uwalaza akawa gay.. Tunasema hiyo ni mutually exclusive..!Rumors are... He is G-A-Y.
Naipenda ile comedy yake kwenye spy..!Transporter movie series
The bank job
The Italian job
Fast and furious
The expandables
Crank
Spy
Wild Card.
Jamaa anajua sana
Vibaka??? Mungu anakuona D ujueeMim huyu kaka aigize sterling ama jambazi napenda tu movie zake,,hapa nilipo nimechelewa kwenda sehemu ilianza kuonyesha movie yake ya crank kama sikosei hakika hua hakosei lo
Sio kwamba anavutia kivile lakim ni ana sifa za u gentlemen pia hebu cheki hapaView attachment 658088View attachment 658089View attachment 658091 ukitoa povu jua we ni kabaya unafanana na vibaka ndio maana watoa povu
uwiii Leo nikujichekea tuu kwa raha zanguMungu alivyo wa wote...utakuta ana kibamia...na hapa ndio ninapo mpiga gape hyu..
Kivipi wakati ualaza ni ulemavu tu.Biologically haiwezekani mtu mwenye uwalaza akawa gay.. Tunasema hiyo ni mutually exclusive..!
Ktk movies zake zote naipenda sana 'the transporter'Mim huyu kaka aigize sterling ama jambazi napenda tu movie zake,,hapa nilipo nimechelewa kwenda sehemu ilianza kuonyesha movie yake ya crank kama sikosei hakika hua hakosei lo
Sio kwamba anavutia kivile lakim ni ana sifa za u gentlemen pia hebu cheki hapaView attachment 658088View attachment 658089View attachment 658091 ukitoa povu jua we ni kabaya unafanana na vibaka ndio maana watoa povu
Wengine hawapendezi kuwa na upaa lakin jason anapendezea
tutaishia kuwaona kwenye tv tu hahaha