Nampenda mke wa mtu ila nami nina mke na watoto!

Habarini humu wandugu,,

Nipo katika wakati mgumu kidogo na ningependa sana nipate ushauri fulani.

Mimi ni baba wa familia ya watoto wanne.... Mimi na Mke wangu tumefanikiwa kuishi pamoja kwa miaka 13 sasa tena kwa furaha bila shida zozote zaidi ya magomvi madogo madogo ya kawaida ndani ya nyumba.

Lakini kwa miaka 2 sasa nina mahusiano ya siri na mwanamke mwingine ambaye pia ni mke wa mtu.

Sikukusudia hili kutokea, na ninapambana kuelewa hisia hizi. Najua ni makosa. Najua sipaswi kuwa na hisia hizi, hususan yeye ni mke wa mtu na mimi nikiwa na mke na watoto ambao wana mategemeo juu yangu. Lakini inaonekana siwezi kuzivunja hisia hizi. Nifanyeje?

Huyu mwanamke yupo tayari aachane na mumewe na mimi niachane na mke wangu ili tuishi wote.. Hali zetu za kimaisha za familia na kipato cha mumewe vinafanana kwahiyo mimi naona hakuna jambo la tamaa ya hela...

Mke wangu nilimuoa kutoka kwenye "rebound" ya mahusiano ambayo nilitegemea yangezaa ndoa... Siyo kwamba simpendi mke wangu maana kwa miaka 11 ya mwanzo nimeishi naye bila makando kando yoyote yale ya kuchepuka... ila KUSEMA kweli mahusiano yetu yapo sana kama mama na baba na si mume na mke,,, hata naye anasema anajua anaishi na mtu anayemjali ila si kumpenda,,,,,, simchukiii ila hisia zangu kwake hazipo

Ila baada ya kukutana na huyu mwanamke mwingine, zile hisia zilizokufa miaka 13 iliyopita ziliamka tena, nilijaribu kujizuia lakini wapi.. Kiukweli amenirudisha nyuma ambako nilishazika hizo hisia na kuamua sitojiangaisha na mapenzi ila familia YANGU pekee.. Na muda wote huu wa miaka 2 bado hatujashiriki tendo la ndoa zaidi ya maongezi na mambo MENGINE ya kawaida, maana nafsi inanisuta kufanya hilo jambo.

Kwahiyo nipo mkorogo wa hisia nahitaji kujitoa..
Ni lust but not love
 
Habarini humu wandugu,,

Nipo katika wakati mgumu kidogo na ningependa sana nipate ushauri fulani.

Mimi ni baba wa familia ya watoto wanne.... Mimi na Mke wangu tumefanikiwa kuishi pamoja kwa miaka 13 sasa tena kwa furaha bila shida zozote zaidi ya magomvi madogo madogo ya kawaida ndani ya nyumba.

Lakini kwa miaka 2 sasa nina mahusiano ya siri na mwanamke mwingine ambaye pia ni mke wa mtu.

Sikukusudia hili kutokea, na ninapambana kuelewa hisia hizi. Najua ni makosa. Najua sipaswi kuwa na hisia hizi, hususan yeye ni mke wa mtu na mimi nikiwa na mke na watoto ambao wana mategemeo juu yangu. Lakini inaonekana siwezi kuzivunja hisia hizi. Nifanyeje?

Huyu mwanamke yupo tayari aachane na mumewe na mimi niachane na mke wangu ili tuishi wote.. Hali zetu za kimaisha za familia na kipato cha mumewe vinafanana kwahiyo mimi naona hakuna jambo la tamaa ya hela...

Mke wangu nilimuoa kutoka kwenye "rebound" ya mahusiano ambayo nilitegemea yangezaa ndoa... Siyo kwamba simpendi mke wangu maana kwa miaka 11 ya mwanzo nimeishi naye bila makando kando yoyote yale ya kuchepuka... ila KUSEMA kweli mahusiano yetu yapo sana kama mama na baba na si mume na mke,,, hata naye anasema anajua anaishi na mtu anayemjali ila si kumpenda,,,,,, simchukiii ila hisia zangu kwake hazipo

Ila baada ya kukutana na huyu mwanamke mwingine, zile hisia zilizokufa miaka 13 iliyopita ziliamka tena, nilijaribu kujizuia lakini wapi.. Kiukweli amenirudisha nyuma ambako nilishazika hizo hisia na kuamua sitojiangaisha na mapenzi ila familia YANGU pekee.. Na muda wote huu wa miaka 2 bado hatujashiriki tendo la ndoa zaidi ya maongezi na mambo MENGINE ya kawaida, maana nafsi inanisuta kufanya hilo jambo.

Kwahiyo nipo mkorogo wa hisia nahitaji kujitoa..


TAFUTA KIKOPO CHA VASELLINE UWE UNATEMBEA NACHO. UTAKUJA NISHUKURU SIKU MOJA.
 
Habarini humu wandugu,,

Nipo katika wakati mgumu kidogo na ningependa sana nipate ushauri fulani.

Mimi ni baba wa familia ya watoto wanne.... Mimi na Mke wangu tumefanikiwa kuishi pamoja kwa miaka 13 sasa tena kwa furaha bila shida zozote zaidi ya magomvi madogo madogo ya kawaida ndani ya nyumba.

Lakini kwa miaka 2 sasa nina mahusiano ya siri na mwanamke mwingine ambaye pia ni mke wa mtu.

Sikukusudia hili kutokea, na ninapambana kuelewa hisia hizi. Najua ni makosa. Najua sipaswi kuwa na hisia hizi, hususan yeye ni mke wa mtu na mimi nikiwa na mke na watoto ambao wana mategemeo juu yangu. Lakini inaonekana siwezi kuzivunja hisia hizi. Nifanyeje?

Huyu mwanamke yupo tayari aachane na mumewe na mimi niachane na mke wangu ili tuishi wote.. Hali zetu za kimaisha za familia na kipato cha mumewe vinafanana kwahiyo mimi naona hakuna jambo la tamaa ya hela...

Mke wangu nilimuoa kutoka kwenye "rebound" ya mahusiano ambayo nilitegemea yangezaa ndoa... Siyo kwamba simpendi mke wangu maana kwa miaka 11 ya mwanzo nimeishi naye bila makando kando yoyote yale ya kuchepuka... ila KUSEMA kweli mahusiano yetu yapo sana kama mama na baba na si mume na mke,,, hata naye anasema anajua anaishi na mtu anayemjali ila si kumpenda,,,,,, simchukiii ila hisia zangu kwake hazipo

Ila baada ya kukutana na huyu mwanamke mwingine, zile hisia zilizokufa miaka 13 iliyopita ziliamka tena, nilijaribu kujizuia lakini wapi.. Kiukweli amenirudisha nyuma ambako nilishazika hizo hisia na kuamua sitojiangaisha na mapenzi ila familia YANGU pekee.. Na muda wote huu wa miaka 2 bado hatujashiriki tendo la ndoa zaidi ya maongezi na mambo MENGINE ya kawaida, maana nafsi inanisuta kufanya hilo jambo.

Kwahiyo nipo mkorogo wa hisia nahitaji kujitoa..
Umerogwa sio bure
 
ni mimi akili zangu hazifanyi kazi au? yaani mwanamke yupo tayari kumuacha mumewe ili muoane na ww unakubali😂😂😂😂 alafu ukishaiacha familia yako ataenda kuliwa kama ulivyomla..... ni mtoto tu ndie anaweza fikiri huu ujinga mtu aliekomaa kimaisha kamwe hawezi waza ungese kama huu angalia umempataje ili ujue unaishije naye usiwe kenge dogo janja
 
Habarini humu wandugu,,

Nipo katika wakati mgumu kidogo na ningependa sana nipate ushauri fulani.

Mimi ni baba wa familia ya watoto wanne.... Mimi na Mke wangu tumefanikiwa kuishi pamoja kwa miaka 13 sasa tena kwa furaha bila shida zozote zaidi ya magomvi madogo madogo ya kawaida ndani ya nyumba.

Lakini kwa miaka 2 sasa nina mahusiano ya siri na mwanamke mwingine ambaye pia ni mke wa mtu.

Sikukusudia hili kutokea, na ninapambana kuelewa hisia hizi. Najua ni makosa. Najua sipaswi kuwa na hisia hizi, hususan yeye ni mke wa mtu na mimi nikiwa na mke na watoto ambao wana mategemeo juu yangu. Lakini inaonekana siwezi kuzivunja hisia hizi. Nifanyeje?

Huyu mwanamke yupo tayari aachane na mumewe na mimi niachane na mke wangu ili tuishi wote.. Hali zetu za kimaisha za familia na kipato cha mumewe vinafanana kwahiyo mimi naona hakuna jambo la tamaa ya hela...

Mke wangu nilimuoa kutoka kwenye "rebound" ya mahusiano ambayo nilitegemea yangezaa ndoa... Siyo kwamba simpendi mke wangu maana kwa miaka 11 ya mwanzo nimeishi naye bila makando kando yoyote yale ya kuchepuka... ila KUSEMA kweli mahusiano yetu yapo sana kama mama na baba na si mume na mke,,, hata naye anasema anajua anaishi na mtu anayemjali ila si kumpenda,,,,,, simchukiii ila hisia zangu kwake hazipo

Ila baada ya kukutana na huyu mwanamke mwingine, zile hisia zilizokufa miaka 13 iliyopita ziliamka tena, nilijaribu kujizuia lakini wapi.. Kiukweli amenirudisha nyuma ambako nilishazika hizo hisia na kuamua sitojiangaisha na mapenzi ila familia YANGU pekee.. Na muda wote huu wa miaka 2 bado hatujashiriki tendo la ndoa zaidi ya maongezi na mambo MENGINE ya kawaida, maana nafsi inanisuta kufanya hilo jambo.

Kwahiyo nipo mkorogo wa hisia nahitaji kujitoa..
nimekusoma,sasa nakuuliza vipi huyo hawara yako ambae ni mke wa mtu na yeye pia hampendi mumewe?
kama hampendi jibu rahisi itisheni kikao na wake zenu,yaani wewe na huyo mume wa mke unayemla na mbadilishane wake kwa amani na furaha,game over
 
Tatizo uliingia kwenye Ndoa na mtu usiyempenda kweli na yeye kuwa mahaba au hatoshi kwenye kilindi Cha Mapenzi yako.

Ukavumilia kwa sababu ya watoto, pressure ya wazazi, utaonekanaje na marafiki n bra bra bra nyingine.

Ukasahau hisia halisi huwa hazifi na hazizikwi, na bahati mbaya hukuwa kiruka mito.

Sasa mkuu hisia zilipoamka sio sehemu sahihi kwa ushauri tu,
Hata akifanikiwa kumuacha mumewe hakufai kabisa.

Jitulize subiri mwanamke sahihi akija, chepuka nae ila usimuache mkeo.

Hivi vitu wengi hawawezi kukuelewa kabisa, kama usivyo eleweka humu na ndio hauwezi eleweka kwenye jamii
 
Tatizo uliingia kwenye Ndoa na mtu usiyempenda kweli na yeye kuwa mahaba au hatoshi kwenye kilindi Cha Mapenzi yako.

Ukavumilia kwa sababu ya watoto, pressure ya wazazi, utaonekanaje na marafiki n bra bra bra nyingine.

Ukasahau hisia halisi huwa hazifi na hazizikwi, na bahati mbaya hukuwa kiruka mito.

Sasa mkuu hisia zilipoamka sio sehemu sahihi kwa ushauri tu,
Hata akifanikiwa kumuacha mumewe hakufai kabisa.

Jitulize subiri mwanamke sahihi akija, chepuka nae ila usimuache mkeo.

Hivi vitu wengi hawawezi kukuelewa kabisa, kama usivyo eleweka humu na ndio hauwezi eleweka kwenye jamii
Hata Mimi siwezi kumuelewa kamwe. Alioaje mtu ambaye hana hisia nae?.
 
Back
Top Bottom