Nampenda lakini naogopa kumwambia!

Nampenda lakini naogopa kumwambia!

Aiseee umemzimia mshana jr

Tobaa,ana hekima sana na wala hajawahi kutukana lakini ana chembe za mambo yetu ya Kiafrica. Usijali,nishamtag na ashakuelewa.

Fanya uende tanga mkakutane.
 
Kwa ushauri wangu tu.

Binafsi naona ni busara na hekima ungemwendea pm ukaanzisha chart.
Ukiona anakupa ushirikiano mzuri katika chart basi mzoee kistaharabu
Zungumza nae mengi mwishowe badilishaneni namba za simu, na mkaongea ingekuwa rahisi mno kama mtapeana namba za simu pm.
Then mweleze hisia zako usisite kumwambia kile kilichopo moyoni mwako,
Mwambie ukweli kuwa umempenda nafikiri atakuelewa zaidi.
Kujaribu sio kushindwa,
Jaribu atakuelewa tu.
Asante mkuu kwa ushauri
 
Dada funguka direct kwake usiwe kama wakizamani please, unajua ndo maana zinapatikana stress, wewe utaumia moyoni mwingine anamweleza hali halisi siku ukiwa tayari kufunguka unakuta mlango ushafungwa na ufunguo anao mwenzio wa ajabuajabu tu!
 
Monica, na wewe uko hivyo lakini?
We ni mzuri?
Je, unavutia?
 
Meee...
Mee...
Mee...
Mee...

Monicccca hunioni tuuu?
 
Wakuu hbr zenu!

Kuna kijana mwana MMU mwenzetu namzimia sana, ni mpole post zake zimejaa hekima na hajawahi kutukana, nimejitahidi kutupia vipost ili nayeye aje angalau lkn wanakuja nisiyo wapennda.
Naomba mnisaidie kumwambia plz maana moyo wangu krbu upasuke.

Atakaye nifikishia ujumbe huu ntampatia zawadi nono.

Mwambie yeye ndiyo pumzi yangu ntakufa kama akinikataa
Chonde chonde nisaidieni wakuu.
Tushike lipi?
Yale masuala ulotujuza ya ndoayo na kuunguzwa na mbegu za mmeo ni vije?
 
Back
Top Bottom