Nampenda lakini naogopa kumwambia!

Nampenda lakini naogopa kumwambia!

Bifalsafa ktk ubora wake.... [emoji4] [emoji4]
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Wakuu hbr zenu!

Kuna kijana mwana MMU mwenzetu namzimia sana, ni mpole post zake zimejaa hekima na hajawahi kutukana, nimejitahidi kutupia vipost ili nayeye aje angalau lkn wanakuja nisiyo wapennda.
Naomba mnisaidie kumwambia plz maana moyo wangu krbu upasuke.

Atakaye nifikishia ujumbe huu ntampatia zawadi nono.

Mwambie yeye ndiyo pumzi yangu ntakufa kama akinikataa
Chonde chonde nisaidieni wakuu.
Hili ndio jukwaa lako kule kwenye siasa hatukutaki...andika pumba zako huku
 
ili ucwe na aibu ya kumwambia kunywa mbege lita 9 kutwa mara tatu utanipa mrejesho
 
Kumbe watu wako kuchabo tu ni nani anayefaa
Na inawezekana akawa mme wa mtu
Hapo ndo sasa
 
Back
Top Bottom